Wanasema " we will pursue every avenue" kuhakikisha kuwa Tanzania inafuata sheria za nchi na sio decree.Robert Amsterdam wameapa kutokucheka na kima mwaka huu, kuna watu watahama nchi
Umesoma kilichoandikwa au umekurupuka tu?Yaani law firm ya Netherlands iipeleke mbio taifa kubwa kama Tanzania, that's a joke? Au sababu ni wazungu ndio maana mnapagwa , mipaka ya kazi zao unaijua, kuna law firm inaweza kucross country na ku attack serikali, au ku command goverment, hacheni utoto. Kwani hiyo ni mahakama ya kikataifa au?
Akili mgando, inawaza 10 years ago.Maalim Seif alishapita kote uko kwenye hizo jumuiya za kinataifa
,tena akiwa na nguvu na afya njema lakini wapi.yeye kachoka na Tanzania inazidi kunawiri.
uchaguzi utafanyika na mtu akivunja sheria anaadabishwa vizuri tu.
Sijasoma?Umesoma kilichoandikwa au umekurupuka tu?
Wewe utakufa na corona tu haina haja hata ya kuhangaika na wewe ass!Wewe ni mpuuzi unateteaje wahalifu wanaoua watu kwenye taifa letu, au na wewe ni mmoja wao?
10 yrs ago azikuwepo jumuiya za kimataifa ila baada ya Lissu kugombea urais ndo zimeanzishwa.Akili mgando, inawaza 10 years ago.
Sasa ndio umeandika nini? Hivi Azory angekuwa ni mumeo ungeweza kuandika hivi? Kwamba unataka kutuaminisha hapa kuwa hujui Azory na wengineo wamekufa na kifo chao kimesababishwa na watu wasiojulikana? Unapata wapi nguvu ya kusema kuwa hujali? Wakati mwingine mabalaa tunajitakia wenyewe. Unaweza kushangaa michongo yako haiendi kila wakati na ni kutokana na tabia kama hizi. Kuna vitu vya kutetea na vingine kuvitetea ni kujitaftia laana na mikosi bureMnajidanganya sana kama mnafikiri hii Dunia inajali achilia mbali hata kujua kama kuna Tanzania, watu wanafikiria corona lockdown na mwanguko wa chumi zao ninyi mnaleta utoto, kwa taarifa yako tu watu zaidi ya 150 000 (laki mja na nusu) hufa kila siku hapa Duniani, hata leo hii mpaka kufikia saa 23:59 watu > 150 000 watakuwa wamefariki, ...
Hivi hili unalosema wazungu ni wabaya kuliko CCM umeongea kwa kutafakari au umezungumza tu?Mi siungi mkono, siwezi kufurahi binadamu mwenzangu akitendewa mambo kama hayo, lakini kukimbilia kwa wazungu sio solution. Hao ni wabaya kuliko hiyo CCM
Acha kuongea uongo jinga wewe. Siku itafika tu msiojulikana mtajulikana. Damu ya mtu haipotei bure. Hata sisimizi kuumba hamuwezi. Muuwe binadamu mwenzenu mjifanye ni jambo la kawaida? Subirini tu you will pay for what you have done. You will never get away with murder.Bro, unaona nini kinachotokea libya, Iraq, Afghanistan, walisema wanaenda kuwakomboa watu wananyanyaswa ma utawala leo watu wanwakumbuka hao vionhozi wao, na hata huko South Africa, ingia google halafu angalia anayemiliki south africa ni kina nani na watu weusi wanaishi vipi ndani ya nchi zao, hizo nyingi ni political stunts na kuonyesha dunia tuu lakini watu wanaangalia interests zao hawana mapenzi wala uchungu na sisi
Mbona kiongozi wako anavunja kila siku na hapati kibano.10 yrs ago azikuwepo jumuiya za kimataifa ila baada ya Lissu kugombea urais ndo zimeanzishwa.
kaa usubiri watafanya nini hao jumuiya za kimataifa na kibano kipo palepale.ukivunja sheria za nchi ni kibano.
Yani kuna watu wakisha sikia mzungu basi wanapagawa sasa huyo bwana robert na ka law firm kake kweli atingishe sovereignty state kama tanzania, Kwanza huyo hata kumjibu hatumjibu
[/QUOTE
Twaweza; 60% ya watanzania wasio na elimu wanaipenda CCM. Nashaka na elimu yako
tukutane baada ya October 2020 na hao viberenge wenu mnaowatumainia.Mbona kiongozi wako anavunja kila siku na hapati kibano.
This is a banana republic, it does not respect its own laws. Na safari hii wanakula sahani moja na nyie, na wameshaanza, stay tuned.
Tukutane october, halafu tutaona kama wazungu watawapa nchi.Acha kuongea uongo jinga wewe. Siku itafika tu msiojulikana mtajulikana. Damu ya mtu haipotei bure. Hata sisimizi kuumba hamuwezi. Muuwe binadamu mwenzenu mjifanye ni jambo la kawaida? Subirini tu you will pay for what you have done. You will never get away with murder.
You are out of context you asshole. Tunaongelea wasiojulikana kupata wanachostahili wewe unaongelea uchaguzi. Pathetic.Tukutane october, halafu tutaona kama wazungu watawapa nchi.
Hii itakamilika lini ili nikukumbushe tena hao wazungu wenu wamewaingiza chaka?
Jibu swali mbona jamaa yako haheshimu sheria za nchi?tukutane baada ya October 2020 na hao viberenge wenu mnaowatumainia.
Wewe ni mpuuzi unateteaje wahalifu wanaoua watu kwenye taifa letu, au na wewe ni mmoja wao?