Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Kwanini Watanzania wa leo tunaamini kwenye inflation? Kwanini tunaamini Sana kwenye ushindi wa asilimia 100%? Kwanini tumepumbazika na cooked data? Kwanini tunawaza sana kwamba tukishinda kwa kishindo tutaleta maendeleo kwa kishindo?
Nimepokea taarifa kwamba upon uwezekano mkubwa 100% isiwe 100% lakini walioifanya isiwe 100% wanaogopa kusema siyo 100% Kwa sababu wakisema siyo 100% wataulizwa hiyo kura yako inaweza kubadili matokeo?
Tukiendelea na jamii ya aina hii na tukaendelea kuweka mafanikio yetu kwenye mizania ya 100% hata kama tupo 67% tunajiumiza Sana. Tunajidanganya kwamba tunakubalika Kwa asilimia mia Moja tunapozungumza mbele za watu lakini wakati huohuo tukikaa uchagoni tunaumizwa sana tunapojiuliza Hawa 23% walionikataa ni wakina nani?
Ukitaka kuchanga karata vizuri kwenye hii hoja jiulize JPM alizungukwa na watu wa aina gani katika macho ya nje na alipoondoka Wale wale watu walifanya Nini? Means kwenye kura za siri walikuwa awamkubali ila kwenye kura za wazi waimwonyesha wapo naye.
Jiulize Ndugai alizungukwa na watu wa aina gani? Kwamba anapata mtelezo wa ulimi then hakuna hata Mmoja kati ya marafiki zake aliyejitokeza kumwombea msamaha au hata basi kumpongeza kwa maamuzi magumu, maana yake hakuwa na marafiki ila walikuwepo marafiki wa kiti chake.
Niombe tubadilike, tukubali ukweli Ili tuweze kujua wabaya na wazuri wetu na kujipanga nao. Maisha ya apendwi mtu yanasujudiwa madaraka yake yamepitwa na wakati.
Wish you all the best wapiga kura
Nimepokea taarifa kwamba upon uwezekano mkubwa 100% isiwe 100% lakini walioifanya isiwe 100% wanaogopa kusema siyo 100% Kwa sababu wakisema siyo 100% wataulizwa hiyo kura yako inaweza kubadili matokeo?
Tukiendelea na jamii ya aina hii na tukaendelea kuweka mafanikio yetu kwenye mizania ya 100% hata kama tupo 67% tunajiumiza Sana. Tunajidanganya kwamba tunakubalika Kwa asilimia mia Moja tunapozungumza mbele za watu lakini wakati huohuo tukikaa uchagoni tunaumizwa sana tunapojiuliza Hawa 23% walionikataa ni wakina nani?
Ukitaka kuchanga karata vizuri kwenye hii hoja jiulize JPM alizungukwa na watu wa aina gani katika macho ya nje na alipoondoka Wale wale watu walifanya Nini? Means kwenye kura za siri walikuwa awamkubali ila kwenye kura za wazi waimwonyesha wapo naye.
Jiulize Ndugai alizungukwa na watu wa aina gani? Kwamba anapata mtelezo wa ulimi then hakuna hata Mmoja kati ya marafiki zake aliyejitokeza kumwombea msamaha au hata basi kumpongeza kwa maamuzi magumu, maana yake hakuwa na marafiki ila walikuwepo marafiki wa kiti chake.
Niombe tubadilike, tukubali ukweli Ili tuweze kujua wabaya na wazuri wetu na kujipanga nao. Maisha ya apendwi mtu yanasujudiwa madaraka yake yamepitwa na wakati.
Wish you all the best wapiga kura