Pale Makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Voda

OK...
Ngoja nikawawekee link
 
I totally agree with you. Bahati mbaya sana, ni wanawake wachache mno wanaotambua thamani yao na hivyo kuishia kunyanyaswa

HATUTAKIWI KUWASUSA, TUNATAKIWA KUWAELIMISHA MDOGO MDOGO KWAMBA WANACHOFANYIWA SIO NA SHERIA ZIPO KUWALINDA, NA WANYANYASAJI TUNA WA CRUCIFY, WADHAMINI WAO NAO TUNASULUBU TU MWANZO MWISHO. MPAKA KIELEWEKE.

Wengine ni kukosa kuelimishwa tu ila ukiwaelimisha wanajitambua na kujikomboaaa. Kama hapa kwenye huu uzi NIMEPOKEA USHUHUDA KUNA BINTI ALIBAKWA NA MJOMBA WAKE, SEMA HAKUCHUKUA HATUA SABABU NDO KAMA HII HAKUWA KAJITAMBUAA BY THEM NA ALIMFANYIA HICHO KITENDO MARA NYINGI TU AKAWA KAKAA KIMYA TU.

SAHIVI MTU MZIMA KAOLEWA ILA KADRI NAVOZUNGUMZA HAPA NAMFUNGUA MACHO KWAMBA KUNA MAMBO MENGI ANGETAKIWA KUFANYAKUJIKWAMUA ILA HAKUPATA MSAADA WOWOTE. ILA SAHIVI BAADA YA KUELIMIKA KIMEMUUMA SANAAA, SANAAAA. NA KANIOMBA USHAURI AFANYAJE.

NIMEMSHAURI AMDAI FIDIA KWA UNYAMA ALIOMTENDEA, HAULIPIZI BUT IT IS SOMETHING KUCOMPENSATE CRIMES COMITTED AGAINST HER. MANAKE HUYO MJOMBA ANA UWEZO MKUBWA. SABABU MAMBO YASHATENDEKA BORA ACHUKUE HIO FIDIA. AKAMTUMIA SMS MJOMBA ULIVONIFANYIAGA HAIKUWA SAHIHI, SASA NIMEJITAMBUA NAJUA SIWEZI KWENDA MBELE ILA NAENDA UTU MWANAMKE, NAENDA KUTOA USHUHUDA MASHULENI, MAKANISANI KILA MAHALI KUWA ULINIBAKA MARA NYINGI SANAAA. NAWAAMBIA NA NDUGU WOTE TENA NAPOST KWENYE GROUP LA FAMILIA NA LINE YA USICHANA NINAYO INA SMS ZAKO ZA KUNITISHA. Mjomba kapiga simu mwenyewe yuko tayari kumfidia chochote ni ujana tu shetani alimpitia, ila chonde chonde afe nalo. Kakubali kumpa nyumba na gari. Not much ila vitamliwaza ukizingati mwenyewe yatima na maisha yao ya kuunga unga na mumewe.

I SAVED ONE SOUL YESTERDAY. TUENDELEE KUELIMISHANA.
 
Hujafanya kitu jasiri ata kidogo
Umeonesha chuki zako mbele
Na hilo linaonekana tangu posts zako za nyuma

Afu ata elimu itakuwa ni shida kwako maana huna hata evidence ya kutoka mahakamani kuwa umeshinda
"NO ONE IS GUILTY UNTIL PROVED BY THE COURT"
 
Naona post yako hii licha ya kwamba ni ndefu,inapitwa tu bila hata "like".dah!!,noma kweli aisee.
 
Naona post yako hii licha ya kwamba ni ndefu,inapitwa tu bila hata "like".dah!!,noma kweli aisee.

Nikitaka like natoa story moja kali sanaaa. LIKES ZISINIKOSESHE MBINGU BABU WEEE.
 
Tatizo la mademu wengi ni ulimbukeni, hawana fikra pana na wala hawana wanalolijua zaidi ya kuwa kwenye mahusiano. Kujiongeza na kutaka kutafuta kwa kuvuja jasho hawataki na wanataka mtelemko. I wish kama wangetambua maisha ni kupambana na wawe bize kusaka hela kwa kujishughulisha, wasingekuwa abused hivyo. Mtu unataka ukae nyumba nzuri, uwe unaletewa kila kitu, upate hela za kustarehesha marafiki, na ule bata za kufa mtu, uwe na wardrobe iliojaa expensive stuffs, uwe na gari inayobamba mtaani kwa kutumia huruma wanaume. Hujui kutafuta cha kwako, hata mafuta yakiisha kwenye gari unaomba hela, si usenge huo? Ukiachwa, unahaha, hujui hata pa kuanzia. Basi kuwa na heshima kwa wanao kuwezesha basi, heshima f, utaachwa kupigwa? Utapigwa tu, lazima upigwe. Huna thamani, na huwezi thaminiwa!
 
