Pale Nilipoamua kuwanyoosha watu wa kukopesha mtandaoni

Pale Nilipoamua kuwanyoosha watu wa kukopesha mtandaoni

Sidhani kama unawakomoa, kikawaida huyo anakua na wateja zaidi ya 200 wakuawafanyia kazi mpaka wengine ngumj kawafikia wewe hata ufanye lolote kwake haina shida.

Kuna dada alikuwa anafanya namsadia kutuma sms kwenye PC yangu wateja 800 anawatumia sms ukijibizananae baada ya dakika hata akukumbuki.
 
Sidhani kama unawakomoa, kikawaida huyo anakua na wateja zaidi ya 200 wakuawafanyia kazi mpaka wengine ngumj kawafikia wewe hata ufanye lolote kwake haina shida.

Kuna dada alikuwa anafanya namsadia kutuma sms kwenye PC yangu wateja 800 anawatumia sms ukijibizananae baada ya dakika hata akukumbuki.
binafsi nimepata hela na hakuna walichofanya nikipiga hesabu nna zaidi ya laki nne nilizokopa hawa fini ndio walikuwa wa mwisho niliwaosha kweli kweli na nilichogundua kampuni moja ina app zaidi ya 3 kudai kukopa ila kudai madeni wanatumia jina kampuni mfano pesa x na cash x ni wale wale tu.
 
Kudhulumu pesa ya mtu sio ujanja

Wala kupost screenshots za wadai wako ambazo zinaonesha majibu ya kejeli ukiwavimbia wanapokuhimiza ulipe deni lao.

Guys hiyo sio right move kwa mtu ambaye ni smart.

Labda itakuwa ni ishu ya makuzi tu, ila mimi binafsi yangu siwezi kuwa na amani kabisa kudhulumu pesa ya mtu mwingine ambaye alikuwa na intention njema ya kunisaidia kwa kuniazima pesa ili niweze kutatua changamoto zangu.
 
Sawa kama hutarajii kukopa bank za tanzania maisha Yako yote sawa ila kama utahitaji kukopa Kaa ukijua hao jamaa washapeleka record zako na hayo madeni yanapanda Kwa riba Kila mda mliokubaliana
usinitishe ww bana au na ww ndo hao hao wanaosambaza taarifa za wateja wao bila ruhusa zao?? binafsi sitarajii kukopa kwaiyo bado nimewapiga tuu..😁
 
Kudhulumu pesa ya mtu sio ujanja

Wala kupost screenshots za wadai wako ambazo zinaonesha majibu ya kejeli ukiwavimbia wanapokuhimiza ulipe deni lao.

Guys hiyo sio right move kwa mtu ambaye ni smart.

Labda itakuwa ni ishu ya makuzi tu, ila mimi binafsi yangu siwezi kuwa na amani kabisa kudhulumu pesa ya mtu mwingine ambaye alikuwa na intention njema ya kunisaidia kwa kuniazima pesa ili niweze kutatua changamoto zangu.
Afisa mikopo
 
Kudhulumu pesa ya mtu sio ujanja

Wala kupost screenshots za wadai wako ambazo zinaonesha majibu ya kejeli ukiwavimbia wanapokuhimiza ulipe deni lao.

Guys hiyo sio right move kwa mtu ambaye ni smart.

Labda itakuwa ni ishu ya makuzi tu, ila mimi binafsi yangu siwezi kuwa na amani kabisa kudhulumu pesa ya mtu mwingine ambaye alikuwa na intention njema ya kunisaidia kwa kuniazima pesa ili niweze kutatua changamoto zangu.
nimekuwa nawalipa sana tu ila baada ya kunidhalilisha nikaamua tuonyeshane sasa.
 
Back
Top Bottom