Movic Evara
Senior Member
- Jan 31, 2018
- 197
- 431
Huu ndio Ubwege bwege tunaousema kila siku humu. Wanaume tunaenda tunapoteza hali yetu ya uanaume. Mzee Wanaume wenzio hatupo hivyo. Wanaume wa siku hizi tunekuwa lege lege sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli wewe suriya kabisauzuri nilikuwa nimeisha muonya sana nikimwambia.
Ninaakili nyingi naijua dunia sana kukuzidi na isitoshe najua Ulimwengu wa Roho zaidi ya unavyo fikiri.
i am a scorpion 🦂 ♏ if you chasing
What if I say I am here just to draw peoples attention?Me sijui mnapata wapi nguvu za ku share matatizo/ Mapito yenu kwa strangers mitandaoni maana Yes, we do enjoy reading them ila deep down tunajiuliza what's your motive and what do you gain kwa kushare mapito yenu kwenye mitandao..?
Kama ni mtu mzima basi punguza muda wa kupoteza bila sababu.What if I say I am here just to draw peoples attention?
Jaza hizo nafasi zilizoachwa wazi chap kabla sijaimwaga hii mbege yako😒Hongera umeshinda umeshinda sio kila ....ni ya .......
Hahahaha niliandikaje kwani nimalizie nimeona ukicheka😂Jaza hizo nafasi zilizoachwa wazi chap kabla sijaimwaga hii mbege yako😒
😂😂Nimesikitishwa sana...hovyo sana. Mara mbili hujakula mbususu tena umetengewa!
Zamani kwenye foleni ya kuchota maji au sukari ya ugawaji (NMC) walikuwa wanaweza jiwe Ili kulinda nafasi. Unafanana na hilo jiwe