Uelewa wako wa mambo ya kimataifa ni mdogo sana pia hata kutumia akili kidogo tu nayo ni shida ingekuwa rahisi hivyo huyo msaliti Lissu angekuwa alishatumia njia hiyo siku nyingi. Subiri baada ya tarehe 28/10/2020 ndiyo utajua huyo msaliti alivyowadanganya na atarudi kwa mabwana zake huko Ubelgiji na kukuacha unapiga miayo tuu!!