Pale ambapo Tembo (Congo DR) anapoomba 'Suluhu' na Mende (Rwanda)

Pale ambapo Tembo (Congo DR) anapoomba 'Suluhu' na Mende (Rwanda)

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nilisikia kuna Taifa Moja Afrika Mashariki jirani pia na Congo DR liliahidi kuisaidia Congo DR Kijeshi ila cha Kushangaza wamesitisha Uamuzi huo baada ya kugundua kuwa ukimgusa Rwanda jua umeigusa pia na Nduguye Uganda hivyo uwezekano wa kupata Kichapo Kitakatifu ni mkubwa ukizingatia 65% ya Askari wao huwakosi katika Vilinge vya Gongo, Baa na Kubeti hovyo.

Hongera sana Mgeni kwa kuomba kwa sasa msikurupuke kupeleka Majeshi yako Kumsaidia Rais wa Congo DR kwani mngeagiza sana Majeneza ya Kuwahifadhia huku mkipata Kazi ya ziada ya Kuwafariji Ndugu zao.

Mgeni kwa hili nimeanza Kukukubali na nakuomba usikae muda mrefu kabla ya kwenda nchini Rwanda ukajifunze ni kwanini Jeshi lao ni dogo ila ndilo Imara, Madhubuti na linaweza Kuwapiga bila wasiwasi Wapiganaji wako wanaodhani kuwa Ukubwa wao wa Kijiografia ndiyo 'justification' ya Kushinda Vita wakisahau kuwa Vita ni Akili nyingi, Mbinu za Kimkakati na Nguvu kidogo kama walizobarikiwa nazo Wanajeshi wa Rwanda (RDF) ambao Uwezo wao wa sasa unafananishwa na Jeshi la Israel (IDF)

Mkiambiwa Kagame ni Genius na Jemedari halisi wa Vita na hakuna Sisimizi wala Mende yoyote wa Kumtisha hapa Afrika (hadi huyo Mgeni wenu wa Majuzi) muwe mnaelewa na mnaamini sawa?

Rais wa Congo DR si alisema kuwa ataipiga Rwanda na kwamba kamwe hatofanya Mazungumzo nae yoyote yale? Sasa iweje sasa (leo) ameufyata Mwenyewe na kakubali kwenda Kuzungumza na Mwamba na Mwanamume Rais Kagame huko Luanda Angola?
 
Tanzania ama Kenya ni mataifa makubwa. Rwanda ni kama mkoa tu kwao.

Wakigusa tu wanabondwa siku moja tu
Siku zote Wapumbavu wengi kutoka nchini Kwako ndiyo hujibu hivi. Sjjashangaa na wala Siwashangai kabisa.

Na ndiyo maana tokea Uhuru wenu mmejitahidi kwa mengine ila la kuondoa kabisa Upumbavu mlionao mpaka leo limewashinda.
 
Ingekua vyema kama haya majigambo ungekua unapost kwenye forum za Rwanda sidhani kama humu wanaziona vizuri.

Nakushangaa sana wewe jamaa kila Siku VITA sijui Kagame sijui kafanya nini uzuri watu hawana hata time naye hakuna mwenye Shida ya kupigana na huyo ndugu yako kwa Dunia hii ya kistaarabu hakuna mwenye shida ya Vita

Tupo Bize kujenga uchumi wetu kama mnapenda Vita toeni jeshi lenu liende Ukraine

War must be the last option if all means of negotiations zikishindwa hii kauli walikuja nayo wamerekani baada ya kushuhudia maafa makubwa ya vita Vietnam/vietkong

Wewe endelea na propaganda zako Vita Vita, vita havina mwenyewe wewe War monger na hao ndugu zako mnaoamini vita ndio suluhisho la kila kitu

Halafu mwambie Tanzania wala hatuna huo Upuzi tupo bize na kuijenga nchi yetu.
 
Mkuu

Mtaacha Lini kujisifu HIVI!!?

Wamekutuma kuwatisha wengine !?Ili wasilete choko choko!!?

Halafu vita vya kileo sio vya silaha za Bunduki kama karne 19!

Ni vita vya kemikali tu!tena anapigwa mmoja tu na vita vinaisha KABISA!

Hata ile kansa inayotafuna ubongo wake haijaletwa na MUNGU bali ni hao Mabeberu anaowatumikia na kumpa jeuri na kibri Hadi Wewe unakuja kuanzisha nyuzi humu!

Hao jamaa wakisha KUTUMIA vya kutosha wanaku damp kama hivyo!

Kuna substance kama Novichok,polonium 210! Na nyinginezo NYINGI! Tu ambazo zinatosha kumaliza vita kabla hata haijaanza KWA kumaliza mmoja tu!

NADHANI umenipata!
 
You vs Simba staff umekula za uso
You vs Mara umekula za uso
You vs Young Africa umekula za uso
You vs Tanzania political 0%
You vs your personal character 0%

Sasa hicho Kijiji Chako ulichoamua kujifanya kinakutuma kufanya mbwembwe wakati hata kutia mguu hujawahi na umebaki kuota tuu na kudhania utaweza kuwapo huko kumbe hola.

