Pale ambapo Tembo (Congo DR) anapoomba 'Suluhu' na Mende (Rwanda)

Pale ambapo Tembo (Congo DR) anapoomba 'Suluhu' na Mende (Rwanda)

Rwanda waliwahi kupigana vita na nchi gani wakashinda?

Huwezi kujisifia wewe ni mbabe kwa kupigana na nchi kama DRC.
DRC hawana jeshi zaidi ya vikundi vya wahuni vilivyojiunga pamoja na kuitwa jeshi la DRC.

Huruma ya jumuiya ya kimataifa dhidi ya Genocide ndio mpaka sasa inawasaidia wale jamaa.
Ukibaraka kwa mabeberu dhidi ya wizi wa madini ya DRC ndio unafanya kuwe na kile kiburi.
 
Kuna wakati ukigombana na chizi na wewe utaonekana chizi tu.

Watu wanapoamua kutumia busara msiowaone wajinga, wale waDRC hata raia tu wakiamua kushika bunduki na kuilinda nchi yao Rwanda itafutika siku moja tu.

Kwanza tuiombee sana Rwanda isiingie vitani maana kunaweza kutokea maafa kule zaidi ya yale ya 1994 (genocide), Ndani ya Rwanda kwenyewe mambo hayako sawa maana WAHUTU ni kama wametulizwa tu ila hawana furaha na yanayoendelea, Wahutu walioko Burundi, Tanzania, DRC nk wakipata upenyo wanaweza kuleta maafa makubwa sana pale Rwanda na kusababisha Tutsi wengi kwenda ukimbizini.
 
Moderator WA jamii forum huyu MTU kila siku anatishia Usalama WA Nchi yetu lakini mnamuangalia na hamumpigi life ban

Ana agenda ipi na nyie kwenye Usalama WA Nchi , inapokuja suala la Usalama WA Nchi yetu acheni ujinga pigeni block. Huyu MTU ukifuatilia nyuzi zake haitakii mema nchi yetu.

@Maxence Mello

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
GENTAMYCINE ni Tomato Sauce katika JamiiForums Chips. Kama hujaelewa hapa hutaelewa tena au 'Geniuses' akina Bila bila na adriz watakueza kama siyo Kukueleza vizuri.
 
Huyu mtutsi hata jamii forum wanamlea Sana ,

MTU anatishia Usalama WA Nchi yako Unashindwa kumpa life ban. Na kila siku ni yeye anadhihaki nchi yetu

@moderators acheni hizo tabia kuweni na upendo na nchi yenu. HatA Mimi sipendi CCM Ila linapokuja suala la nchi yangu sipendi MTU anaetishia amani yetu

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
GENTAMYCINE ni Tomato Sauce na JamiiForums ni Chips, Kuku na Mayai.
 
Thats true huyu jamaa sijawahi mwelewa au anatuchota watanzania habari zake niza maugomvi/Vita/uchonganishi na bado anajiita Mkristo safi sijui anahubiri amani gani huyu, nakumbuka hata mauaji ya Rwanda yalianza kwa Propaganda kama hizi ya huyu jamaa ogopa sana written document inaishi milele na milele

Mara ajikute mshauri wa Rais wetu wakati ya kwao tu yamewashinda akasuluhishe kwanza kwao ndio aje kwetu.

Kila siku kudharau vyombo vyetu vya Ulinzi sasa sijui anadhani ana mtisha nani ni vema hizo chuki zake apeleke huko kwenye forum za Rwanda atwache Watz tudili na yetu.

Kuna ka Mada kake kamoja eti ana mpiga biti balozi wetu nchini Rwanda.

Its time post ya huyu jamaa kabla ya kupostiwa wahusika wasichunguze kwanza anachochea vita.
GENTAMYCINE ni Tomato Sauce na JamiiForums ni Chips, Kuku na Mayai.
 
Ndio maana anapata Kiburi kuandika mada zake humu za kijinga na kuona hachukuliwi hatua yoyote ndivyo anahisi hata nchi yake inaweza kufanya chochote Tanzania.

Wakati mwingine tuwe wazalendo tutambue tuna nchi moja tu ya Tanzania regardless of everything nchi yetu kwanza hatuna pengine pa kukimbilia tukiharibu kwetu tuwe makini na puppet people like huyu jamaa.

Hana mazuri kwa nchi yetu bahat nzuri watz ni watu wa kupuuzia vitu aende kwao halafu ajifanye anamshauri Kagame kuhusu upinzani kama hatujasikia mengine humu.
GENTAMYCINE ni Tomato Sauce na JamiiForums ni Chips, Kuku na Mayai.
 
