BAKIIF Islamic
JF-Expert Member
- Jul 11, 2021
- 600
- 1,843
- Thread starter
-
- #21
Katika ukristo kuna kundi la washirikina wanao amini kwamba Issa ni Mtoto wa Mungu na wengine huamini kwamba Issa ndie MUNGU. Hao hatupo nao pamoja katika kuamini.Je umeisahau ile aya inayokataza kuwa na urafiki na mkristo na myahudi?
Kuna Wayahudi wa asili tofauti tofauti ikiwemo hao wa huko Ethiopia.Ukizungumza jambo kama Muislamu, asiyemuislamu anakuweka daraja gani katika kukusikiliza?
Je! anakusikiliza kwakua anaamini unaweza mpa kitu ambacho anaweza faidika nacho? au anakusikiliza tu ili umalize kuzungumza yeye anamawazo yake kuhusu hayo unayozungumza.!!
Mara nyingi ukiwa muislamu unaona wasio waislamu ndio maadui, kama vile asiyemuislamu humuona muislamu ndio adui na husema yale yanayotokea hufanywa na waislamu, halafu hajui tofauti ya muislamu yupi na yupi. Kama ambavyo nasisi hatujui hitilafu zilizomo baina ya wasio waislamu.
Kwa mfano: Tunapotaka kuzungumza kuhusu Palestine: Tunamzungumza Mpalestina namna anavyofanyana na Muyahudi. Lakini hoja ya msingi ni nani Yahudi?
Yahudi original yuko Ethiopia anaitwa Falasha ukiingia hata search engine ya google ukitafuta neno Falasha watakueleza kwamba huyo ndio 'The Beta Israel'
Muonekano wa Mayahudi original ni hawa hapa, ni weusi.
View attachment 2813402
Hawa ndio mayahudi wenyewe,
View attachment 2813405
....................
Sasa yule anayepigana na Mpalestina pale hii leo ni Nani?
Wale wanaitwa Khazars au Ashkenazi hata ukiingia search engine ya google ukiandika Khazars au Ashkenazi utawaona.
Ashkenazi ni Convert kutoka kua Khazarian kuja kua Jews, yaani ni watu walioacha dini yao wakaingia dini ya kiyahudi. Yaani kama vile leo, Mkristo aache ukristo kisha aingie uislamu, au muislamu aache uislamu kisha aingie ukitristo kwa maslahi fulani ya kisiasa na kiuchumi sio kwa ajili ya MUNGU.
Hawa ndio Khazars au Ashkenazi ni Wazungu
View attachment 2813448
Ndio hawa hapa
View attachment 2813451
........................
Kwao ni wapi haswa?
Kwao kabisa ni Georgia kama mile 800 kutoka Palestina ambapo wanapapigania kwasasa. Wapo karibu na Russia ndipo walipotoka
View attachment 2813463
.....................
Sehemu wanayoipagania, awali ilijulikana kwa jina la JUDEA, kisha ikawa PALESTINE, haikua Israel kwasababu neno Israel ni maneno mawili yaliyounganishwa ambayo yanamaana tofauti, ISRA ni Plural ya MJA yaani WAJA, na neno EL ni Mwenyezi MUNGU.
Sasa spirit kwa yanayotokea Ghaza sasa hivi ni nini?
Je ni Wailsamu wanapigana na mayahudi? Laa! hapana.
Je kwa walioko Ghaza kuna wayahudi mule?? Naam, wapo na wanakufa.
Je kwa walioko Ghaza kuna wakristo mule ?? Naam, wapo na wanakufa.
Lakini wote lugha yao ni kiarabu, sasa mtu asiye na ufahamu mzuri atajua wote wanaozungumza kiarabu pale ni Waislamu.
Huo ndio Mchujo nimekupatia wakujua nani ni nani pale Ghaza.
Taifa la Waja wa Mwenyezi MUNGU (Israel) lilibuniwa lini?