Hoja ni kwamba mtu anayetetea wanawake hawawezi kudhalilisha wanawake wengine simply because hawapo upande wake!! Kama unadhani kumfananisha mwenzako anazaa kama kuku na wewe unaona hiyo ni sawa tu basi you've a problem! By the way, nimekuuliza hivi wewe una utoto gani hadi Zari kwako awe Bibi Kizee... hujajibu!!

Kwamba eti hata Zari nae anatukana ni irrelevant argument coz' yeye hajajifanya mtetezi wa wanawake!

Aidha unadai hakuna mahali ambapo nimemsafisha Diamond wala Rommy!! Hapo ndipo unatakiwa kugundua kubwa kati yangu na yako!! Mimi siwezi kusema fulani amefanya au hajafanya wakati sikuwepo eneo la tukio tofauti na wewe unaye-conclude fulani alibaka as if ulikuwepo na hakuna mamlaka iliyothibitisha!

Do I need to say more about this big difference between you and me?
 
Lara 1 nimesikia call yako....
Kapuku mimi sizzya007 niko pamoja na wewe, kama uko serious na unahitaji whistle blowerz wakutosha just give me a poke.

Dimond hana ethics na hili halina ubishi.

KATIBU KIONGOZI WA MAKAPUKU
 
Documented from untrusted sources; gimme a break! Jana nimekuuliza mwandishi wa ile habari ni nani hujajibu; nikikuuliza adress hujajibu bado unatarajia watu serious wa - rely kwenye source kama hiyo!!!
 
Hujafanya kitu jasiri ata kidogo
Umeonesha chuki zako mbele
Na hilo linaonekana tangu posts zako za nyuma

Afu ata elimu itakuwa ni shida kwako maana huna hata evidence ya kutoka mahakamani kuwa umeshinda
"NO ONE IS GUILTY UNTIL PROVED BY THE COURT"
HAHAHAAAAAAAAAAAA! KWELI I HAVE A LONGWAY TO GO. Na wewe ni mwanamke unakojoa umechuchumaa

KWELI ELIMU YANGU NDOGO NIMEKIRI MARA KIBAO KUWA SIJATHOMA MWENZENUUUU. NASOMA KWA BUNDLE ZA 500, 500 TU ONINE. Nifanyaje sasa mwenzenu.
 

LIKE I KEEP TELLING YOU IS YOU DONT MATTER IN ALL THIS. WHAT MATTER JE KUNA DOCUMENTED REPORTS ZA DAI VIOLENCE AGAINST WOMEN? ZIPO HIO MOJA ZIPO NYINGI TU ONLINE. NA JE NI DOCUMENT GANI? GAZETI! INTERVIEWS SO THE VIOLENCE WAS PUBLICY RECORDED. BAAAAAAAAAAAAAAASSSSSSSSSS.

Mimi nipo hapa TO MAKE VODA SEE. Nimesema Jipu la Cosby lilichukua 40 yrs huko US hapa Bongo inaweza chukua hata 100 years, Tuombe uzima tu but I AM DEDICATED FOR THIS TASK.
 
Lara 1 nimesikia call yako....
Kapuku mimi sizzya007 niko pamoja na wewe, kama uko serious na unahitaji whistle blowerz wakutosa just give a poke.

Dimond hana ethics na hili halina ubishi.

KATIBU KIONGOZI WA MAKAPUKU
THANK YOU!
 
Again unatetea ujinga kv tu umefanywa na Mange! Hoja ni kwamba huwezi kujidai eti mtetezi dhidi ya uzalishaji wakati role model wako ni mdhalilishaji mkubwa wa wanawake wenzake tena akitumia matusi mazito mazito! Tumia title nyingine then tutaenda pamoja lakini kujifanya mtetezi; HELL NO!!

Hayo mengine sioni sababu ya kujibu manake source zake nishazi-discredit kitambo!!
 
Just waiting for the results
Because you have no strong points i also consider that only idiots will understand you

Relaxxxxxxx. Kuna nia nyingi za kumuua mtu sio lazima umnyonge. Na hili jipu kuna njia nyingi za kulitumbua. Alikosekana tu mtu mwenye nia ya dhati ya kulikamua, sasa nimepatakinaa. Twende mdogo mdogo.
 

Hahahaaaaaaaaaa! MANGE ITAKUWA ALIKUCHUKULIA BWANA SI BUREE MAANA ALL YOU THINK IS MANGE MANGE AND MORE MANGE.

Mimi just like you I DONT MATTER I AM JUST A WHISTLE BLOWER. It doesnt matter hata role model wagu angekuwa Yesu. Haya mambo yashatendeka and WE (ME AND YOU ARE INSIGNIFICANT IN ALL THIS)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…