GENTAMYCINE ni Tomato Sauce na JamiiForums ni Chips, Kuku na Mayai.
Nyie ndio wale mabosi mnaohisi mkiondoka/mkihama ofisi itakufa shida yako unajihisi ulivyo kumbe wengine tunakuchukulia tofauti punguza delucision of grandeur, ondoka humu au wacha kupost uone kama kuna MTU anadhurika
 
Hawa mbwa koko wasio rudi makwao unaweza waita watusi wa Rwanda waliopo bongo kutwa kuropoka hovyo mixa ujuaji usio na maana wana uchonganishi na story za uongo juu ya taifa Lao na tolu wao. Idadi ya wanafunzi Vyuo vyao nchi nzima bado hawawezi ijaza UDOM peke ake, wakikusanya taasisi zao zote nchi nzima bado hawajafikia mapato ya mamlaka yabandari ya TZ. shule zao nchi nzima idadi yao imezidiwa na shule zilizopo Kilimanjaro na bukoba kwa pamoja, nchi haina self made billions in $ dollars hata mmoja. Iwapo tukaamua kuiazibu rwanda basi itatuchukua siku tano za kuwachukua jkt na migambo wa nchi nzima na kuwapa silaha wala hatutasumbuka baadhi yao wataenda kagera wengine kigoma wengine Burundi na wengine kongo mashariki na ndani ya siku tatu tutapiga counter attack moja mbaya sana zidi yao na kikosi kisichozidi makomandoo 50 kitaiteka Kigali yote na kumkamata mr slim na kuja kumuhukumu kifo hapo dodoma.tukianzisha mashambulizi makali gafla tunavamia ile mipaka yao karibu na Uganda na kupiga block hivyo nchi itazungukwa hakuna kitakacho ingia wala kutoka maana nchi yenyewe ni landlocked. Genta maporojo yeye kutwa kuropoka tu ila ukweli ndo huu iwapo tukaamua kwa dhati basi ndani ya siku sita kigali itakua mikononi mwetu. Pili tunaweza tusiwapige tunakusanya wahutu wa kongo, tz na hao wa Rwanda tunawapa vifaa ndani ya wiki mbili mr tolu atakimbia nchi. Jeshi lao la nchi hawaZidi elfu hamsini hao kuku
 
Hawa mbwa koko wasio rudi makwao unaweza waita watusi wa Rwanda waliopo bongo kutwa kuropoka hovyo mixa ujuaji usio na maana wana uchonganishi na story za uongo juu ya taifa Lao na tolu wao. Idadi ya wanafunzi Vyuo vyao nchi nzima bado hawawezi ijaza UDOM peke ake, wakikusanya taasisi zao zote nchi nzima bado hawajafikia mapato ya mamlaka yabandari ya TZ. shule zao nchi nzima idadi yao imezidiwa na shule zilizopo Kilimanjaro na bukoba kwa pamoja, nchi haina self made billions in $ dollars hata mmoja. Iwapo tukaamua kuiazibu rwanda basi itatuchukua siku tano za kuwachukua jkt na migambo wa nchi nzima na kuwapa silaha wala hatutasumbuka baadhi yao wataenda kagera wengine kigoma wengine Burundi na wengine kongo mashariki na ndani ya siku tatu tutapiga counter attack moja mbaya sana zidi yao na kikosi kisichozidi makomandoo 50 kitaiteka Kigali yote na kumkamata mr slim na kuja kumuhukumu kifo hapo dodoma.tukianzisha mashambulizi makali gafla tunavamia ile mipaka yao karibu na Uganda na kupiga block hivyo nchi itazungukwa hakuna kitakacho ingia wala kutoka maana nchi yenyewe ni landlocked. Genta maporojo yeye kutwa kuropoka tu ila ukweli ndo huu iwapo tukaamua kwa dhati basi ndani ya siku sita kigali itakua mikononi mwetu. Pili tunaweza tusiwapige tunakusanya wahutu wa kongo, tz na hao wa Rwanda tunawapa vifaa ndani ya wiki mbili mr tolu atakimbia nchi. Jeshi lao la nchi hawaZidi elfu hamsini hao kuku

Umeua kamanda!!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii post yako inahitimisha hii thread ya mpuuzi Gentamycine mnyarwanda mpuuzi aliyejificha bongo na kuleta dharau!! Nyang’au mkubwa huyu mtutsi.
 
Ichokozeni tu muone cha Mtema Kuni.
hakuna lolote. enzi za jk, kikozi cha tz kilicho drc kiliwadaka brigade yote ya kagame waliojifanya m23 in less than 10 min mpaka kagame akaanza kuweweseka na hajakanyaga tena Tanzania. You also ned to know that rwanda is 26000sqkm same as Tanga region.

