Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda

Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda

itanisaidia nini NIKAKAA KIMYA? Aliebakwa unaona SAWA TU? Wale dada walivotukanwa mapaka kesho anawatukana unaona sawa tuuu? Alivomuathiri physically na psychologically mtoto wa mwenzie unaona sawa tu?

Low key tutafumbia macho ILA KUWA PROMOTED NA GLOBAL BRANDS HELL TO THE NO! NITAPAYUKA, NITAROPOKA ROPOKA OVYO MPAKA NIWE MSTARI WA MBELE. KESHO NA KESHOKUTWA AKICHUKULIWA HATUA HUYU MNYANYASAJI WANAWAKE VIJANA WATAKUWA NA ADABU NA UNYENYEKEVU DHIDI YA WANAWAKE. NA ITANISADIA SANAA WANANGU, WADOGO ZANGU KUKUA NCHI YENYE MAZINGIRA SALAMA.
Kawatukana kiaje?
Maake naona anasema kitu halisia na hajatukana mtu
 
Kwa Kwel Leo Umechemka Dada Angu!! Umesema Dai Alikuwa Akimbunda Wema! Nan Ana Ushahid? Wewe Ni Housegal Wao Au? Then Dai Kamtukana Diva! Umesahau Diva Alimjibu Palepale Hewan Kuwa Wewe Sio Type Yangu! Loh! Sasa Nan Kamdhalilisha Mwenzie? Punguza Moto Na Chuk Kwa Mond. {UMENIBOA SANA}
 
itanisaidia nini NIKAKAA KIMYA? Aliebakwa unaona SAWA TU? Wale dada walivotukanwa mapaka kesho anawatukana unaona sawa tuuu? Alivomuathiri physically na psychologically mtoto wa mwenzie unaona sawa tu?

Low key tutafumbia macho ILA KUWA PROMOTED NA GLOBAL BRANDS HELL TO THE NO! NITAPAYUKA, NITAROPOKA ROPOKA OVYO MPAKA NIWE MSTARI WA MBELE. KESHO NA KESHOKUTWA AKICHUKULIWA HATUA HUYU MNYANYASAJI WANAWAKE VIJANA WATAKUWA NA ADABU NA UNYENYEKEVU DHIDI YA WANAWAKE. NA ITANISADIA SANAA WANANGU, WADOGO ZANGU KUKUA NCHI YENYE MAZINGIRA SALAMA.
Niko free lara 1
We toa point kama ulivyonambia kuhusu we kusema kumpiga wema
We toa mifano ya usemacho
Ni bora ukaongea kwa mifano lkn sio jaziba
Maake ata kwenye kesi watataka ushahidi zaidi kuliko emotions
 
Ko sio kosa??
Mbna haulisemei kama ni kosa bali unampaisha tu na kumshauri asizae (atoe mimba)
Sababu yako nini hasa
Au shida yako ni kukwamisha maendeleo ya wa2
Kama unakemea makosa ni bora ukaona upande uliopo uko sahihi

Hapa tunaongelea ENDORSEMENTS NA USTAHIKI WA ALIEKUWA ENDORSED JE ALISTAHILI HIO NAFASI KWA MIKASHFA KASHFA YAKE NA HISTORIA YAKE YA UNYANYASAJI WA WANAWAKE?

Mimi kama mimi naweza kuwa na makosa 100,000 nituhumuni, nihukumuniii ILA VODA WALIKURUPUKA NA NDO KIMEKIWASHAA KAMPUNI KAMA ILE SIO YA KUFANYA BLANDER ILE. Wait till email nilimfowadia LINDA IKEJI WA Welcome to Linda Ikeji's Blog IWE PUBLISHED. Kanishukuru for the GIST sio kidogo. Sasa namtumia na bango la Rommy na kumwambia Voda wamegoma kulitoa. Mijipu ya voda tz ikianza kutumbuliwa mjue tu ni mimi.

SALAMA YAO VODA WACHUKUE HATUA WAKATI MAMBO BADO LOW KEY, YAKISHAKUWA GLOBAL NA KU TREND TWITTER, FACEBOOK ITAKUWA MAKOSA MA 2, KWANZA KUKURUPUKA, PILI KUJITIA NUNDA KWA KUTOKUCHUKUA HATUA KWA WAKATI NA KAZI WATU WATAPOTEZA HILI LILISHAWAKA HAPA.
 
