Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
- Thread starter
- #41
Hao hawawataki, ila watawapokea tu watake wasitake na watatoa hela ya kuijenga Gaza
View: https://x.com/suppressednws/status/1886924840164360192?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao hawawataki, ila watawapokea tu watake wasitake na watatoa hela ya kuijenga Gaza
We jamaa genius sanaKama ana lengo nao jema awapeleke New york, Washington, California etc.
Mnataka mkarete usumbufu na kuiba I phone .........hebu tulieni kwenu.......kule hakuna kurusha mawe sijui mtaishije maana kira kukicha ugomvi .........Kama ana lengo nao jema awapeleke New york, Washington, California etc.
Wanaukumbi.
⚡️🇵🇸🇺🇸BREAKING: Palestine responds to Donald Trump:
“For those who want to send the Palestinian people to a ‘nice place’, allow them to go back to their original homes in what is now Israel…the Palestinian people want to rebuild Gaza because this is where we belong.”
Source: @Palestine_UN
===============
⚡️🇵🇸🇺🇸BREAKING: Palestina inamjibu Donald Trump:
"Kwa wale wanaotaka kuwapeleka watu wa Palestina kwenye 'mahali pazuri', waruhusu warudi kwenye makazi yao ya asili katika eneo ambalo sasa ni Israeli ... watu wa Palestina wanataka kujenga upya Gaza kwa sababu hapa ndipo tunapostahili."
Chanzo: @Palestina_UN
View: https://x.com/suppressednws/status/1886912286591516827?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
🚮🚮🚮Mnataka mkarete usumbufu na kuiba I phone .........hebu tulieni kwenu.......kule hakuna kurusha mawe sijui mtaishije maana kira kukicha ugomvi .........
hao wote ni waarabu wa jordan, misri, syria, n.k, wapo hadi weusi kama wasomali, unamkumbuka yule aliyekuwa anamburuza myahudi wa kike october 7 alikuwa mweusi kabisa kama msomali.Kuwahamisha kuwapeleka wapi?😀
Misri, Jordon, Saudia Arabia, Qatar, Syria wote wamemwambia Trump sisi hatuwezi kuhusika kwa namna yeyote ile kiwaondoa Wapelistina kwenye nchi yao.
Trump alivyokuwa punguani anaomba hawagawe kwenye hayo mataifa kisha Gaza wakakee Waisrael
😀😀
Kama ana nia njema alete ndege hawapakie hawapeleke Miami, Washington.
Wawabebe mashoga wao kuwapeleka kwenye miji ya mashoga uko ULAYA na Marekani mashariki ya kati ni kitomvu cha Dini kuuu duniani Wanatuchafulia maeneo matakatifu tukose Mibaraka !Wabaki Gaza ila wakianzisha ugaidi tena watasagwa bila huruma
Imagine 🤣Kuwahamisha kuwapeleka wapi?😀
Misri, Jordon, Saudia Arabia, Qatar, Syria wote wamemwambia Trump sisi hatuwezi kuhusika kwa namna yeyote ile kiwaondoa Wapelistina kwenye nchi yao.
Trump alivyokuwa punguani anaomba hawagawe kwenye hayo mataifa kisha Gaza wakakee Waisrael
😀😀
Kama ana nia njema alete ndege hawapakie hawapeleke Miami, Washington.