Pale Rais Samia anapoazima mbinu za Sabaya ili kufanikisha mambo yake

Pale Rais Samia anapoazima mbinu za Sabaya ili kufanikisha mambo yake

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Sabaya analaumiwa na wananchi namna alivyokuwa akitumia mbinu za kubambikizia watu makosa ya uongo ili apate anachokitaka.
Wakati mwingine alikuwa tayari hata kublackmail watu kwa kuwapandikizia madawa ya kulevya ili awatoze pesa.

Samia alivyoingia madarakani, tulimuona kama Mtenda haki aliyeamua kumnyoosha yule kijana kutokana na udhalimu wake

Lakini tunasikitika, haijapita hata miezi mitatu tangu Sabaya akamatwe, Samia anatumia mbinu hizohizo za Sabaya ili kunyamazisha mpinzani wake Mkuu.

Leo Mbowe anakwenda kuunganishwa katika kesi ya walinzi waliokuwa wanamlinda mwaka jana, walinzi ambao kukamatwa kwao kunatokana na Mipango ovu ya Sabaya ya kuhakikisha Mbowe hana walinzi anaowaamini wa kumlinda.

Yaani Samia anakwenda kumuunganisha Mbowe katika kesi iliyotengenezwa na Sabaya, halafu wakati huo kamuweka ndani Sabaya!

Kwa kweli sikutegemea hata kidogo kama ni Mkubwa anaweza akageuka namna hii, kutoka kwenye kuhubiri kutobambikizia watu kesi na yeye maenyewe kwrnda kufanya hayohayo.

Mashitaka dhidi ya Mbowe ni ya uongo, hayana mashiko na ni uonevu mtupu!

Haifai kwa mtu mwenye cheo cha Ukuu wa nchi, aliyekula kiapo cha kutenda haki kuanza Kuonea watu na kutenda Dhulma.
 
Mkuu hivi Rais wako ndugu Membe yuko wapi?
 
Vipi tena jamanii?? Mara hii mama ameacha kuupiga mwingi 🚶🏽‍♀️🚶🏽‍♀️
 
Moyo wa mtu msitu kijana, huenda aliyoyafanya Mbowe ni zaidi ya hayo unayosema kayafanya Sabaya. Pamoja na dunia kumuona Osama ni gaidi namba moja, lkn hapo hapo kuna watu walikuwa wanamuona Osama ni mfano wa swahaba alietumwa kuja kuipigania dini ya Allah na hao leo ukiwaambia kuhusu ugaidi wa Osama hawatokuelewa kabisa ila mwenye kujua kama kweli ni gaidi au mtetea dini ni yeye mwenyew Osama na Mungu wake. Kwahiyo hata haya ya Mbowe pengine yeye mwenyew ana yale anayoyajua ambayo ww huyajui kuhusu yeye. Usikimbilie kutetea tu.
 
Tatizo linaanza wakishazoea madaraka.

Wanafundishana roho mbaya unyama.unyama na ukatili .

Dhulma ma uonevu having mwisho mzuri

MUNGU Yuko Ana anaona

Atamlipia mbowe dhidi ya watesi wake Kama alivyomlipia lissu

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Moyo wa mtu msitu kijana, huenda aliyoyafanya Mbowe ni zaidi ya hayo unayosema kayafanya Sabaya. Pamoja na dunia kumuona Osama ni gaidi namb moja, lkn hapo hapo kuna watu walikuwa wanamuona Osama ni mfano wa swahaba alietumwa kuja kuipigania dini ya allah na hao leo ukiwaambia kuhusu ugaidi wa Osama hawatokuelewa kabisa ila mwenye kujua kama kweli ni gaidi au mtetea dini ni yeye mwenyew Osama na Mungu wake. Kwahiyo hata haya ya Mbowe pengine yeye mwenyew ana yale anayoyajua ambayo ww huyajui kuhusu yeye. Usikimbilie kutetea tu.
Unachosahau kusema ni kwamba kuaminika kwa siri kali ni kwa mashaka kwa uhuni wao.. Wewe unatakiwa kuwa na mashaka zaidi na watawala kwakuendesha kesi za kubumba kila kukicha.
 
Unachosahau kusema ni kwamba kuaminika kwa siri kali ni kwa mashaka kwa uhuni wao.. Wewe unatakiwa kuwa na mashaka zaidi na watawala kwakuendesha kesi za kubumba kila kukicha.
Kama kesi ni za kubumba basi Mbowe na genge lake la mitandaoni hawakuwa na haki ya kumshambulia Sabaya mpk kufikia kusema kuwa, kama mahakama itamkuta Sabaya hana hatia basi yeye atadili nae mtaani... Mkuki kwa nguruwe, kwa binadam...?
 