Niko free lara 1
We toa point kama ulivyonambia kuhusu we kusema kumpiga wema
We toa mifano ya usemacho
Ni bora ukaongea kwa mifano lkn sio jaziba
Maake ata kwenye kesi watataka ushahidi zaidi kuliko emotions

ALL YO HAVE TO DO IS GOOGLE! Haina haja hata ya mifano, yanakujia magazeti mpaka utafurahi. interviews ndo usiseme. mbona haya nayoongea ni marudio tu hamna jipya
 
We niite stupid maliza yoteeee ILA HAIMSAFISHI DIMOND HATA CHEMBE. NA VODACOM NITAWATUMBUA TU HILO JIPU LAO. Nimesha m DM Debora insta ndo wa kwanza kufunguka, believe me, Joyce Kiria yupo njiani soon ataonesha makali. RIP DIAMOND AND OTHER WOMEN ABUSERS. MPAKA MTUBAKE WOTE NDO TUONGEE. Hataaaa.

ULIPOKOSEA KUMJUMUISHA JOYCE KIRIA HUYO WA KUTUKANA WANAWAKE WENZIE INST KWA MATUSI YA NGUONI SIO SIRI NAMDHARAU SANA ANAELIMISHA JAMII IPI HUYU IKIWA YEYE HAWEZI KUJISIMAMIA?
 
mgombea uvccm2017

LAZIMA TUIJENGE JAMII YETU. UKIONA MPKA MIMI THE WORST OF THE WORST NIMEONGEA UJUE HALI YA BABA WA TAIFA NI MBAYA SANAAAA. Given my history sikutakiwa kuona tatizo kabisaaa ila nimeona ndo mjue ilipofika YATOSHAAAAA. Hatuwezi kuendelea hiviiii.

STOP THE VIOLENCE AGAINST WOMEN
 
Ulichoongea ni kweli kabsaa kuhusu Daimond na hizo kampuni, lakini nadhani huko nchi zote ambako kampuni zilichukua hatua nadhani baada ya Mahakama kuthibitisha kuwa kweli katenda kosa, Kama walofanyiwa hayo hawakuwa tayari kwenda Mahakamani na hivyo vidhibiti unadhani hili swala litasimamiwa vipi kisheria?? Mpaka hayo Makampuni yaweze kuvunja nae Mkataba??

Kuhusu kesi ya Rommy yule ni mtu mzima, uchafu wake hauwezi hamishiwa kwa Diamond, Na kingine hivi kweli mpenzi wako anaweza kukubaka?? kama umeamini maelezo ya Meneja wa Diamond kwamba jamaa alifanya kweli na alikuwa kalewa nadhani ULIMSIKIA SALAM HUYO HUYO AKISEMA KUWA TAYARI YULE WALIJUA NI SHEMEJI YAO, KWA JINSI MIENENDO MSG WALIZOKUWA WAKICHAT NA ROMMY. Huyo Debora nae anatakiwa kuwa muwazi Rommy hakuwa mpenzi wake????
Nadhani Debora mpiga dili tu
 
Hapa tunaongelea ENDORSEMENTS NA USTAHIKI WA ALIEKUWA ENDORSED JE ALISTAHILI HIO NAFASI KWA MIKASHFA KASHFA YAKE NA HISTORIA YAKE YA UNYANYASAJI WA WANAWAKE?

Mimi kama mimi naweza kuwa na makosa 100,000 nituhumuni, nihukumuniii ILA VODA WALIKURUPUKA NA NDO KIMEKIWASHAA KAMPUNI KAMA ILE SIO YA KUFANYA BLANDER ILE. Wait till email nilimfowadia LINDA IKEJI WA Welcome to Linda Ikeji's Blog IWE PUBLISHED. Kanishukuru for the GIST sio kidogo. Sasa namtumia na bango la Rommy na kumwambia Voda wamegoma kulitoa. Mijipu ya voda tz ikianza kutumbuliwa mjue tu ni mimi.

SALAMA YAO VODA WACHUKUE HATUA WAKATI MAMBO BADO LOW KEY, YAKISHAKUWA GLOBAL NA KU TREND TWITTER, FACEBOOK ITAKUWA MAKOSA MA 2, KWANZA KUKURUPUKA, PILI KUJITIA NUNDA KWA KUTOKUCHUKUA HATUA KWA WAKATI NA KAZI WATU WATAPOTEZA HILI LILISHAWAKA HAPA.
Ila kumbuka lara makosa yanayoongelewa ni yale ya kumpeleka mtu mahakamani.na sio kumpeleka tu kuna kushinda pia.je wema alimpeleka mahakamani na akashinda??
 
