Pale binti anapoyachezea maisha na kuja kujuta mwishoni

Pale binti anapoyachezea maisha na kuja kujuta mwishoni

Hahahaha,,kalikosea njia kakatua kwenye mguu wangu,sasa lile wenge kakashindwa kuruka,nikashika na kuinjoi nako kwa mda then nkaacha kaende,, siwezi ogopa ndege wazuri ivo😊😊
Hahaa that's good Asee...Dada wengine wangekapiga na Mossimo 🤣
Hongera for loving nature as well Miss R
 
Hahaa that's good Asee...Dada wengine wangekapiga na Mossimo 🤣
Hongera for loving nature as well Miss R
But why mosimo😂😂🙌🏾,,kanavotia huruma maskini hadi kakate moto namim ntakua nmeanguka kwa presha
 
Okay, Mr gutter rat so hapo ni vibuyu v/s vibungo?
What made you name me gutter rat!?
Whatever ila mleta mada hakukusudia kama uonavyo wewe punguza hyper.
Kuna kundi la wanawake inawahusu hii mada sio wote.
 
Iko hivi;

MIAKA 12-16: Anapoteza bikra kwa secondary boys au primary boys, hapo ndipo anaanza rasmi safari ya maisha ya kubadili wanaume

MIAKA 17-20: Hapa ndipo anapojiona kuwa dunia yote yake kwanza anavutia. Anaanza kuwapotezea boys wa rika lake kwa sababu ya vijizawadi vya hapa na pale kutoka kwa wanaume wenye umri mkubwa.

Huu umri una vituko sana anaanza kuweka standards za wanaume wa kumuoa awe na gari, kazi nzuri, handsome tall, black, white na mazagazaga kibao. Acha tuone atatimiza ndoto zake?

UMRI 21-23: Bado yuko kwenye peak ya urembo, anaanza kuuza sura anajiunga TikTok, snapchat, insta anaaanza kuweka pics na vids akionyesha tako, shape, kifua, kiulimi nje huku akinengua.

UMRI 24-25: Wanaume wenye nia naye wanajitokeza ili wafanye naye maisha unaweza kuwaita potential suitors, anawakataa kwa sababu anataka uhuru, kuishi night life na party life na bado yuko kwenye hesabu kali kwani analinganisha vipato vya wanaume anaotoka nao.

MIAKA 26-27: Anaanza kuona marafiki zake wa kike wakiolewa. Wazazi wanaanza kumuuliza kwa nini mpaka leo hajamleta mwanaume nyumbani.

Akili inamrudi anaanza kuwatext na kuwacall marafiki zake wa zamani wa kiume, ma-EX na wanaume aliowakataa alipokuwa kwenye ubora wake. Anagundua wengine wameoa, au wako kwenye serious relationships na mabinti wabichi na wazuri kuliko yeye.

Hapa anawalenga hasa wale aliowajua SIMPS ili awahadae wajichanganye wafanye naye maisha.

Katika umri huu kuna mawili APATE au APATWE. Wanaume wanajifanya kama wako serious naye na commitment fake anajikuta anaishia kupigwa hit and run.

Dunia inakuwa chungu kwake anabaki kulia kwa uchungu kwani kila mahusiano anaishia kuchezewa mwili na hisia. Umri nao unasonga urembo unapotea kwa kasi.

UMRI 28-30: Huyooo mbio kwa Mwamposa na manabii anakuwa church-woman, wengine kwa waganga wengine sehemu zote mbili. Kwa manabii anategemea atapata mpendwa katika bwana wa kufanya naye maisha. Loooh!! Anagundua hata wainjilisti nao wahuni wanapiga wanasepa.

MIAKA 31-33: Anaanza kuwa feminist na kujaribu kuwaharibu mabinti wadogo kwa ushauri wa kijinga. Anakuwa active sana kwenye mitandao ya kijamii kusema ndoa sio mafanikio, wanaume wote ni mbwa, wanaume matapeli, mara 50-50 lengo tu awaharibu mabinti. Mara nyingi ndani huwa hakosi dildo ya 15cm.

Katika awamu hii ya maisha yake, anakumbuka maisha yake ya zamani na kugundua kuwa aliishi maisha yasiyo na maana na amefanya mistake kubwa sana maishani.

NB: Katika umri wa miaka 21-30 hapo wengine huzalishwa na kufanywa single moms, akishabikiriwa safari ya maisha umalaya inaanza na kuanzia 30s ideas za ufeminism zinaanza.