Kuna watu wanaamini ni mwaka 1948, lakini taifa liliasisiwa tangu kwa azimio la Balfour ndipo taifa lilipobuniwa Taifa la Israel, mwaka 1917 hadi kufikia mwaka huu 2023 tayari imepita miaka 106 exactly.
Msiangalie hivi vitu kama picha, ili kupata ile roho ya haya mambo, ile spirit Angalieni ile barua watu wanasema nini, halafu angalia tarehe yake utaona 2nd Novermber 1917.
Swali ni kwamba ameandikiwa nani ile barua?
Aliyeandikiwa ile barua ni Lord Rothschild.
Ni nani huyu Lord Rothschild.?
.........
Nchi 10 za kiislamu ziliwekewa mtego katika kubuniwa taifa la Wazayuni, kuna Waafrika ambao wanapata hasira wakitajiwa jina la Wazayuni, anataka uwaite Israel. Ushahidi ni kwamba hata kwenye barua hiyo aliyoandikiwa Lord Rothschild ametajiwa kwamba 'Jews Zionists' barua iko hapo chini.
Muktadha wa haya mambo, sio mambo ya waislamu kupigana na wakristo, kwasababu kule palestina Waislamu hawapigani na Wakristo, wala waislamu hawapigani na Yahudi, kule waislamu wanapigana na Zayuni.
View attachment 2813669
Kwa hivyo Zayuni ni nani?
Zayuni ni political entity ni chombo cha kisiasa ambacho kilikua kimejengeka kwenye fikra ya utaifa, ambapo mwaka 1902 hadi mwaka 1905 ilijadiliwa kwamba watu hawa waletwe Afrika nchi ya Kenya.
Theodor Herzl akiwa kama mkubwa wa Mazayuni yeye ndiye akapinga swala hilo kwenye mkutano wao wa Basel huko Switzerland, akasema hapana, kule kule kwasababu wao walikua wanataka kuudandia uyahudi, wao sio mayahudi, wao ni Khazarian wao ni Ashkenazi kutoka Georgia, lakini walishagundua uyahudi ni njia ya malengo yao ndio unaona sasa wanafanya bidii kutaka kuwachukua Falasha kutoka Ethiopia ili kama wataweza wajiaribu kuiba 'Genes' za wale wa Falasha. Falasha ndio original Jews, na Falasha wako Ethiopia.
Sasa ili kukuonesha kwamba hii sio vita ya waislamu na wakristo, na wala sio vita ya waislamu na mayahudi, kutambua haya ni muhimu kurudi kwenye historia.
Waislamu hawana vita na Mayahudi wala hawana vita na Wakristo, na wala Mtume Muhammad S.A.W hajawahi kupigana vita na Wakristo na Wala hajawahi kupiga vita na mayahudi, bali Mtume amepigana vita na Makuraishi Wapagani wa Makka.
Kwa mfano: Mwaka wa 5 baada ya uislamu kuingia waislamu walikua wanateswa sana NA Makurishi wa mji wa Maka, walikua wanauliwa. Wakenda kwa Mtume (s.a.w) wakamwambia Ewe Mtume wa Mungu, mateso na dhiki tunayopata ni kubwa sana je wewe unaweza kutushauri twende wapi ili tupate amani ya kufanya ibada zetu?
Mtume akawaambia 'Mimi naona, kuna nchi moja ipo Africa inaitwa 'Abyssinia' (Ethiopia Empire) huko kuna mtawala sio Muislamu, lakini nawahakikishia mtapata amani na mtaweza kujiendeleza na imani yenu kwa nama ya hali ya juu sana, atawatendea haki''
Je! Mtume S.A.W alikua alishakuja Ethiopia yeye? alijuaje kule kuna mtawala wakikristo lakini atawapa amani waislamu? Je waislamu wanavita na wakristo kama Mtume S.A.W anawashauri swahaba zake wafuasi wake nendeni kwa mtawala yule mtakua na amani kuliko kukaa hapa mkauwawa.