ALL YO HAVE TO DO IS GOOGLE! Haina haja hata ya mifano, yanakujia magazeti mpaka utafurahi. interviews ndo usiseme. mbona haya nayoongea ni marudio tu hamna jipya
Nipe site niangalie kama ulivyosema hyo ya kumpiga Wema
 
Nadhani Debora mpiga dili tu

Hata angekuwa kahaba ni MWANAMKE NA ANALINDWA NA SHERIA ZA SWEEDEN NA HAKI ZA BINADAMU. WHAT ROMMY DID WAS WRONG ALL HE HAD TO DO WAS APOLOGISE AND COMPENSATE HER SIO KULETA UJANJA UJANJA NA UKANDAMIZAJI WA WANAWAKE, KUMDISCREDIT VICTIM SIO KUONDOA KESI
 
Kaka msamehe aisee duh hayo maneno yote utamuua, in fact this woman looks like one of the victim either indirectly or directly.
Unenichekesha tu hapa; icon unclean stupid girls in US.
Pole sana inaonekana wewe ni miongoni mwa Ex wa Diamond wanaotaman warudiane nae wakati huu alipofanikiwa! Hahahahahaha! Shame on you! Tanzania sio USA ambako icon anapaswa kuwa Clean stupid girl! Ingekuwa hivyo tungekosa hata wagombea wa kisiasa kwa sababu tunahitaj clean! Na ulivyomjinga abuser kwako ni wa wanawake tu?! Hahaha! Uclean wa mtu tunaangalia kila kitu sio wanawake pekew! Kwa sababu Joti hana skendo ya wanawake basi unadhani hana zingine halaf pambana mwenyewe unawaingiza kina Mange wa ninu? Stupid! Tushajua kitambo we ni Mange kichaa pambania talaka yako achana na Icon wetu tako kunuka weww
 
Hata angekuwa kahaba ni MWANAMKE NA ANALINDWA NA SHERIA ZA SWEEDEN NA HAKI ZA BINADAMU. WHAT ROMMY DID WAS WRONG ALL HE HAD TO DO WAS APOLOGISE AND COMPENSATE HER SIO KULETA UJANJA UJANJA NA UKANDAMIZAJI WA WANAWAKE, KUMDISCREDIT VICTIM SIO KUONDOA KESI
Maana mi najua mtu atazusha vitu vyovyote ili apate umaharufu au hella
Sasa kwa akili zako tu za kikawaida kama we kweli ni mzima wa akili na adi ukaona uuweke uzi huu umu ndani kwa MAGREAT THINKERS
kweli Rommy akose mschana mpaka ambake mtu

Najua jibu lako litaonesha akili yako
 
Ndio umeandika nini sasa?! Mwanamke ataheshimika kama anajisheshimu mwenyewe na anaweza kusimama mwenyewe lakini kama kila siku mnategemea bidhaa mliyzopewa kama kitegauchumi basi mjiandae kudhalilika tu.

Hao wadada uliowataja walijidhalilisha wenyewe kwa kupenda mteremko. Wanataka maisha mazuri wakati hawataki kufanya kazi..

Dogo Diamond wanafuata pesa yake na wala sio yeye so pesa inawanyanyasa!
 
Hata angekuwa kahaba ni MWANAMKE NA ANALINDWA NA SHERIA ZA SWEEDEN NA HAKI ZA BINADAMU. WHAT ROMMY DID WAS WRONG ALL HE HAD TO DO WAS APOLOGISE AND COMPENSATE HER SIO KULETA UJANJA UJANJA NA UKANDAMIZAJI WA WANAWAKE, KUMDISCREDIT VICTIM SIO KUONDOA KESI
Na it seems you are a true biliever of UDAKU.yaani unaamini udaku leo????
Fatilia we kama wewe maake udaku wanaandika chochote ili watu wanunue ko haijalishi ni cha ukweli au uongo
 
Maana mi najua mtu atazusha vitu vyovyote ili apate umaharufu au hella
Sasa kwa akili zako tu za kikawaida kama we kweli ni mzima wa akili na adi ukaona uuweke uzi huu umu ndani kwa MAGREAT THINKERS
kweli Rommy akose mschana mpaka ambake mtu

Najua jibu lako litaonesha akili yako

Sikiliza interview ya meneja wa Dimond afu soma upya ulichoandika
 
Back
Top Bottom