jogijo
JF-Expert Member
- Mar 29, 2019
- 260
- 495
Hujui biblia mkuuHakuna cha vatican wala cha marekani, sheria za ukristo ni kwamba huwezi kuongeza mke na kitu pekee cha kuwatenganisha ni kifo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui biblia mkuuHakuna cha vatican wala cha marekani, sheria za ukristo ni kwamba huwezi kuongeza mke na kitu pekee cha kuwatenganisha ni kifo
Nimekuelewa vema na sidhani kama umenipinga bali umeeleza kwa protocol zaidi na duongeza mambo mengine nisiyoyajua. Huwenda mwenzangu ni mkatoliki muhusika zaidi(padre , katekista,mleyi,askofu,mzee wa kanisa au shemasi) kuliko mimi. Ingawa hata mimi sikuzungumzia talaka kwa maana ya karatasi kama wanayotumia waislamu ila nilimanisha sababu moja wapo inayotosha kuachanisha watu. Nadhani kutumia neno kuachanisha ndio palipoleta shida ulipenda nisitumie neno hilo kwakuaa ndo inavunjwa na kiwa kama haikiwepo .Si kweli unayoyasemea kwa Ukatoliki. Vigezo vitatu vinahitajika kwa ndoa kutambuliwa katika Kanisa Katoliki:
1. Ndoa iwe kati ya mwanamme na mwanamke.
2. Ndoa ifungwe (iwe 'solemnised') na mtu mwenye madaraka ya kufungisha ndoa.
3. Ndoa iwe 'consummated' yaani tendo la ndoa lifanyike kati ya maarusi.
Vigezo viwili vya kwanza vinaweza kutokea, lakini cha tatu kikakosekana. Hapo hakuna ndoa. Kwa mfano Padri ashuhudie arusi kanisani na kuwapa kabisa maarusi cheti cha ndoa. Usiku huo mme anaomba waahirishe unyumba kwa kuwa amechoka mno na pilka pilka za arusi. Kesho yake anaumwa tumbo. Siku inayofuata kuna sababu nyingine, mpaka mwezi unakatika bila unyumba kufanyika kati ya maarusi hawa. Baadaye inakuja kuthibitishwa kwamba mwanaume ni hanithi: hawezi kufanya tendo la ndoa. Kikanisa, kitakachofanyika ni 'annulment' ambayo ni kusema kwamba, japo Padri alifungisha 'ndoa' hiyo, ukweli ni kwamba hakukuwa na ndoa kwa kuwa kigezo cha tatu hakikutimizwa. Kwa hiyo, 'ndoa' hiyo itafutwa kwa 'annulment', yaani kwa kutamka kwamba hakukufungwa ndoa kati ya wahusika. Hapa hakuna talaka kwa kuwa hakuna ndoa iliyofungwa ili sasa ikomeshwe kwa talaka.
Mfano mwingine ambapo 'annulment' hufanyika ni pale mtu na dada yake waoane kanisani bila kujua kwamba wao ni ndugu wa damu. Wanaweza wakaishi katika 'ndoa' yao kwa miaka mingi wakazaa na watoto. Pindi ikijulikana kwamba wao ni ndugu wa damu, 'ndoa' hiyo itasitishwa kwa 'annulment' ambayo ni kusema kwamba ndoa ilikuwa batili japo ilifungishwa na Padri. It was nul and void. Hakuna talaka hapa kwa kuwa hakukuwa na ndoa.
Siku hizi Maaskofu wa Majimbo wamepewa mamlaka ya kutengua ndoa. Haichukui tena muda mrefu kama kuna sababu ya msingi.Ukipeleka swala kanisani unapata ushauri, ushauri mwingine huchukua muda kwani maamuzi hufanyikia Vatican.
Mkuu sana deep pond . Ndoa za kikatoloki zina vinisheria ambavyo hata kwenye biblia hazipo. Mfano biblia inasema unaruhusiwa kumwacha meanamke kwa kosa la "uzinzi" kufanya tendo la ngono na mtu mwingine asiye mwandoa wake. Lakini kiuhalisia sababu hiyo haijafanikiwa kuwatebganisha wanandoa wa kikatoliki .Inamaana ile mpk kifo,
Kinakua Ni kiapo batili au[emoji848]
Daaaah aiseee.View attachment 2208333
Katika sheria za dini za kikiristo ni kwamba hurusiwi kuongeza mke na kifo pekee ndicho cha kuwatenganisha, kinyume na hapo ni nje ya sheria za ukristo.