SOMO KWA WANAUME
  • Usikubali mwanamke yoyote mwenye umri mkubwa unayekutana popote iwe kanisani akufanye her retirement plan akikwambia dont judge my past ndugu yangu huyo anajificha tu kwenye kivuli cha kanisa ni afisa utamu mstaafu.
  • Usikubali kufanya maisha na mwanamke ambaye alikupotezea kipindi yuko kwenye ubora wake halafu anaanza kujipendekeza kwako dakika za jioni. Ikiwezekana hit her and run.
  • Usikubali kufanya maisha na single moms na feminists kwani walishautumia vibaya ubinti wao
Learn or perish
Nilitolewa bk nikiwa na 14 yrs
Alienitoa alikuwa na 20 yrs
Mpaka leo tuko wote tunazeeka pamoja

Hv inakuwaje mpka mwanaume umkute binti bikira na usimuoe?
Tulioana miaka 6 baadae
 
But why mosimo😂😂🙌🏾,,kanavotia huruma maskini hadi kakate moto namim ntakua nmeanguka kwa presha
Why Mossimo! Cause its light shoes to slap someone with and ease to get off 🤣🤣🤣
Mimi mpaka nyumba nawajengea sasa hivi Nina mpango wa kuwawekea chakula na maji nikipata muda, maana huwa nanunua mkate ile bei chee nawawekea....kunguru na roho mbaya yake hata nyama namrushia 🤣🤣
 
Kiukweli hii tabia yao iliniumiza sana demu nayempenda alinipotezea alilinganisha kipato changu na washkaji wengni mwisho wa siku akasepa.

Nilipambana sana kutafuta pesa yaani nikiamini mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyew mpaka sasa imepita miaka zaidi ya Saba juhudi hazijawai kumtupa mtu sasa ile pisi nilibahatika kukutana nayo imechoka sana sio kama zamani. Anafosi tuludiane ametambua makosa yake na yupo teyali kuishi na Mimi mpaka kufa nilimcheka sana nitamwambia pita kushoto


Snitch stay back
Fair!
 
What made you name me gutter rat!?
Whatever ila mleta mada hakukusudia kama uonavyo wewe punguza hyper.
Kuna kundi la wanawake inawahusu hii mada sio wote.
Gutter rat ohhh sorry i erase thou now your chicken head roaster 😉
 
Msiwanange sana hao mademu.

Nahisi, kuzaliwa mwanamke tu tayari mchezo unasoma 1 - 0.

Imagine, unalivumilia lijamaa for 4 good years, linakuja kuoa mtu mwingine kabisa walio kutana mwaka mmoja ulio pita 😄

Hyo trauma unazani atakua sawa?

Ushauri ukiwq mtoto wa kike, above 24 years, kama hujaochumbiwa, Huna pete wala hautambuliki ukweni wewe upo single, Endelea kutoa no. na kujibu SMS mpaka pale kijana mwenye kiherehere atie nanga nyumbani.

Otherwise majuto ni mjukuuu
Sasa akifanya hvy c hy nyapu itachakazwa sana afu jamaa aje kula uchakavu
 
Mkuu sijamaliza hata kusoma,kabinti kangu kamoja tu ila wahuni wamekafagia kanalea mtoto wakati kenyewe katoto.
Hela yoote ya masomo binti kapanua paja kaliwa kimasihara.
Ila vidume vi4 vipo vinapotezea hiyo issue.
Huyu kenge gharama zote za huyu binti ziko kwenye daftari.
Ngoja tuonane hata kaburini atalipa mahari yangu.
 
Average Joe’s wanajidanganya sana..
Because they are arrogant Jack asses. They see themselves as a woman’s savior from being an old maid. This isn’t 1900 it’s the 21 st century. Women don’t need “saved”. Or to be married. We can make our own choices.. hey niggaz msijipe umuhimu..
Mi naelewa sana why all this! I can write a lot of words ila nimechagua kuacha na kujibu upuuzi kwa upuuzi.

Men need to relax, wajitafutie bikira dogodogo waoe watulie. Mbona simple?
 
Backbencher hapa, kabla hata ya kusoma mbio kukomenti nitasoma nikimaliza, iko hivi

Hao wapigania uhuru ni wa kuwachunia tu, waendelee kucheza mabonanza ya maveterani. Wakiwa wabichi huwa ni zaidi ya mateso kwetu tusio na mali.
 
Mi naelewa sana why all this! I can write a lot of words ila nimechagua kuacha na kujibu upuuzi kwa upuuzi.

Men need to relax, wajitafutie bikira dogodogo waoe watulie. Mbona simple?
Lazima kwanza wawanange ndio mambo mengine yaendelee, mliwatesa sana vijana wetu wakati wanajitafuta mkiwa ving'asti
 
Why Mossimo! Cause its light shoes to slap someone with and ease to get off 🤣🤣🤣
Mimi mpaka nyumba nawajengea sasa hivi Nina mpango wa kuwawekea chakula na maji nikipata muda, maana huwa nanunua mkate ile bei chee nawawekea....kunguru na roho mbaya yake hata nyama namrushia 🤣🤣
Hakikisha umesomea utalii ili ukawalinde vizur,,au ue game ranger 😊😊😊
 
Back
Top Bottom