Pale Amsterdam Lawyers watakaposhawishi jumuiya za Kimataifa kufanya uchunguzi wa kupotea Ben Saanane, Azory, Kanguye, kupigwa risasi Lissu na MKIRU

Jibu swali mbona jamaa yako haheshimu sheria za nchi?

Stay tuned, this time you will face the music maana hata Saddam alijua yeye ni mungu mtu lakini sasa hivi anapatikana kuzimu akiwa hoi.
Sadam yupo kuzimu lakini Iraq apakaliki.wakina Lissu wa Iraq wamekimbilia Dubai.wanakula bata ng'ombe.
 
Acha kudanganya wenzako. Tl angekuja bila hako kabeberu tungeshamla kichwa.
 
They also have many issues as well. As long as we live, ni kufuru kumtegemea mwanadamu kama ndio Mwenyezi Mungu. Majibu hayatakaa kutoka Ulaya...tutasubiri kama hela za Dr. Shika
 
Tungetaka kumla kichwa tungemla tuu, na hao kabeberu kasingefanya chochote.
Kabeberu kamesaidia huo ndo ukweli. Na ndio kanatukwamisha sasa, ila dawa inatafutwa.
 
siku uyo mtu mweupe akiamua kufunga misaada na mikopo yake yote ndipo ata ww utajua kuwa wanamsaada ama hawana....... ila kwa sasa unalala, unaamka, unasoma, unatibiwa, unavaa, unasafiri, unachatt ....... kibaya zaid upeo wako ndo umeishia hapo...... u can't fool all the people at all the time, a song by Bob marley
 
Zile risasi alirusha bashite mwenyewe akiwa ameshika mjegeje na mkono wake wa kuume
 
We upuuzi kweli we unadhani kama ungekua hakuna kitu cha ku offer au wao hawanufahiki na sisi wangekuwa wanajitoa hivyo, ndio maana magu kila siku anasema sisi ni nchi tajiri we need win-win situation, sio kulamba miguu yao, we depend on each other.
 
Wanajazana ujinga mkuu.
 
Taifa kubwa lililosumbuliwa na mkulima wa South Africa?
Taifa kubwa linalowaangukia wanaume wa Accacia?
 
Na kweli huyo Lisu anaonekana kama Kenge Manyoya tuu.
 

Naam, "damu ya ndugu yako imenililia". Risasi 16 kwa binadamu mwenzio hazitakuacha salama. Ama utakufa wewe sasa au utateseka Sana ili upate muda wa kujuta na kuomba toba ya dhati. Kwa vyovyote maisha yako hayatanyooka tena. Zimebaki siku za LAANA na TAABU. Mungu si Athumani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…