Pale ambapo Tembo (Congo DR) anapoomba 'Suluhu' na Mende (Rwanda)

Pale ambapo Tembo (Congo DR) anapoomba 'Suluhu' na Mende (Rwanda)

Nilisikia kuna Taifa Moja Afrika Mashariki jirani pia na Congo DR liliahidi kuisaidia Congo DR Kijeshi ila cha Kushangaza wamesitisha Uamuzi huo baada ya kugundua kuwa ukimgusa Rwanda jua umeigusa pia na Nduguye Uganda hivyo uwezekano wa kupata Kichapo Kitakatifu ni mkubwa ukizingatia 65% ya Askari wao huwakosi katika Vilinge vya Gongo, Baa na Kubeti hovyo.

Hongera sana Mgeni kwa kuomba kwa sasa msikurupuke kupeleka Majeshi yako Kumsaidia Rais wa Congo DR kwani mngeagiza sana Majeneza ya Kuwahifadhia huku mkipata Kazi ya ziada ya Kuwafariji Ndugu zao.

Mgeni kwa hili nimeanza Kukukubali na nakuomba usikae muda mrefu kabla ya kwenda nchini Rwanda ukajifunze ni kwanini Jeshi lao ni dogo ila ndilo Imara, Madhubuti na linaweza Kuwapiga bila wasiwasi Wapiganaji wako wanaodhani kuwa Ukubwa wao wa Kijiografia ndiyo 'justification' ya Kushinda Vita wakisahau kuwa Vita ni Akili nyingi, Mbinu za Kimkakati na Nguvu kidogo kama walizobarikiwa nazo Wanajeshi wa Rwanda (RDF) ambao Uwezo wao wa sasa unafananishwa na Jeshi la Israel (IDF)

Mkiambiwa Kagame ni Genius na Jemedari halisi wa Vita na hakuna Sisimizi wala Mende yoyote wa Kumtisha hapa Afrika (hadi huyo Mgeni wenu wa Majuzi) muwe mnaelewa na mnaamini sawa?

Rais wa Congo DR si alisema kuwa ataipiga Rwanda na kwamba kamwe hatofanya Mazungumzo nae yoyote yale? Sasa iweje sasa (leo) ameufyata Mwenyewe na kakubali kwenda Kuzungumza na Mwamba na Mwanamume Rais Kagame huko Luanda Angola?
Anechoic kifanya Kagame kwa taifa letu la DR hakikubaliki kabisa
 
Nilisikia kuna Taifa Moja Afrika Mashariki jirani pia na Congo DR liliahidi kuisaidia Congo DR Kijeshi ila cha Kushangaza wamesitisha Uamuzi huo baada ya kugundua kuwa ukimgusa Rwanda jua umeigusa pia na Nduguye Uganda hivyo uwezekano wa kupata Kichapo Kitakatifu ni mkubwa ukizingatia 65% ya Askari wao huwakosi katika Vilinge vya Gongo, Baa na Kubeti hovyo.

Hongera sana Mgeni kwa kuomba kwa sasa msikurupuke kupeleka Majeshi yako Kumsaidia Rais wa Congo DR kwani mngeagiza sana Majeneza ya Kuwahifadhia huku mkipata Kazi ya ziada ya Kuwafariji Ndugu zao.

Mgeni kwa hili nimeanza Kukukubali na nakuomba usikae muda mrefu kabla ya kwenda nchini Rwanda ukajifunze ni kwanini Jeshi lao ni dogo ila ndilo Imara, Madhubuti na linaweza Kuwapiga bila wasiwasi Wapiganaji wako wanaodhani kuwa Ukubwa wao wa Kijiografia ndiyo 'justification' ya Kushinda Vita wakisahau kuwa Vita ni Akili nyingi, Mbinu za Kimkakati na Nguvu kidogo kama walizobarikiwa nazo Wanajeshi wa Rwanda (RDF) ambao Uwezo wao wa sasa unafananishwa na Jeshi la Israel (IDF)

Mkiambiwa Kagame ni Genius na Jemedari halisi wa Vita na hakuna Sisimizi wala Mende yoyote wa Kumtisha hapa Afrika (hadi huyo Mgeni wenu wa Majuzi) muwe mnaelewa na mnaamini sawa?

