lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,164
- Thread starter
- #21
Kwani kitu gani diamond kama daimond kafanya kibaya
Rommy kasema alikuwa mpenzi wake na hata chatts zao kasema anazo
Dimond alikiri GAZETINI naomba google DIMOND KAMPIGA WEMA, utaletewa magezeti yenye hio interview kakiri kabisaa KUMPIGA WEMA. Sasa huyu mtu ni mnyanyasaji wa wanawake hafai kuwa BRAND AMBASSADOR. Achia mbali VERBAL ABUSE ANAZOWAFANYIA WANAWAKE.
Hatuwezi kuwa na jamii ya hivi. Sio sahihi.