johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #201
Hapa tunazungumzia ripoti ya CAG!Bajeti inakwenda kutekeleza ilani sasa ulitaka watukane au? Hizi stress za maisha na kukosa nafasi za uongozi katika chama na serikali zinatupeleka kubaya.
Finance & BuildingACHA DHARAU MKUU
Mabwana wale walikuwa wezi wakubwa tuFinance & Building
Tatizo lako uko kishabiki zaidi!Hizi dharau ni kubwa sana na kulikosea heshima Bunge zima kuwa hakuna watu wenye weledi wa kuchambua mambo. ila sikushangai maana mmerithishwa na Mbelgiji mmoja ambaye anajiona katika nchii hii yeye ndo mtaalamu wa Sheria zote
Hakuna mwanasiasa asiyekula lakini wengine wanakomba mboga!Mabwana wale walikuwa wezi wakubwa tu
Aliyeleta Thread ni MwanaCCM mwenye heshima zake sio kama wewe Chawa.Hizi dharau ni kubwa sana na kulikosea heshima Bunge zima kuwa hakuna watu wenye weledi wa kuchambua mambo. ila sikushangai maana mmerithishwa na Mbelgiji mmoja ambaye anajiona katika nchii hii yeye ndo mtaalamu wa Sheria zote
Hili ndio kosa la hawa marafiki zako ktk chama.Tatizo lako uko kishabiki zaidi!
KweliACHA DHARAU MKUU
Msimponde Msukuma maana alipowaponda wasomi hamkumwambia siyo sawa. mliliridhika; na wasomi wanajiangusha wenyewe kwa kundekeza siasa na kutelekeza utaalamu wao.Hawa wametumia sehemu ya muda wao katika maisha yao kujielimisha ili kuwa uwezo wa kupambanua na kuchambua hoja,
Sasa Msukuma na Mwana FA wataleta stori za vijiweni kwenye bunge na hii ndio alikuwa jiwe anataka ili kuwatoa kwenye kuhoji vitu muhimu.
Daah! We jamaa weweHahahaaaa..... Yupo bwashee.
Asingekuwepo tumbili angekufa njaa.
Marehemu Jiwe alijua umahiri wa Wabunge wa Upinzani katika kudadavua reports za CAG na michango yao kwa Bajeti za Serikali ndo maana aliamua kuwadhibiti Wabunge hao kiaina aina......!!!Tukiweka itikadi pembeni, kiukweli pale bungeni simuoni mtu mwenye uwezo wa kuichambua ripoti ya CAG kama walivyokuwa Zitto Kabwe, J J Mnyika, James Mbatia na Tundu Lissu.
Kuwa mwanasiasa mzuri ni jambo moja lakini kuwa mwanasiasa " mahiri" ni jambo lingine kabisa.
Hao niliowataja unapofika wakati wa uchambuzi wa maswala ya kitaalamu iwe uchumi, sheria au fedha huwa na udadisi wa kitaaluma siyo kishabiki.
Ripoti ya CAG iliyowasilishwa kwa mh Rais Samia leo inahitaji hoja nyingi za kibobezi/ kidadisi lakini sidhani kama akina Babu Tale na Nusrat Henje wana viwango hivyo.
Itoshe tu kusema wabunge wengi wa sasa wana uwezo mdogo na ujasiri hafifu wa kujenga hoja.
Ni dharau kana kwamba wabunge ni wauza sura, mbona wapo akina bashe, Silinde n.k.Kumbuka mleta mada ni kijani mwenzenu
Hakuna kitu kama hicho wabunge wote 364 washindwe kuichambua ripoti ya CAS kweli kwahiyo wao wanafanya nini bungeni ?Tatizo lako uko kishabiki zaidi!
sawa kunguni nimekuelewaAliyeleta Thread ni MwanaCCM mwenye heshima zake sio kama wewe Chawa.
Labda yule Dr Kimei na Daktari Tulia!Hakuna kitu kama hicho wabunge wote 364 washindwe kuichambua ripoti ya CAS kweli kwahiyo wao wanafanya nini bungeni ?
Ila tulifikia pabayaHalafu CAG baada ya hayo akiwaita dhaifu watakimbilia kumuita kamati ya maadili na biti kali toka kwa spika kuwa asipofika atafuatwa kwa pingu.