Mnakaa mnamsifia mtu so minor mwenye hadhi ya mkuu wa mkoa
 
Wanyarwanda tunawatamani mno tu.
Sasa nini unachobisha ww mnyarwanda, nyie ni vinyago wetu hamtutishi tunawachonga wenye hapo TMA NA SOFA so kaeni kwa kutulia gen mkunda anawajua A to Z bado kidogo tu kipindi kile akiwa brig cmd wa magharibi awaletee moto
 
Nilisikia kuna Taifa Moja Afrika Mashariki jirani pia na Congo DR liliahidi kuisaidia Congo DR Kijeshi ila cha Kushangaza wamesitisha Uamuzi huo baada ya kugundua kuwa ukimgusa Rwanda jua umeigusa pia na Nduguye Uganda hivyo uwezekano wa kupata Kichapo Kitakatifu ni mkubwa ukizingatia 65% ya Askari wao huwakosi katika Vilinge vya Gongo, Baa na Kubeti hovyo.

Hongera sana Mgeni kwa kuomba kwa sasa msikurupuke kupeleka Majeshi yako Kumsaidia Rais wa Congo DR kwani mngeagiza sana Majeneza ya Kuwahifadhia huku mkipata Kazi ya ziada ya Kuwafariji Ndugu zao.

Mgeni kwa hili nimeanza Kukukubali na nakuomba usikae muda mrefu kabla ya kwenda nchini Rwanda ukajifunze ni kwanini Jeshi lao ni dogo ila ndilo Imara, Madhubuti na linaweza Kuwapiga bila wasiwasi Wapiganaji wako wanaodhani kuwa Ukubwa wao wa Kijiografia ndiyo 'justification' ya Kushinda Vita wakisahau kuwa Vita ni Akili nyingi, Mbinu za Kimkakati na Nguvu kidogo kama walizobarikiwa nazo Wanajeshi wa Rwanda (RDF) ambao Uwezo wao wa sasa unafananishwa na Jeshi la Israel (IDF)

Mkiambiwa Kagame ni Genius na Jemedari halisi wa Vita na hakuna Sisimizi wala Mende yoyote wa Kumtisha hapa Afrika (hadi huyo Mgeni wenu wa Majuzi) muwe mnaelewa na mnaamini sawa?

Rais wa Congo DR si alisema kuwa ataipiga Rwanda na kwamba kamwe hatofanya Mazungumzo nae yoyote yale? Sasa iweje sasa (leo) ameufyata Mwenyewe na kakubali kwenda Kuzungumza na Mwamba na Mwanamume Rais Kagame huko Luanda Angola?
Yan we lipumbavu sana kwa hiyo mgeni unamaanisha mama Samia sio we utakua mtusi mavu tu kwa taarifa yako hako ka nchi kako kanapigwa na kikosi kimoja tu Cha biharamuro kenge ww
 
wa
Siku zote Wapumbavu wengi kutoka nchini Kwako ndiyo hujibu hivi. Sjjashangaa na wala Siwashangai kabisa.

Na ndiyo maana tokea Uhuru wenu mmejitahidi kwa mengine ila la kuondoa kabisa Upumbavu mlionao mpaka leo limewashinda.
'stiff naked head"
 
Huyo JK alimnyoosha mpk aka akaanza kujiliza,sijui hizi prom unazompa unazitoa wapi...ni vile tu DR Congo hajawekeza vzr kwenye Jeshi,lkn Rwanda hawezi zigusa TZ au Kenya.
 
Hakuna haja ya kupoteza resources kupambana na Genius wako Kagame. Internal rebellion ndani ya Rwanda itamuondoa. Anayo support kubwa ya mataifa makubwa wanaomtumia kuiba madini DRC. Hao hao wakubwa wanaweza kumgeuka wakati wowote interest zao zikibadilika.
Hwna ugenius wowote,muoga tu,yaani rwanda ikitaka vita na tz tunaweza mkabidhi komandi Steve nyerere na akarudi na ushindi,haina hata haja ya kuwasumbua wakuu wa ngome!!
 
Rwanda waliwahi kupigana vita na nchi gani wakashinda?

Huwezi kujisifia wewe ni mbabe kwa kupigana na nchi kama DRC.
DRC hawana jeshi zaidi ya vikundi vya wahuni vilivyojiunga pamoja na kuitwa jeshi la DRC.

Huruma ya jumuiya ya kimataifa dhidi ya Genocide ndio mpaka sasa inawasaidia wale jamaa.
Ukibaraka kwa mabeberu dhidi ya wizi wa madini ya DRC ndio unafanya kuwe na kile kiburi.
Pale kongo lile jeshi lao wamejaa wahuni tu kuna jamaa alipewa operation ya kuwatwanga hao m23 kule goma jamaa alilijenga jeshi likawa na heshima na umoja waliwapelekea moto m23 mpaka wakazi wa goma wakawa wanamuona km mkombozi wao wakubwa walipo kuja wakona kila wanapopita wananchi wanaimba jina lake wakauzika sana hakukaa sana wakamdedisha ...Kongo pana shida sana ya utaifa,mshikamano .

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom