Mzee mkopo kwangu ni msaada kwao ni biashara,kitu kitakachovunja uhusiano kati ya hivyo viwili ni kwenda kinyume na makubaliano.
Mteja kajaza wadhamini 3 kwa majina na namba zao za simu.
Kachelewa kulipa kama mlivyokuwa mmekubalina ktk term and condition,wanatakiwa wajulishwe wadhamini kwa adabu.
Kampuni inaamua kutuma sms kwa watu 780 wa kwenye contact na call history.yaani mteja kakiuka makubaliano siku moja anafanyiwa unyanyasaji mkubwa hivi,anachotakiwa ni kulalamika au kuacha wajipatie pesa yao kwa hao wati 780😆😆.
Biashara za mikopo ni taaluma ya watu na ina kanuni zake,isipokuwa wahuni wa kausha damu wameivamia kichwa kichwa,kinachofata ni kuchoma mitaji tu.