Mfano wa pili, wale waliokuja kutoka Madina makabila mawili ya Aws na Khazraj walikua ni makabila mawili ya Kiyahudi yaliyokua yakizozana sana na ndio hayo yalimnusuru Mtume S.A.W alipoingia Madina, katika uislamu ukisikia 'Ansar sunna' maana yake ni wale waliomnusuru Mtume S.A.W ambao ni makabila mawili ya kiyahudi ya Aws na Khazraj. Je waislamu wanavita na Mayahudi? jibu hapana.
.............
Kumbe sasa kuna chombo cha kisiasa na kitaifa ndio chombo cha Kizayuni, ambacho kinajua kabisa kwamba Nabii Mussa a.s, Nabii Issa a.s (Yesu Kristo), na Mtume Muhammad s.a.w hawa watatu ni watu waliojisalimisha kwa Mwenyezi MUNGU na wanamuheshimu Mwenyezi MUNGU hawa mitume watatu.
Wazayuni wanajua kwamba hawa mitume watatu ni wachamungu na wanafuata mwenendo wa maisha uliokamilika. Sasa tufanyeje? hawa ni lazima tuwazozanishe wasipatane, hawa wakipatana sisi hatuna mahali tutapita. Mzizi utakao wavuruga ni Uyahudi, Wafuasi wa Nabii Issa na Waislamu. Huu ndio mzizi wa vita vya Palestina. Lazima hawa watu tuwagonganishe vichwa ndio hapo sisi ZAYUNI tutapata kuwatawala. Wazayuni ni kundi la kisiasa linalofanya matendo kwa kuwasingizia wayahudi.
Turudi sasa tuliposihia kwenye Barua. Ni nani huyu Lord Rothschild.?
Neno 'Rothschild' ni neno la kijerumani lenye maana ya Roth = Red, Schild = shield (Red Shield) = Ngao Nyekundu.
Rothschild ni tajiri aliyeweza kudhamini na kufadhili vita vya kwanza vya ulimwengu na vita vya pili vya ulimwengu, kwa kufadhili pande zote zipigane ziuwane. Anampa huyu pesa kisha anamfadhili na mshindani wake kwa kumpa pesa, na kwa kila mmoja anaona yuko peke yake bila kujua kama boss wao ni mmoja.
Vita vya kwanza hawakujua, vita vya pili ilikuaje?
Mayer Amschel Rothschild ana watoto ambao walikua ni Bankers wakubwa, Federal Bureau ya America ni Rothschild, London square Bank kuu ya London ni Rothschild, Naples Italy Central bank ni Rothschild, German Bank ni Rothschild, Sehemu nyingi za dunia walifungua Central Bank ikiwa wao ndio wanaendesha nchi.
..................
Sponsor mkuu wa illuminate ni Rothschild, yeye ndiye aliyemwambia Adam Weishaupt kwamba buni society ya illuminate, mfadhili ni Rothschild, secret society.
Ni muhimu sana watu kujua tunatoka wapi, tuko wapi na tunakwenda wapi, (vipi?) ipo kwenye mabano ().
Tumetoka wapi, tuko wapi na tunakwenda wapi, tunakwenda vipi, maana sio tunakwenda tu, tunakwenda vipi ndio muhimu, na hii (Vipi) kwasasa inashikiliwa na Rothschild kwa asilimia kubwa.
Kule tunakokwenda lazima twende tukiwa ni watu wenye taarifa, tunajua kunaendelea nini, tunajua sisi tunataka nini, na wale ambao wanakwenda dhidi yetu sisi wao wanataka nini. Ni vitu muhimu kuvifahamu.
Kwa hivyo tunapoizungumzia Palestine, spirit yake inamafunzo kwetu sisi Waislamu, Wakristo na Mayahudi. Hapa Palestine kuna mafunzo makubwa ya sisi kujifunza hususan waislamu.
