Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
- #41
Walicheza deal likastukiwa.Huyu dada umaarufu wake ulishuka baada ya kugundulika walimtumia mtu mmoja kutoa ushuhuda mara mbili tofauti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walicheza deal likastukiwa.Huyu dada umaarufu wake ulishuka baada ya kugundulika walimtumia mtu mmoja kutoa ushuhuda mara mbili tofauti.
Injili sio kukemea dhambi tu bali na changamoto zingine ndo maana hata yesu alitatua baadhi ya changamoto za watu
Katika maombi kuna mahitaji binafsi ya kuombea, Ila pastor kajumuisha yasiyo ya binafsi kama ya kutoka kwenye public transport hadi kumiliki ndinga (car owner) hii ombezi ni la kimihemko ndugu
watakaoteswa na hawa wachungaji wa kisasa ni kizazi cha kisasa kisichojua kujisomea maandiko matakatifu. Hichi kizazi kinateseka sana kwa kutaka ishara na mijuza katika matamanio yao. Hawa wachungaji wa kisasa hawahubiri uchaji wa Mungu na kuishi maisha matakatifu wanatumi matamanio ya watu kuwalisha matango poriNi hivi: hawa ''wachungaji'' wa kileo, wajasiriamali, wanajua woga, tamaa na matamanio ya watu ni nini! Hivyo wanachofanya ni kutumia zile tamaa, woga na matarajio ya waumini wao kupiga fedha. Ndiyo maana husikii watu akihubiri kuacha dhambi kwani wanajua hili halina maslahi kwao.
Hakuna binadamu anayeweza kumuombea binadamu mwenzake apate mafanikio. Mafanikio huletwa na vitendo anavyofanya binadamu mwenyewe. Ukikaa bila kufanya kazi kwa bidii hata uombewe namna gani huwezi kupata mafanikio. Na hata usipoombewa, kama lakini ukiamua kutumia njia za rafu unaweza kupata mafanikio.
Mafanikio hayaletwi na juhudi pekee kma umekomaa kiakili utaungana na mimi.
Pastor Lucy Natasha huwa analindwa na walinzi aliowakodisha na huwalipa cash, unaonaje na yeye tukimuingiza katika hii jamii ya atheists?
Na huwa wana receive papo kwa papo au huwa wanasubiri miaka kadhaa mbele?Huyo dada nimemfuatilia Sana. Yeye yupo kwaajili ya kuenjoy watu na hizo posts zake. Utakuta kaandika today you will get a phone call for money au you will be the first person in your family to own a car. Halafu Cha kushangaza wafuasi wake wote wanajibu I receive.
Wewe ni msukule wa hawa wachungaji fake.
Niliona wanakulana denda kando ya swimming pool nikajiuliza Huyo mpiga picha alilipwa nini hadi akubali kupiga picha za mahaba ya mchungaji na mchumba ake wakiwa faragha.Yule Pastor na mume wake walianza kupigana busu kabla hawajaoana. Wanafanya ujinga kisa Kuna wafuasi wao wanawatetea . Lakini Hana sifa hata za kuwa shemasi wa kanisa.
watakaoteswa na hawa wachungaji wa kisasa ni kizazi cha kisasa kisichojua kujisomea maandiko matakatifu. Hichi kizazi kinateseka sana kwa kutaka ishara na mijuza katika matamanio yao. Hawa wachungaji wa kisasa hawahubiri uchaji wa Mungu na kuishi maisha matakatifu wanatumi matamanio ya watu kuwalisha matango pori
LlklOut of topic; Watu wa Chuga naombeni maana ya neno Ngori...tafadhali sana. Happy new year
LllllkkOut of topic; Watu wa Chuga naombeni maana ya neno Ngori...tafadhali sana. Happy new year
Kizazi kisicho mwamini Yesu Ila kinaamini miujiza ya mwombaji, lazima kitaathirika sana hiki kizaziwatakaoteswa na hawa wachungaji wa kisasa ni kizazi cha kisasa kisichojua kujisomea maandiko matakatifu. Hichi kizazi kinateseka sana kwa kutaka ishara na mijuza katika matamanio yao. Hawa wachungaji wa kisasa hawahubiri uchaji wa Mungu na kuishi maisha matakatifu wanatumi matamanio ya watu kuwalisha matango pori
Na huwa wana receive papo kwa papo au huwa wanasubiri miaka kadhaa mbele?
Niliona wanakulana denda kando ya swimming pool nikajiuliza Huyo mpiga picha alilipwa nini hadi akubali kupiga picha za mahaba ya mchungaji na mchumba ake wakiwa faragha.
Kizazi kisicho mwamini Yesu Ila kinaamini miujiza ya mwombaji, lazima kitaathirika sana hiki kizazi
Hilo neno nadhani limetoka Kenya Ni Kama FUJO au TATIZO mtu aweza kuliza vip ukamjibu hakuna ngoriOut of topic; Watu wa Chuga naombeni maana ya neno Ngori...tafadhali sana. Happy new year
Unataka anza kuwa Mrs mjumbe wa bwana uje PM na Cv gari tutanunua tu hata ya kuburuza na ng'ombeAmen from Miss to Mrs thanks Lord for a kind ness words and to from public car to own a car and from tenant to landlord .
I wish God will be with me to archive it in the Name of Jesus.
Sio kweli. Halimlengi kila mtu.Ombezi la pastor linamrenga kila mtu na sio watu flani tu, so kuhoji kwamba wapi kasema watu wote ni ufinyu wa kuelewa