Hao hawawataki, ila watawapokea tu watake wasitake na watatoa hela ya kuijenga Gaza
We jamaa genius sanaKama ana lengo nao jema awapeleke New york, Washington, California etc.
Haya, wasipotoka wataachwa wakae kwenye mapagale yao. Shida ip wapi, kikubwa wasilete vurugu sababu watapondwa tena
Mnataka mkarete usumbufu na kuiba I phone .........hebu tulieni kwenu.......kule hakuna kurusha mawe sijui mtaishije maana kira kukicha ugomvi .........Kama ana lengo nao jema awapeleke New york, Washington, California etc.
Wanaukumbi.
โก๏ธ๐ต๐ธ๐บ๐ธBREAKING: Palestine responds to Donald Trump:
โFor those who want to send the Palestinian people to a โnice placeโ, allow them to go back to their original homes in what is now Israelโฆthe Palestinian people want to rebuild Gaza because this is where we belong.โ
Source: @Palestine_UN
===============
โก๏ธ๐ต๐ธ๐บ๐ธBREAKING: Palestina inamjibu Donald Trump:
"Kwa wale wanaotaka kuwapeleka watu wa Palestina kwenye 'mahali pazuri', waruhusu warudi kwenye makazi yao ya asili katika eneo ambalo sasa ni Israeli ... watu wa Palestina wanataka kujenga upya Gaza kwa sababu hapa ndipo tunapostahili."
Chanzo: @Palestina_UN
View: https://x.com/suppressednws/status/1886912286591516827?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
๐ฎ๐ฎ๐ฎMnataka mkarete usumbufu na kuiba I phone .........hebu tulieni kwenu.......kule hakuna kurusha mawe sijui mtaishije maana kira kukicha ugomvi .........
hao wote ni waarabu wa jordan, misri, syria, n.k, wapo hadi weusi kama wasomali, unamkumbuka yule aliyekuwa anamburuza myahudi wa kike october 7 alikuwa mweusi kabisa kama msomali.Kuwahamisha kuwapeleka wapi?๐
Misri, Jordon, Saudia Arabia, Qatar, Syria wote wamemwambia Trump sisi hatuwezi kuhusika kwa namna yeyote ile kiwaondoa Wapelistina kwenye nchi yao.
Trump alivyokuwa punguani anaomba hawagawe kwenye hayo mataifa kisha Gaza wakakee Waisrael
๐๐
Kama ana nia njema alete ndege hawapakie hawapeleke Miami, Washington.
Wawabebe mashoga wao kuwapeleka kwenye miji ya mashoga uko ULAYA na Marekani mashariki ya kati ni kitomvu cha Dini kuuu duniani Wanatuchafulia maeneo matakatifu tukose Mibaraka !Wabaki Gaza ila wakianzisha ugaidi tena watasagwa bila huruma
Imagine ๐คฃKuwahamisha kuwapeleka wapi?๐
Misri, Jordon, Saudia Arabia, Qatar, Syria wote wamemwambia Trump sisi hatuwezi kuhusika kwa namna yeyote ile kiwaondoa Wapelistina kwenye nchi yao.
Trump alivyokuwa punguani anaomba hawagawe kwenye hayo mataifa kisha Gaza wakakee Waisrael
๐๐
Kama ana nia njema alete ndege hawapakie hawapeleke Miami, Washington.