Kwa mfano: Leo Ghaza hakuna umeme, hakuna maji, hakuna huduma za afya, hakuna chakula, hakuna mawasiliano, hakuna msaada wowote wa maana kwa watu wale. Je wewe hali hiyo ikikukuta umejiandaa vipi? Kwasababu Masihi Dajal (Mpinga Kristo) ndiye atamiliki vitu vyote vya ardhi hii, je! wewe umejiandaa vipi kwa mfano mdogo huu kwa watu wa Palestina? kwasababu kinachoendelea Ghaza ni njia ya kumkaribisha Dajal ulimwenguni, na mapinduzi hayo yataendelea hatua kwa hatua hadi kuikamata ardhi yote ya dunia. Je umejiandaa kwa hilo? utakabiliana nalo vipi?
Angalia nchi zilizo jirani na Ghaza, ni waarabu wenzao, ni wakristo wenzao na ni mayahudi wenzao, wale wote walaio karibu na Ghaza ni watu wa kaliba moja. Lakini hawana msaada wa kuwapa. Sio msaada wa kupigana laa! Msaada tu hata wakupelekea maji na chakula wanashindwa. Wewe unafikiria kuna nini hapo Unajifunza nini kama mwanaadamu wa kawaida? unaweza weza kustahmili mambo kama hayo yakikukuta?
...........
Palestina ilikua inahusisha maeneo hadi ya Jordan, tangu mwaka 1517 hadi mwaka 1915 kipindi cha Ottoman Empire.
Baada ya Ottoman Empire kuanguka katika vita vya kwanza vya ulimwengu, milki ya ottoman aliichukua Mturuki, baada ya kuona hawezi kuendesha milki hizo kwa kushindwa nguvu na Milki kubwa wakazichukua Miliki hizo na kuwakabidhi Waingereza.
Kulikua na Mkataba unaitwa 'Lausanne Agreement' ambao ulikua umefuatana na vita vya kwanza vya ulimwengu. 'Lausanne Agreement' ni makubaliano ya Uturuki kwamba wawape uingereza mamlaka ya kusimamia Palestina.
Mwaka 1917 Uingereza ikatoa Azimio la Balfour Declaration, ili kubuniwe taifa la Kizayuni ndani ya Palestine kwa kusema kwamba itakua ni nchi inayowahudumia Mayahudi, lakini kiuhalisia sio Yahudi bali ni Zayuni.
Mwaka 1922 asilimia 80% ya Palestine ikageuzwa ikawa inajulikana kama 'Transjordan' na hii inafanya Jordan iwe imechukua kipande kikubwa cha Palestine ambacho kinaishi waarabu.
Watu wengi wanaamani taifa la Wazayuni limebuniwa 1948 ni kwasababu ya taifa la Wazayuni na majirani wake waarabu, kutokana na hukumu ya umoja wa mataifa kugawanya palestine kuwa mataifa mawili, Moja ni taifa la kiyahudi wakaliita (Israel) na moja taifa la Waarabu (Palestine).
Sio ukweli mkuu, kasome kitabu kinaitwa the 13th tribe tena kaandika myahudi kweli. In fact hao serphadic au Falasha Jews ni "more jewish" kuliko hao Ashkenazi ambao ni literally wazungu. Hivi middle east kuna wazungu? Original Jews ni Semites or Hamites not Caucasians. Kasome Bible Ashkenazi wametokana na Japhet while Abraham na Yakobo wametokana na Shem!!Wayahudi orginal ni hao waliopo hapo israel,miaka na miaka hata kurwani inalitambua hilo vitabu vyote vya historia hapo mashariki ya kati vinalitambua hilo.
ACHA KUWAZUNGUMZIA WAYAHUDI KWA KUPITIA MAFUNDISHO YA KIARABU NA DINI YAO YA KIISLAMU.Ukizungumza jambo kama Muislamu, asiyemuislamu anakuweka daraja gani katika kukusikiliza?
Je! anakusikiliza kwakua anaamini unaweza mpa kitu ambacho anaweza faidika nacho? au anakusikiliza tu ili umalize kuzungumza yeye anamawazo yake kuhusu hayo unayozungumza.!!
