Pale Pastor anapoteleza ulimi wenye hekima humsahihisha

Pale Pastor anapoteleza ulimi wenye hekima humsahihisha

Ni hivi: hawa ''wachungaji'' wa kileo, wajasiriamali, wanajua woga, tamaa na matamanio ya watu ni nini! Hivyo wanachofanya ni kutumia zile tamaa, woga na matarajio ya waumini wao kupiga fedha. Ndiyo maana husikii watu akihubiri kuacha dhambi kwani wanajua hili halina maslahi kwao.
Kabisa
 
Amen from Miss to Mrs thanks Lord for a kind ness words and to from public car to own a car and from tenant to landlord .
I wish God will be with me to archive it in the Name of Jesus.
Mungu amekupa akili na mwili vitumike kuvipata hivyo vitu. Huwezi kuvipata bila wewe mwenyewe kuvitumia, tena kwa njia iliyo halali. Jiulize, watu wanaofankiwa kwa kutumia ufisadi wamewezeshwa na Mungu?
 
Ni hivi: hawa ''wachungaji'' wa kileo, wajasiriamali, wanajua woga, tamaa na matamanio ya watu ni nini! Hivyo wanachofanya ni kutumia zile tamaa, woga na matarajio ya waumini wao kupiga fedha. Ndiyo maana husikii watu akihubiri kuacha dhambi kwani wanajua hili halina maslahi kwao.
Injili sio kukemea dhambi tu bali na changamoto zingine ndo maana hata yesu alitatua baadhi ya changamoto za watu
 
Amen from Miss to Mrs thanks Lord for a kind ness words and to from public car to own a car and from tenant to landlord .
I wish God will be with me to archive it in the Name of Jesus.
Firstly you have to break ur curse
Abortion is curse ( you shed innocent blood.
 
Unajua idadi ya wahitaji?
Kuwaombea watu wafanikiwe katatua changamoto zao sio ujinga au kukosa hekima wala hakuta pelekea tatizo lolote kwani mungu hupitia maombi hayo na kujibu kwa namna impendezayo na wakati mwingine hata kutojibiwa kabisa
Jaribu kuwa mwenye kutafakari.
 
Injili sio kukemea dhambi tu bali na changamoto zingine ndo maana hata yesu alitatua baadhi ya changamoto za watu
Kwani nimesema injili ni kukemea dhambi tu? Nimesema hawa wachungaji, wajasiriamali, siku hizi wanatumia matatizo ya watu kupiga fedha huku wakiacha misingi ya injili ambayo ni kumjua na kumtumikia Mungu.
 
Kuwaombea watu wafanikiwe katatua changamoto zao sio ujinga au kukosa hekima wala hakuta pelekea tatizo lolote kwani mungu hupitia maombi hayo na kujibu kwa namna impendezayo na wakati mwingine hata kutojibiwa kabisa
Jaribu kuwa mwenye kutafakari.
Hakuna binadamu anayeweza kumuombea binadamu mwenzake apate mafanikio. Mafanikio huletwa na vitendo anavyofanya binadamu mwenyewe. Ukikaa bila kufanya kazi kwa bidii hata uombewe namna gani huwezi kupata mafanikio. Na hata usipoombewa, kama lakini ukiamua kutumia njia za rafu unaweza kupata mafanikio.
 
Hakuna binadamu anayeweza kumuombea binadamu mwenzake apate mafanikio. Mafanikio huletwa na vitendo anavyofanya binadamu mwenyewe. Ukikaa bila kufanya kazi kwa bidii hata uombewe namna gani huwezi kupata mafanikio. Na hata usipoombewa, kama lakini ukiamua kutumia njia za rafu unaweza kupata mafanikio.
Mafanikio hayaletwi na juhudi pekee kma umekomaa kiakili utaungana na mimi.
 
Hakuna binadamu anayeweza kumuombea binadamu mwenzake apate mafanikio. Mafanikio huletwa na vitendo anavyofanya binadamu mwenyewe. Ukikaa bila kufanya kazi kwa bidii hata uombewe namna gani huwezi kupata mafanikio. Na hata usipoombewa, kama lakini ukiamua kutumia njia za rafu unaweza kupata mafanikio.
Wewe ni atheist
 
Pastor Lucy Natasha huwa analindwa na walinzi aliowakodisha na huwalipa cash, unaonaje na yeye tukimuingiza katika hii jamii ya atheists?
Hawa wachungaji na manabii feki wa deal na hii misukule yao lakini wenye akili wanajua. Wanajifanya kuwa uwezo wa kuombea waumini ulinzi kwenye maisha yao lakini wao wanatembea na walinzi wengi kama marais. Wapiga deal wote hawa.
 
Hawa wachungaji na manabii feki wa deal na hii misukule yao lakini wenye akili wanajua. Wanajifanya kuwa uwezo wa kuombea waumini ulinzi kwenye maisha yao lakini wao wanatembea na walinzi wengi kama marais. Wapiga deal wote hawa.
Na ni wapiga deal wa viwango vya juu kuliko hata Wasafi bet 😂
 
Back
Top Bottom