Sasa inapotokea mfano mke wako anafungwa jela miak 30 ama hata kifungo cha maisha na bado hamna hata mtoto, ndoa bado ilikuwa mbichi, hapo hii hali inatatuliwa vipi?
Haiwezekani Mungu aweke sheria ya kukubana sehemu flani na asiweke mlango wa kutokea, hizi sheria za kuoa ni za viongozi wa makanisa na sio maandiko,
MUHIMU: Wanaokwenda jela sio wote wenye hatia, wengine wamebambikiwa
Mkuu, ni kweli sikuwa nakupinga. Nilijikita katika kufafanua mambo zaidi kwa kutumia uzi wako ulioanzisha hoja hiyo. Hoja zako ni sawasawa na zangu. Lakini niliona niende mbele kwa kuelezea mengi zaidi ya uliyoyasema.Nimekuelewa vema na sidhani kama umenipinga bali umeeleza kwa protocol zaidi na duongeza mambo mengine nisiyoyajua. Huwenda mwenzangu ni mkatoliki muhusika zaidi(padre , katekista,mleyi,askofu,mzee wa kanisa au shemasi) kuliko mimi. Ingawa hata mimi sikuzungumzia talaka kwa maana ya karatasi kama wanayotumia waislamu ila nilimanisha sababu moja wapo inayotosha kuachanisha watu. Nadhani kutumia neno kuachanisha ndio palipoleta shida ulipenda nisitumie neno hilo kwakuaa ndo inavunjwa na kiwa kama haikiwepo .
Ila ahsante kwa ufafanuzi wa kiteolojia.
[emoji56]Hakuna cha vatican wala cha marekani, sheria za ukristo ni kwamba huwezi kuongeza mke na kitu pekee cha kuwatenganisha ni kifo
Mkuu, unayoyasema yalijibiwa na Yesu mwenyewe; angalia Mateo 19: 3-8.Mkuu sana deep pond . Ndoa za kikatoloki zina vinisheria ambavyo hata kwenye biblia hazipo. Mfano biblia inasema unaruhusiwa kumwacha meanamke kwa kosa la "uzinzi" kufanya tendo la ngono na mtu mwingine asiye mwandoa wake. Lakini kiuhalisia sababu hiyo haijafanikiwa kuwatebganisha wanandoa wa kikatoliki .
Karibu Ng'wanamalundi kwa ufafanuzi
Ngumu sana. Nimefikiria hivi tuko tunaishi na wake zetu na bado haturidhiki tunachepuka, sasa uambiwe miaka 30? Achana na hilo, hata mwaka mmoja ni ngumu sana kuvumilia sema mwanamke akifungwa mwaka akitoka lazima atajua tu jamaa alikuwa anachepuka. ila atavumiliaDini iliweka wazi pia tuoe ili kuondokana na uzinzi, sasa katika hii hali mwanaume anaweza kukaa miaka 30 bila kupata unyumba ?
Yapo mazingira ndoa hutenganishwa, mfano uzinzi lipo wazi.Hakuna cha vatican wala cha marekani, sheria za ukristo ni kwamba huwezi kuongeza mke na kitu pekee cha kuwatenganisha ni kifo
Hapa ndugu unapotosha.Yesu alipoletewa yule kahaba aliyehukumiwa kutupiwa mawe alisema asiye na dhambi awe wa kwanza kumrushia jiwe. Wote waliondoka. Kuna dhambi unatenda kutokana na mazingira unayoishi au uliyonayo..
Waislam wanaruhusiwa kula nyama ya pork kama hakuna chakula kingine.
Yani jambo unaloweza kumaliza bomani usubiri Vaticano?Ukipeleka swala kanisani unapata ushauri, ushauri mwingine huchukua muda kwani maamuzi hufanyikia Vatican.