Rais wa Congo DR si alisema kuwa ataipiga Rwanda na kwamba kamwe hatofanya Mazungumzo nae yoyote yale? Sasa iweje sasa (leo) ameufyata Mwenyewe na kakubali kwenda Kuzungumza na Mwamba na Mwanamume Rais Kagame huko Luanda Angola?
Cha ajabu hao maafisa wa Rwanda course wanapiga hapo Monduli,Rwanda overrated wa kawaida.
 
Siku zote Wapumbavu wengi kutoka nchini Kwako ndiyo hujibu hivi. Sjjashangaa na wala Siwashangai kabisa.

Na ndiyo maana tokea Uhuru wenu mmejitahidi kwa mengine ila la kuondoa kabisa Upumbavu mlionao mpaka leo limewashinda.
Mbona id amin tulimpasua na nchi yake kubwa? Hako kakenge hakatuambii kitu anajua hilo ndio maana anawaonea congo
 
Ndio mnavyopenda hivyo kwa hiyo kakutuma uje utitishe Humu
Screenshot_20220706-154458.jpg
 
Ichokozeni tu muone cha Mtema Kuni.
Hakuna haja ya kupoteza resources kupambana na Genius wako Kagame. Internal rebellion ndani ya Rwanda itamuondoa. Anayo support kubwa ya mataifa makubwa wanaomtumia kuiba madini DRC. Hao hao wakubwa wanaweza kumgeuka wakati wowote interest zao zikibadilika.
 
Moderator WA jamii forum huyu MTU kila siku anatishia Usalama WA Nchi yetu lakini mnamuangalia na hamumpigi life ban

Ana agenda ipi na nyie kwenye Usalama WA Nchi , inapokuja suala la Usalama WA Nchi yetu acheni ujinga pigeni block. Huyu MTU ukifuatilia nyuzi zake haitakii mema nchi yetu.

@Maxence Mello

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Huyu mtutsi hata jamii forum wanamlea Sana ,

MTU anatishia Usalama WA Nchi yako Unashindwa kumpa life ban. Na kila siku ni yeye anadhihaki nchi yetu

@moderators acheni hizo tabia kuweni na upendo na nchi yenu. HatA Mimi sipendi CCM Ila linapokuja suala la nchi yangu sipendi MTU anaetishia amani yetu

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Thats true huyu jamaa sijawahi mwelewa au anatuchota watanzania habari zake niza maugomvi/Vita/uchonganishi na bado anajiita Mkristo safi sijui anahubiri amani gani huyu, nakumbuka hata mauaji ya Rwanda yalianza kwa Propaganda kama hizi ya huyu jamaa ogopa sana written document inaishi milele na milele

Mara ajikute mshauri wa Rais wetu wakati ya kwao tu yamewashinda akasuluhishe kwanza kwao ndio aje kwetu.

Kila siku kudharau vyombo vyetu vya Ulinzi sasa sijui anadhani ana mtisha nani ni vema hizo chuki zake apeleke huko kwenye forum za Rwanda atwache Watz tudili na yetu.

Kuna ka Mada kake kamoja eti ana mpiga biti balozi wetu nchini Rwanda.

Its time post ya huyu jamaa kabla ya kupostiwa wahusika wasichunguze kwanza anachochea vita.
 
Thats true huyu jamaa sijawahi mwelewa au anatuchota watanzania habari zake niza maugomvi/Vita/uchonganishi na bado anajiita Mkristo safi sijui anahubiri amani gani huyu, nakumbuka hata mauaji ya Rwanda yalianza kwa Propaganda kama hizi ya huyu jamaa ogopa sana written document inaishi milele na milele

Mara ajikute mshauri wa Rais wetu wakati ya kwao tu yamewashinda akasuluhishe kwanza kwao ndio aje kwetu.