Jidanganye eti wanabet ngoja uingie kwe 18 zao ndo utawebetia vizuri.

Wejamaa .ala sana

Unapoteza muda wako bureeeeee
 
Kwamba PAKA ndio mweye remote control ya EA?! Sema mmejitahidi kwenye PR otherwise, mtu mzima na mwerevu hutumia busara na hekima ku-solve changamoto zake.

Nadhani inafaa Rwanda kujijenga baada ya PAKA kwamba maisha yatakuaje baada ya PAKA.
Huo mfano wa Rwanda kama Israel yafaa waulizwe Jewish Ethiopia descend huko waliko ili vijana wa PAKA wajifunze toka kwao
 
Itatuchukua masaa sita ya kukusanya mgambo wa nchi nzima na kuwasogeza kigoma,kagera na wengine Burundi haraka sana tunatangaza vita na rwanda gafla bin vuu tunawaambia wahutu watulie akati bado vuguvugu halijapoa na jua bado ni kali tunaenda kivu kusini na kaskazini tukiwa na mizinga mizito, mda huo paulo anahaha haelewi nini kakosea kwa mkubwa gafla mgambo tunawapa masaa matatu waingie kigali kunywa chai na kumkamata Mr tolu.

Dunia ikistahajabu na haielewe nini kinaendelea tunamhukumu kifo bwana paulo hapo dodoma baada ya kumtamata akiwa mafichoni hapo gisenyi.
 
Ingekua vyema kama haya majigambo ungekua unapost kwenye forum za Rwanda sidhani kama humu wanaziona vizur...
Yaani jamaa kama fala flani hivi kutwa kusifia rwanda na bado yupo platform ya Tanzania

Anasifia chuo cha sauti anasema hapo ndipo alipomaliza degree yake ya journalism sasa hio saut yake iko rwanda au ?

Yaani hayu mhutu sijui mtusi sijui anawaza kutumia makalio yaani

Kama unaona rwanda bora GENTAMYCINE nenda kwenu
 
Yaani jamaa kama fala flani hivi kutwa kusifia rwanda na bado yupo platform ya Tanzania

Anasifia chuo cha sauti anasema hapo ndipo alipomaliza degree yake ya journalism sasa hio saut yake iko rwanda au ?

Yaani hayu mhutu sijui mtusi sijui anawaza kutumia makalio yaani

Kama unaona rwanda bora GENTAMYCINE nenda kwenu
Idiot.
 
Nilisikia kuna Taifa Moja Afrika Mashariki jirani pia na Congo DR liliahidi kuisaidia Congo DR Kijeshi ila cha Kushangaza wamesitisha Uamuzi huo baada ya kugundua kuwa ukimgusa Rwanda jua umeigusa pia na Nduguye Uganda hivyo uwezekano wa kupata Kichapo Kitakatifu ni mkubwa ukizingatia 65% ya Askari wao huwakosi katika Vilinge vya Gongo, Baa na Kubeti hovyo.

Hongera sana Mgeni kwa kuomba kwa sasa msikurupuke kupeleka Majeshi yako Kumsaidia Rais wa Congo DR kwani mngeagiza sana Majeneza ya Kuwahifadhia huku mkipata Kazi ya ziada ya Kuwafariji Ndugu zao.

Mgeni kwa hili nimeanza Kukukubali na nakuomba usikae muda mrefu kabla ya kwenda nchini Rwanda ukajifunze ni kwanini Jeshi lao ni dogo ila ndilo Imara, Madhubuti na linaweza Kuwapiga bila wasiwasi Wapiganaji wako wanaodhani kuwa Ukubwa wao wa Kijiografia ndiyo 'justification' ya Kushinda Vita wakisahau kuwa Vita ni Akili nyingi, Mbinu za Kimkakati na Nguvu kidogo kama walizobarikiwa nazo Wanajeshi wa Rwanda (RDF) ambao Uwezo wao wa sasa unafananishwa na Jeshi la Israel (IDF)

Mkiambiwa Kagame ni Genius na Jemedari halisi wa Vita na hakuna Sisimizi wala Mende yoyote wa Kumtisha hapa Afrika (hadi huyo Mgeni wenu wa Majuzi) muwe mnaelewa na mnaamini sawa?

Rais wa Congo DR si alisema kuwa ataipiga Rwanda na kwamba kamwe hatofanya Mazungumzo nae yoyote yale? Sasa iweje sasa (leo) ameufyata Mwenyewe na kakubali kwenda Kuzungumza na Mwamba na Mwanamume Rais Kagame huko Luanda Angola?

Leo ume expose your ignorance!! Sikujua kama huna akili hivyo. Kaolewe na Kagame kabisa. Ujinga sana huu umeandika.
Moderator futeni uzi huu wa kihayawani.
 
Back
Top Bottom