mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,773
- 2,183
Dah bwashee nawe wabadili gia angani mara hii kabla hata mtakatifu hajakaa kwenye nyumba yake siku 2! Wabongo si wa kuaminika!Tukiweka itikadi pembeni, kiukweli pale bungeni simuoni mtu mwenye uwezo wa kuichambua ripoti ya CAG kama walivyokuwa Zitto Kabwe, J J Mnyika, James Mbatia na Tundu Lissu...
Hapa nazungumzia uwezo wao siyo habari za uchaguzi!Lakini mlishangilia sana walipoporwa ushindi wao
Uende kusaidia kuchambua upo karibu hapoHehehe!
Ndugu yangu, mjukuu wa chifu Mareale, naona this time kichwa chako kimeamka vizuri. SafiTukiweka itikadi pembeni, kiukweli pale bungeni simuoni mtu mwenye uwezo wa kuichambua ripoti ya CAG kama walivyokuwa Zitto Kabwe, J J Mnyika, James Mbatia na Tundu Lissu...
Bwashee hapa sipo kiitikadiDah bwashee nawe wabadili gia angani mara hii kabla hata mtakatifu hajakaa kwenye nyumba yake siku 2! Wabongo si wa kuaminika!
Uende kusaidia kuchambua upo karibu hapo
Hahahaaaa...... Msema kweli ni mpenzi wa Mungu bwashee!Ndugu yangu, mjukuu wa chifu Mareale, naona this time kichwa chako kimeamka vizuri. Safi
Aiseee mmerudi wote, karibu tena mkuu.Kazi rahisi sana atachambua Babu Tale.
Bwashee maendeleo hayana vyama!Hata siamini kuwa ni wewe johnthebaptist!
Ukiweka unafiki pembeni, kumbe uko njema kichwani.
Tumerudi wapi? Kwani tulienda wapi?Aiseee mmerudi wote, karibu tena mkuu.
Hahahaaaa...... FF naye umeshamuona?!!Aiseee mmerudi wote, karibu tena mkuu.
Unataka kusema wananchi waliowachagua wabunge wao kwa kishindo cha asilimia 90 ni wajinga?
Babu tale alisema hawezi kufua boxer kwa sababu alizoea kufulia na mke wake. Imagine Huyu ndio anakua Mbunge wakoAlaf Mbona Babu Tale anakua mfano kwenye mambo mengi ya msingi yahusuyo bunge?πππ Kama jimboni kwake wapo watu wa design yake mlitakaje?πππ
Anyway This time anaweza toa hoja moja amazing na hamtaamin masikioni mwenuπππ
Nimeshamuona mama la mama, na amenijibu wazi kuwa amerudi sababu ya Bi. Samiah.Hahahaaaa...... FF naye umeshamuona?!!
Sijui mlienda wapi mkuu, nimewaona kwa pamoja leo.Tumerudi wapi? Kwani tulienda wapi?
Tena aliyepita bila kupingwa!Babu tale alisema hawezi kufua boxer kwa sababu alizoea kufulia na mke wake. Imagine Huyu ndio anakua Mbunge wako
Hakika jogoo limeshawika!Nimeshamuona mama la mama, na amenijibu wazi kuwa amerudi sababu ya Bi. Samiah.