Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katengeneze ya kwako ni kawaida ya binadam kuona anaonewa, hat USA kuna wanaona mahakama haziko huru hali kadhaili South AfricanUnfortunately dhana ya mahakama huru bongo ondoa. Rais anaweza kuingilia mahakama vyovyote vile apendavyo, tumeshaona hilo. mara nyingi tu
Upo myopic sana sasa wew unaamini sabaya alibaka wanawake 40 aliomba rushwa ya 35000 na wee unakubaliUovu wa Sabaya uko wazi mno!... Analaumiwa na watu wa vyama vyote ikiwemo CCM. Analaumiwa na wafanya biashara na viongozi wa serikali waliotendewa ubaya.
Sabaya ataachiwa kwa sababu walikuwa wananmtumaSabaya analaumiwa na wananchi namna alivyokuwa akitumia mbinu za kubambikizia watu makosa ya uongo ili apate anachokitaka.
Wakati mwingine alikuwa tayari hata kublackmail watu kwa kuwapandikizia madawa ya kulevya ili awatoze pesa.
Samia alivyoingia madarakani, tulimuona kama Mtenda haki aliyeamua kumnyoosha yule kijana kutokana na udhalimu wake
Lakini tunasikitika, haijapita hata miezi mitatu tangu Sabaya akamatwe, Samia anatumia mbinu hizohizo za Sabaya ili kunyamazisha mpinzani wake Mkuu.
Leo Mbowe anakwenda kuunganishwa katika kesi ya walinzi waliokuwa wanamlinda mwaka jana, walinzi ambao kukamatwa kwao kunatokana na Mipango ovu ya Sabaya ya kuhakikisha Mbowe hana walinzi anaowaamini wa kumlinda.
Yaani Samia anakwenda kumuunganisha Mbowe katika kesi iliyotengenezwa na Sabaya, halafu wakati huo kamuweka ndani Sabaya!
Kwa kweli sikutegemea hata kidogo kama ni Mkubwa anaweza akageuka namna hii, kutoka kwenye kuhubiri kutobambikizia watu kesi na yeye maenyewe kwrnda kufanya hayohayo.
Mashitaka dhidi ya Mbowe ni ya uongo, hayana mashiko na ni uonevu mtupu!
Haifai kwa mtu mwenye cheo cha Ukuu wa nchi, aliyekula kiapo cha kutenda haki kuanza Kuonea watu na kutenda Dhulma.
Yawezekana unabahati katika maisha yako haujawahi kubambikiwa kesiMimi nafikiri tuache mahakama iamue tisilazimishe Rais kuingilia mihimili mingine.
Wewe unaona wanawake 40 wengi? Wewe umewahi kulala na wangapi? Wewe unajua 35,000 hela nyingine hujui?Upo myopic sana sasa wew unaamini sabaya alibaka wanawake 40 aliomba rushwa ya 35000 na wee unakubali
genge sio chamaChama cha Madhulumati
Mbowe is now past tense...kuazima maneno ya DialloSabaya analaumiwa na wananchi namna alivyokuwa akitumia mbinu za kubambikizia watu makosa ya uongo ili apate anachokitaka.
Wakati mwingine alikuwa tayari hata kublackmail watu kwa kuwapandikizia madawa ya kulevya ili awatoze pesa.
Samia alivyoingia madarakani, tulimuona kama Mtenda haki aliyeamua kumnyoosha yule kijana kutokana na udhalimu wake
Lakini tunasikitika, haijapita hata miezi mitatu tangu Sabaya akamatwe, Samia anatumia mbinu hizohizo za Sabaya ili kunyamazisha mpinzani wake Mkuu.
Leo Mbowe anakwenda kuunganishwa katika kesi ya walinzi waliokuwa wanamlinda mwaka jana, walinzi ambao kukamatwa kwao kunatokana na Mipango ovu ya Sabaya ya kuhakikisha Mbowe hana walinzi anaowaamini wa kumlinda.
Yaani Samia anakwenda kumuunganisha Mbowe katika kesi iliyotengenezwa na Sabaya, halafu wakati huo kamuweka ndani Sabaya!
Kwa kweli sikutegemea hata kidogo kama ni Mkubwa anaweza akageuka namna hii, kutoka kwenye kuhubiri kutobambikizia watu kesi na yeye maenyewe kwrnda kufanya hayohayo.
Mashitaka dhidi ya Mbowe ni ya uongo, hayana mashiko na ni uonevu mtupu!
Haifai kwa mtu mwenye cheo cha Ukuu wa nchi, aliyekula kiapo cha kutenda haki kuanza Kuonea watu na kutenda Dhulma.
Wakati huo huo wewe umeshahukumu!Kama Gaidi Mbowe ana hatia ama la, ni suala la mahakama kusema.
Hata tusio na vyama hatupendi kuona uonevu!Wananchi au chadema!?