Yoda JF-Expert Member Joined Jul 22, 2018 Posts 48,475 Reaction score 70,102 Feb 2, 2022 #21 Huko ni kupenda hesabu ila namba ni tatizo
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Feb 2, 2022 #22 Hili taifa litaendelea kuwa maskini mpaka mwisho wa dunia kwa aina ya wananchi wake hawa
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Feb 2, 2022 #23 Chakaza said: Unakumbuka Bunge la katiba? Mama yake Zitto aliorodheshwa kapiga kura wakati tayari keshafariki! Hiyo ndio TZ bana! Kila siku nasema kwamba bila CCM kufa haya maajabu ya unafiki hayataisha kamwe Click to expand... Hapo utakuta na kura zimezidi kuonyesha anapendwa sn
Chakaza said: Unakumbuka Bunge la katiba? Mama yake Zitto aliorodheshwa kapiga kura wakati tayari keshafariki! Hiyo ndio TZ bana! Kila siku nasema kwamba bila CCM kufa haya maajabu ya unafiki hayataisha kamwe Click to expand... Hapo utakuta na kura zimezidi kuonyesha anapendwa sn
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Feb 2, 2022 #24 Donnie Charlie said: kwa hiyo hata wale wagombea wengini hawakujipigia kura Click to expand... wao siyo wapiga kura sababu siyo wabunge lakini humo humo kuna watu hawakupiga kura au ziliharibika lakini zote kapewa
Donnie Charlie said: kwa hiyo hata wale wagombea wengini hawakujipigia kura Click to expand... wao siyo wapiga kura sababu siyo wabunge lakini humo humo kuna watu hawakupiga kura au ziliharibika lakini zote kapewa
akilinene JF-Expert Member Joined Aug 2, 2021 Posts 516 Reaction score 436 Feb 2, 2022 #25 Mkaruka said: Hiyo ndio JF mpya mkuu🤣🤣🤣 Click to expand... Ni kweli mkuu, JF ya sasa great thinkers wanapungua. Akina Beatrice Kamugisha wameipunguza sana hadhi yake..Wameigeuza kuwa forum ya udaku.
Mkaruka said: Hiyo ndio JF mpya mkuu🤣🤣🤣 Click to expand... Ni kweli mkuu, JF ya sasa great thinkers wanapungua. Akina Beatrice Kamugisha wameipunguza sana hadhi yake..Wameigeuza kuwa forum ya udaku.