The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Akaitafute jamani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafarijika sana nikiona nyuzi zangu zinabadilisha akili za vijana wenzangu, tupo pamoja mkuu.Ukweli mtupu huwezi amani nina manzi wanalilia niwaoe na umri wao 28-30 huwa nakumbuka nyuzi za Natafuta Ajira na kuishia kusema siwezi kuwa simp.
nakazia hapo kwenye dakika za jiooooooooniUsikubali kufanya maisha na mwanamke ambaye alikupotezea kipindi yuko kwenye ubora wake halafu anaanza kujipendekeza kwako dakika za jioni. Ikiwezekana hit her and run.
au TANGO la inch 10 na vilainishiMIAKA 31-33: ... Mara nyingi ndani huwa hakosi dildo ya 15cm.
Acha shobo we fala unapenda sana kujifariji kupitia mimi, wewe itakuwa umeanza kunifahamu juzi waulize wanaonifahamu humu, mimi tangu najiunga JF 2019 nimekuwa nikibishana na wanaume wapumbavu kama wewe kwenye hizi mada, tena kwa ID hii hii na misimamo yangu ni hii hii haijawahi badilika na haitakuja badilika, kwa wanaume gani hasa walioko JF, hadi nitoke huko kote nije kutafuta mwanaume humu, wanaume wenyewe ndio hasara kama wewe si bora hata nife nikiwa singleHiki ndicho kilimfanya Jadda ajiunge JF kupata mume wa kumuoa baada ya kuchezewa sana
Ikashindikana kwa sasa hivi yuko humu kwenye ufeminism
😂😂😂😂Daah we kweli wagumu tunadumu.Hatar,niko na mtu kapitia yote hayo
What is difference between feminist and a child/baby!??Mi basi ni tatizo, nimeanza kuwa feminist nikiwa almost 17-21 hadi leo. 😂😂😂
Kuonesha niko serious na hili jambo, nimefanya courses kibao za feminism na gender issues.
Anyways, nitaolewa na bado nitakuwa na audacity ya kuwaambia mabinti wadogo “Ndoa si fanikio la pekee” in fact inaweza isiwe fanikio vilevile, Tuelewane, ndoa si mbaya, ndoa na mtu sahihi ndio kitu kizuri. tuweke mkazo kwenye usahihi wa watu. Msiwe kama CCM kutwa kujadili amani bila kutaja neno haki.
Sisi ndio feminists, Y”all better get used to us. 🥂
Acha hasira weweAcha shobo we fala unapenda sana kujifariji kupitia mimi, wewe itakuwa umeanza kunifahamu juzi waulize wanaonifahamu humu, mimi tangu najiunga JF 2019 nimekuwa nikibishana na wanaume wapumbavu kama wewe kwenye hizi mada, tena kwa ID hii hii na misimamo yangu ni hii hii haijawahi badilika na haitakuja badilika, kwa wanaume gani hasa walioko JF, hadi nitoke huko kote nije kutafuta mwanaume humu, wanaume wenyewe ndio hasara kama wewe si bora hata nife nikiwa single
Wanawake kukosa rule model wanajitakia wenyewe mkuu.We blame each other
Tunachoweza sisi Jamiii za watu weusi ni kutoa lawama tu
Mnasahau kuwa mwanamke na mwanaume wote hawa wanaweza kuangukia sehemu ambayo hawawezi kutoka.
Tujifunze utofauti kati ya role model na rule model
Wanawake wanakosa rule model Ila wanapata role model.
Ukikosa MTU wa kukuongoza in this life you will end up being ,depressed and dumber .
Ukiona mtu anatumia sana kauli za kutusi ujue umerusha jiwe gizani.Mpumbavu mwenyewe
Madam unayumba yani unasema kabisa ushauri mzurii🙄🙄🙄😂😂😂.ushaur mzuri sana huu ASANTE
Msipende kudandia msiyoyajua, kwa matusi anayonitukanaga huyo jamaa kumuita mpumbavu nimempendelea sana ukizingatia hilo wala siyo tusi, mimi huwa naenda na mtu jinsi anavyotaka akileta hoja nami naleta hoja, ila akitaka matusi hata mimi nayaweza, sasa huyo jamaa hajawahi kuleta hoja yoyote kwangu zaidi ya matusi tuUkiona mtu anatumia sana kauli za kutusi ujue umerusha jiwe gizani.
😂😂😂😂
Aya madam umeshinda.Msipende kudandia msiyoyajua, kwa matusi anayonitukanaga huyo jamaa kumuita mpumbavu nimempendelea sana ukizingatia hilo wala siyo tusi, mimi huwa naenda na mtu jinsi anavyotaka akileta hoja nami naleta hoja, ila akitaka matusi hata mimi nayaweza, sasa huyo jamaa hajawahi kuleta hoja yoyote kwangu zaidi ya matusi tu
Ila unadunda tu naye vizuri 😂Hatar,niko na mtu kapitia yote hayo