Kila siku kudharau vyombo vyetu vya Ulinzi sasa sijui anadhani ana mtisha nani ni vema hizo chuki zake apeleke huko kwenye forum za Rwanda atwache Watz tudili na yetu.

Kuna ka Mada kake kamoja eti ana mpiga biti balozi wetu nchini Rwanda.

Its time post ya huyu jamaa kabla ya kupostiwa wahusika wasichunguze kwanza anachochea vita.
@moderator ifike muda tunawaomba mumpige life ban huyu bwana.

Haiwezekan atishie Usalama WA Nchi yetu na nyie mnaona Ila hamchukui hatua. Hakuna mtanzania anaeweza kuwa Kigali halafu akawa anaichokonoa nchi ya Rwanda kama anavyofanya huyu halafu akabaki salama. Fuatilieni michango yake na nyuzi zake kuhusu nchi yetu zimejaa ukabila na kutishia Usalama WA Nchi yetu.

Nakuomba @Maxence Mello na Moderator wako msimpe MTU nafasi ya kuvuruga taifa letu tena akijulikana anatoka nje ya nchi kama huyu mleta mada. Pia suala la ukabila msilipe nafasi kabisa.


Nasikitika Sana Kwasababu maandiko yake mnayaona na mnayasoma Ila hamchukui hatua


Moderator

Moderator
Moderator

Moderator

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
@moderator ifike muda tunawaomba mumpige life ban huyu bwana.

Haiwezekan atishie Usalama WA Nchi yetu na nyie mnaona Ila hamchukui hatua. Hakuna mtanzania anaeweza kuwa Kigali halafu akawa anaichokonoa nchi ya Rwanda kama anavyofanya huyu halafu akabaki salama. Fuatilieni michango yake na nyuzi zake kuhusu nchi yetu zimejaa ukabila na kutishia Usalama WA Nchi yetu.

Nakuomba @Maxence Mello na Moderator wako msimpe MTU nafasi ya kuvuruga taifa letu tena akijulikana anatoka nje ya nchi kama huyu mleta mada. Pia suala la ukabila msilipe nafasi kabisa.


Nasikitika Sana Kwasababu maandiko yake mnayaona na mnayasoma Ila hamchukui hatua


Moderator

Moderator
Moderator

Moderator

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ndio maana anapata Kiburi kuandika mada zake humu za kijinga na kuona hachukuliwi hatua yoyote ndivyo anahisi hata nchi yake inaweza kufanya chochote Tanzania.

Wakati mwingine tuwe wazalendo tutambue tuna nchi moja tu ya Tanzania regardless of everything nchi yetu kwanza hatuna pengine pa kukimbilia tukiharibu kwetu tuwe makini na puppet people like huyu jamaa.

Hana mazuri kwa nchi yetu bahat nzuri watz ni watu wa kupuuzia vitu aende kwao halafu ajifanye anamshauri Kagame kuhusu upinzani kama hatujasikia mengine humu.
 
Kama silaha za RPF na UPDF zinapita bandari ya DSM basi hata wasiombe vita na TPDF maana silaha zao zote zimeandikwa kwenye vitabu vya TPD
 
Ukubwa wa Kongo n sawa na ukubwa wa Tz+Kenya+Uganda

Congo hawana umoja. Ni taifa dogo sana kiumoja.. ushawai sikia kuna waasi Tanzania?

Ila congo kuna vikundi vya waaasi kibao
 
Wewe endelea na propaganda zako Vita Vita, vita havina mwenyewe wewe War monger
''Ukitaka Amani jiandae kwa vita''...ndo maana tukaanzisha JKT!! Walipotia huko wana jua hii slogan!! hata weye ukitaka uishi kwa amani nyumbani kwako jiandae kwa vurugu zozote zile kuzikabiri!

wewe una tatizo la msingi la kukimbia JKT ndo matokeo yake haya!
 
Back
Top Bottom