Kama kesi ni za kubumba basi Mbowe na genge lake la mitandaoni hawakuwa na haki ya kumshambulia Sabaya mpk kufikia kusema kuwa, kama mahakama itamkuta Sabaya hana hatia basi yeye atadili nae mtaani... Mkuki kwa nguruwe, kwa binadam...?
Uovu wa Sabaya uko wazi mno!... Analaumiwa na watu wa vyama vyote ikiwemo CCM. Analaumiwa na wafanya biashara na viongozi wa serikali waliotendewa ubaya.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Bi Mkubwa kamtazane Komandoo ndio urudi kutenda uliyo yaanzisha
Usije tesa wanao na wajukuu kukupeleka msalani
 
Sabaya analaumiwa na wananchi namna alivyokuwa akitumia mbinu za kubambikizia watu makosa ya uongo ili apate anachokitaka.
Wakati mwingine alikuwa tayari hata kublackmail watu kwa kuwapandikizia madawa ya kulevya ili awatoze pesa.

Samia alivyoingia madarakani, tulimuona kama Mtenda haki aliyeamua kumnyoosha yule kijana kutokana na udhalimu wake

Lakini tunasikitika, haijapita hata miezi mitatu tangu Sabaya akamatwe, Samia anatumia mbinu hizohizo za Sabaya ili kunyamazisha mpinzani wake Mkuu.

Leo Mbowe anakwenda kuunganishwa katika kesi ya walinzi waliokuwa wanamlinda mwaka jana, walinzi ambao kukamatwa kwao kunatokana na Mipango ovu ya Sabaya ya kuhakikisha Mbowe hana walinzi anaowaamini wa kumlinda.

Yaani Samia anakwenda kumuunganisha Mbowe katika kesi iliyotengenezwa na Sabaya, halafu wakati huo kamuweka ndani Sabaya!

Kwa kweli sikutegemea hata kidogo kama ni Mkubwa anaweza akageuka namna hii, kutoka kwenye kuhubiri kutobambikizia watu kesi na yeye maenyewe kwrnda kufanya hayohayo.

Mashitaka dhidi ya Mbowe ni ya uongo, hayana mashiko na ni uonevu mtupu!

Haifai kwa mtu mwenye cheo cha Ukuu wa nchi, aliyekula kiapo cha kutenda haki kuanza Kuonea watu na kutenda Dhulma.
Stupid fish
 
Sabaya analaumiwa na wananchi namna alivyokuwa akitumia mbinu za kubambikizia watu makosa ya uongo ili apate anachokitaka.
Wakati mwingine alikuwa tayari hata kublackmail watu kwa kuwapandikizia madawa ya kulevya ili awatoze pesa.

Samia alivyoingia madarakani, tulimuona kama Mtenda haki aliyeamua kumnyoosha yule kijana kutokana na udhalimu wake

Lakini tunasikitika, haijapita hata miezi mitatu tangu Sabaya akamatwe, Samia anatumia mbinu hizohizo za Sabaya ili kunyamazisha mpinzani wake Mkuu.

Leo Mbowe anakwenda kuunganishwa katika kesi ya walinzi waliokuwa wanamlinda mwaka jana, walinzi ambao kukamatwa kwao kunatokana na Mipango ovu ya Sabaya ya kuhakikisha Mbowe hana walinzi anaowaamini wa kumlinda.

Yaani Samia anakwenda kumuunganisha Mbowe katika kesi iliyotengenezwa na Sabaya, halafu wakati huo kamuweka ndani Sabaya!

Kwa kweli sikutegemea hata kidogo kama ni Mkubwa anaweza akageuka namna hii, kutoka kwenye kuhubiri kutobambikizia watu kesi na yeye maenyewe kwrnda kufanya hayohayo.

Mashitaka dhidi ya Mbowe ni ya uongo, hayana mashiko na ni uonevu mtupu!

Haifai kwa mtu mwenye cheo cha Ukuu wa nchi, aliyekula kiapo cha kutenda haki kuanza Kuonea watu na kutenda Dhulma.
Kama Gaidi Mbowe ana hatia ama la, ni suala la mahakama kusema.
 
Ataangukia pua watawala wa kiafrica ni sikio la kufa hawaendi na wakati,chanzo ni malezi yetu waafrika ni mabovu kutumia nguvu badala ya akili.
 
Back
Top Bottom