Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
sasa jaman kama sio mzuri nawewe nishauri basi๐๐Madam unayumba yani unasema kabisa ushauri mzurii๐๐๐๐๐๐.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa jaman kama sio mzuri nawewe nishauri basi๐๐Madam unayumba yani unasema kabisa ushauri mzurii๐๐๐๐๐๐.
Jitulize ishi maisha yako jikubali na pia yakubali maisha yako.sasa jaman kama sio mzuri nawewe nishauri basi๐๐
aaaaaah ushauri poa sana huu,, najua hata ambao wapo nyuma ya pazia,wamegoma kujitokeza, hakika watapona๐,,, kunywa pepsi ya moto apo utoe jasho jingi then ulale,,, nkipata hela ntalipa.Jitulize ishi maisha yako jikubali na pia yakubali maisha yako.
Ila itakapotokea kaja mtu muhimu kwako na amekuridhia ulivyo na akayakubali maisha yako basi ishi nae.
Maana upweke kitu kimoja kigumu sana,na mara nyingi upweke unakamata sana watu wazima kuliko vijana.
Ila usijichukulie dhaifu wala mwepesi,jipe thamani ile ile na pia atakayekuja akuthamini thamani unayostahiki.
Usije ukajijengea tabaka.
Na joto hili pepsi yamoto my dear!??aaaaaah ushauri poa sana huu,, najua hata ambao wapo nyuma ya pazia,wamegoma kujitokeza, hakika watapona๐,,, kunywa pepsi ya moto apo utoe jasho jingi then ulale,,, nkipata hela ntalipa.
Tell me about itโฆWhat is difference between feminist and a child/baby!??
Ooooh poor them,,afu baba watoto kaingia mitini na nyumbani kwa moto uuuuweeeeh ๐ ๐ ๐ ๐,,unapishana nako njiani ka binti kamepauka pauuuuuNa joto hili pepsi yamoto my dear!??
Unajua kuna single maza wengine hawajataka kupitia wanayopitia na kuna wanawake wengine kuwa wapweke hawajataka ila huwenda kuna hali ya maisha walipitia ikawafikisha pale.
Kila mtu ana mtu wake sahihi wa kuwa nae haijalishi kapitia nini na yukoje.
Uliyemshindwa wewe amemshinda mwingine.
For my view of point a baby will undergo developmental milestone to maturity but feminist has no point of view what is she fighting for exactly.Tell me about itโฆ
If donโt knowโฆ
Na mabinti wengine unakuta mstaarabu ila kila anapogusa anaishia mikono mibaya watu wanashenyenta futa kina hamdala kiuno wanasepa zao.Ooooh poor them,,afu baba watoto kaingia mitini na nyumbani kwa moto uuuuweeeeh ๐ ๐ ๐ ๐,,unapishana nako njiani ka binti kamepauka pauuuuu
Para ya mwisho mbona tutakesha hapa kaka. Itโs not worthy!For my view of point a baby will undergo developmental milestone to maturity but feminist has no point of view what is she fighting for exactly.
What is the main aim of feminism and what is it trying to achieve?
Hahahaha na huruma hawana kabisaNa mabinti wengine unakuta mstaarabu ila kila anapogusa anaishia mikono mibaya watu wanashenyenta futa kina hamdala kiuno wanasepa zao.
Hata kwa ufupisho tu.Para ya mwisho mbona tutakesha hapa kaka. Itโs not worthy!
Hawana aisee.Hahahaha na huruma hawana kabisa
HahahaaaMara nyingi ndani huwa hakosi dildo ya 15cm
Kabiiiiiiiiiisa lo With time kila kitu kitajiseti waache kuwafokeaa asee
acha tu yaani,, lakin hatuachiiiiHawana aisee.
Ila tuache utani wadada siku hizi mnanyanyasika sana kihisia.
Hakika sweetheart...Kabiiiiiiiiiisa lo With time kila kitu kitajiseti waache kuwafokeaa
๐๐๐Ila sasa hivi wanaume wenyewe wanaojielewa ni wachache sana.acha tu yaani,, lakin hatuachiiii
Uzi ufungwee.Unayekula naye ujana hakikisha unaosha naye vyombo uzeeni.