Pale Rais Samia anapoazima mbinu za Sabaya ili kufanikisha mambo yake

Unfortunately dhana ya mahakama huru bongo ondoa. Rais anaweza kuingilia mahakama vyovyote vile apendavyo, tumeshaona hilo. mara nyingi tu
Katengeneze ya kwako ni kawaida ya binadam kuona anaonewa, hat USA kuna wanaona mahakama haziko huru hali kadhaili South African
 
Uovu wa Sabaya uko wazi mno!... Analaumiwa na watu wa vyama vyote ikiwemo CCM. Analaumiwa na wafanya biashara na viongozi wa serikali waliotendewa ubaya.
Upo myopic sana sasa wew unaamini sabaya alibaka wanawake 40 aliomba rushwa ya 35000 na wee unakubali
 
Sabaya ataachiwa kwa sababu walikuwa wananmtuma
Yule aliyekuwa mkuu wa wilaya ya arusha katajwa huko kwenye uporaji na genge la Sabaya

Na Yule sasa hivi ni mkubwa huko ccm
 
Mbowe is now past tense...kuazima maneno ya Diallo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…