Kwa hiyo mkristo mke wake akifungwa miaka 30 haoi tena wala kufanya ngono?tuache kujidanganyaHakuna cha vatican wala cha marekani, sheria za ukristo ni kwamba huwezi kuongeza mke na kitu pekee cha kuwatenganisha ni kifo
Watu wanafungwa miaka mitano tu wakitoka wanakuta mke kashaolewa au mume kaoa ndo iwe 30!!?unaoa tuHaina mjadala unaoa tu mwngne, wakati mwngne tujue kuwa hiz din n sheria na sheria zmewekwa ili zvunjwe teh teh teh!
Bora kuoa mwngne kuliko kuanza kudanga huku na kule, oa akitoka jela uje kuomba ushaur tena.
Hakuna mamlaka zaidi ya mahakama kwenye kutengua ndoaSiku hizi Maaskofu wa Majimbo wamepewa mamlaka ya kutengua ndoa. Haichukui tena muda mrefu kama kuna sababu ya msingi.
Nafahamu mifano miwili ya ndoa ambazo utenguzi haukuchukua zaidi ya mwaka mmoja.
Cha kuongezea,Si kweli unayoyasemea kwa Ukatoliki. Vigezo vitatu vinahitajika kwa ndoa kutambuliwa katika Kanisa Katoliki:
1. Ndoa iwe kati ya mwanamme na mwanamke.
2. Ndoa ifungwe (iwe 'solemnised') na mtu mwenye madaraka ya kufungisha ndoa.
3. Ndoa iwe 'consummated' yaani tendo la ndoa lifanyike kati ya maarusi.
Vigezo viwili vya kwanza vinaweza kutokea, lakini cha tatu kikakosekana. Hapo hakuna ndoa. Kwa mfano Padri ashuhudie arusi kanisani na kuwapa kabisa maarusi cheti cha ndoa. Usiku huo mme anaomba waahirishe unyumba kwa kuwa amechoka mno na pilka pilka za arusi. Kesho yake anaumwa tumbo. Siku inayofuata kuna sababu nyingine, mpaka mwezi unakatika bila unyumba kufanyika kati ya maarusi hawa. Baadaye inakuja kuthibitishwa kwamba mwanaume ni hanithi: hawezi kufanya tendo la ndoa. Kikanisa, kitakachofanyika ni 'annulment' ambayo ni kusema kwamba, japo Padri alifungisha 'ndoa' hiyo, ukweli ni kwamba hakukuwa na ndoa kwa kuwa kigezo cha tatu hakikutimizwa. Kwa hiyo, 'ndoa' hiyo itafutwa kwa 'annulment', yaani kwa kutamka kwamba hakukufungwa ndoa kati ya wahusika. Hapa hakuna talaka kwa kuwa hakuna ndoa iliyofungwa ili sasa ikomeshwe kwa talaka.
Mfano mwingine ambapo 'annulment' hufanyika ni pale mtu na dada yake waoane kanisani bila kujua kwamba wao ni ndugu wa damu. Wanaweza wakaishi katika 'ndoa' yao kwa miaka mingi wakazaa na watoto. Pindi ikijulikana kwamba wao ni ndugu wa damu, 'ndoa' hiyo itasitishwa kwa 'annulment' ambayo ni kusema kwamba ndoa ilikuwa batili japo ilifungishwa na Padri. It was nul and void. Hakuna talaka hapa kwa kuwa hakukuwa na ndoa.
Cha msingi wakat wa harusi mnakubaliana kipengele cha kula kiapo kisiwepoView attachment 2208333
Katika sheria za dini za kikiristo ni kwamba hurusiwi kuongeza mke na kifo pekee ndicho cha kuwatenganisha, kinyume na hapo ni nje ya sheria za ukristo.
Sasa inapotokea mfano mke wako anafungwa jela miak 30 ama hata kifungo cha maisha na bado hamna hata mtoto, ndoa bado ilikuwa mbichi, hapo hii hali inatatuliwa vipi?
Haiwezekani Mungu aweke sheria ya kukubana sehemu flani na asiweke mlango wa kutokea, hizi sheria za kuoa ni za viongozi wa makanisa na sio maandiko,
MUHIMU: Wanaokwenda jela sio wote wenye hatia, wengine wamebambikiwa
Je technically unaweza kumuua, ukatubu halafu ukaoa mwingine ?Hakuna cha vatican wala cha marekani, sheria za ukristo ni kwamba huwezi kuongeza mke na kitu pekee cha kuwatenganisha ni kifo