Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
- Thread starter
-
- #61
Sijawahi ona mwanaume akilalamika kuwa kakosa wa kuoa ππSio kweli. Halimlengi kila mtu.
Sio wote wanataka kutoka miss kuwa Mrs, wengine ni wanaume, wengine ni watoto, na hata hao wanawake wameshaolewa.
Sio kila mtu anataka kutoka kwenye usafiri wa umma. Wengine tayari wana magari yao
Ngori ni mwiraOut of topic; Watu wa Chuga naombeni maana ya neno Ngori...tafadhali sana. Happy new year
Ni wengi sana wanacheza hizi movie. Wanajua watu wenye shida huvutiwa na miujiza. Ndipo injili ya siku hizi ilipofika i.e. upande mmoja, waumini wenye matatizo wakitafuta miujuza watatue matatizo yao upande wa pili ni wachungaji wanao-fake miujiza ili wavutie waumini (fedha). Mama Rwakatare kabla hajafariki alikuwa na skandali ya kuchukuwa ''misikule'' kijiji kimoja mkoani Pwani ije itoe ushuhuda. TB Joshua naye siku moja niliona kwa macho yangu ''muumini'' mmoja akitoa ushuhuda wa kupona, akidai ametokea Tanzania wakati alikuwa anaongea pure pigeon english ya West Afrika. Ni wengi sana wanafeki.Tatizo wanatetea mchungaji mwenyewe hawamfahamu. Ana scandal ya kuandaa mtoa ushuhuda. Yani mtu mmoja anatoa shuhuda mara mbili kwa wati tofauti. Ushuhuda wa kwanza anatokea kakamega na ushuhuda wa pili ni mzambia. Tangu siku hiyo huyo dada namuano Kama tapeli
Huyo sister kavamia kazi ya Yesu, ni bora tu akawe mwana mitindo hapo atafitYani ni shida. Halafu anatoka kupigwa love kiss anakuja kutabiria watu kuwa watazaa mapacha au kupandishwa vyeo.
Tupeane mbinu za kukabiliana nao ili tuokoe kizazi cha kesho.Hawa walaghai kanuni za uandishi humu haziruhusu kuwataja majina yao moja kwa moja, orodha ni ndefu, wapo wa kimataifa na wa ndani, wanapenda kusifiwa na kutukuzwa bila aibu wakitumia mawasiliano ya kisasa. Wengine wamevuka mipaka wanajiita mungu. Hichi kizazi kisipokuwa makini kitaharibiwa akili na hawa matapeli
Hawa walaghai kanuni za uandishi humu haziruhusu kuwataja majina yao moja kwa moja, orodha ni ndefu, wapo wa kimataifa na wa ndani, wanapenda kusifiwa na kutukuzwa bila aibu wakitumia mawasiliano ya kisasa. Wengine wamevuka mipaka wanajiita mungu. Hichi kizazi kisipokuwa makini kitaharibiwa akili na hawa matapeli
Ni wengi sana wanacheza hizi movie. Wanajua watu wenye shida huvutiwa na miujiza. Ndipo injili ya siku hizi ilipofika i.e. upande mmoja, waumini wenye matatizo wakitafuta miujuza watatue matatizo yao upande wa pili ni wachungaji wanao-fake miujiza ili wavutie waumini (fedha). Mama Rwakatare kabla hajafariki alikuwa na skandali ya kuchukuwa ''misikule'' kijiji kimoja mkoani Pwani ije itoe ushuhuda. TB Joshua naye siku moja niliona kwa macho yangu ''muumini'' mmoja akitoa ushuhuda wa kupona, akidai ametokea Tanzania wakati alikuwa anaongea pure pigeon english ya West Afrika. Ni wengi sana wanafeki.
Huyo sister kavamia kazi ya Yesu, ni bora tu akawe mwana mitindo hapo atafit
kule kwenye kurasa zao ukiwashinda hoja wanatukana balaa. Wanafikiri kila mtu ni mpuuzi wa kuburuzwa kwa ujanjaujanja waoTupeane mbinu za kukabiliana nao ili tuokoe kizazi cha kesho.
wameona jina la nabii na mtume limezoeleka na halina mashiko wanaanza kujiita makuhani wengine wakijiita malaika mpaka kujiita mungu. Wanajua sheria za nchi haziwezi kuwaingilia wanachoamini, manabii gani wanaishi maisha ya kifahari huku wafuasi wao wakiishi kwenye umasikini mkubwa? Hawa matapeli ni washenzi, hawaachi kitu mpaka hela ya masikini wanaitakaJust imagine mtu anajiita Mungu na anapumua na kuishi. Huko Ghana Kuna wale wanajiita Angels. Kuna mmoja anaitwa angel obinim. Yani yeye ni malaika. Tunapoelekea jina Nabii au Mtume litakosa nguvu , tutaingia kwenye malaika na baadae wataanza kujiita Yesu.
Kwa kweli hichi ndio kizazi Cha nyoka .