Mara nyingi ukiwa muislamu unaona wasio waislamu ndio maadui, kama vile asiyemuislamu humuona muislamu ndio adui na husema yale yanayotokea hufanywa na waislamu, halafu hajui tofauti ya muislamu yupi na yupi. Kama ambavyo nasisi hatujui hitilafu zilizomo baina ya wasio waislamu.
Kwa mfano: Tunapotaka kuzungumza kuhusu Palestine: Tunamzungumza Mpalestina namna anavyofanyana na Muyahudi. Lakini hoja ya msingi ni nani Yahudi?
Yahudi original yuko Ethiopia anaitwa Falasha ukiingia hata search engine ya google ukitafuta neno Falasha watakueleza kwamba huyo ndio 'The Beta Israel'
Muonekano wa Mayahudi original ni hawa hapa, ni weusi.
View attachment 2813402
Hawa ndio mayahudi wenyewe,
View attachment 2813405
....................
Sasa yule anayepigana na Mpalestina pale hii leo ni Nani?
Wale wanaitwa Khazars au Ashkenazi hata ukiingia search engine ya google ukiandika Khazars au Ashkenazi utawaona.
Ashkenazi ni Convert kutoka kua Khazarian kuja kua Jews, yaani ni watu walioacha dini yao wakaingia dini ya kiyahudi. Yaani kama vile leo, Mkristo aache ukristo kisha aingie uislamu, au muislamu aache uislamu kisha aingie ukitristo kwa maslahi fulani ya kisiasa na kiuchumi sio kwa ajili ya MUNGU.
Hawa ndio Khazars au Ashkenazi ni Wazungu
View attachment 2813448
Ndio hawa hapa
View attachment 2813451
........................
Kwao ni wapi haswa?
Kwao kabisa ni Georgia kama mile 800 kutoka Palestina ambapo wanapapigania kwasasa. Wapo karibu na Russia ndipo walipotoka
View attachment 2813463
.....................
Sehemu wanayoipagania, awali ilijulikana kwa jina la JUDEA, kisha ikawa PALESTINE, haikua Israel kwasababu neno Israel ni maneno mawili yaliyounganishwa ambayo yanamaana tofauti, ISRA ni Plural ya MJA yaani WAJA, na neno EL ni Mwenyezi MUNGU.
Sasa spirit kwa yanayotokea Ghaza sasa hivi ni nini?
Je ni Wailsamu wanapigana na mayahudi? Laa! hapana.
Je kwa walioko Ghaza kuna wayahudi mule?? Naam, wapo na wanakufa.
Je kwa walioko Ghaza kuna wakristo mule ?? Naam, wapo na wanakufa.
Lakini wote lugha yao ni kiarabu, sasa mtu asiye na ufahamu mzuri atajua wote wanaozungumza kiarabu pale ni Waislamu.
Huo ndio Mchujo nimekupatia wakujua nani ni nani pale Ghaza.
Taifa la Waja wa Mwenyezi MUNGU (Israel) lilibuniwa lini?
Kuna watu wanaamini ni mwaka 1948, lakini taifa liliasisiwa tangu kwa azimio la Balfour ndipo taifa lilipobuniwa Taifa la Israel, mwaka 1917 hadi kufikia mwaka huu 2023 tayari imepita miaka 106 exactly.
Msiangalie hivi vitu kama picha, ili kupata ile roho ya haya mambo, ile spirit Angalieni ile barua watu wanasema nini, halafu angalia tarehe yake utaona 2nd Novermber 1917.
Swali ni kwamba ameandikiwa nani ile barua?
Aliyeandikiwa ile barua ni Lord Rothschild.
Ni nani huyu Lord Rothschild.?
.........
Nchi 10 za kiislamu ziliwekewa mtego katika kubuniwa taifa la Wazayuni, kuna Waafrika ambao wanapata hasira wakitajiwa jina la Wazayuni, anataka uwaite Israel. Ushahidi ni kwamba hata kwenye barua hiyo aliyoandikiwa Lord Rothschild ametajiwa kwamba 'Jews Zionists' barua iko hapo chini.
Muktadha wa haya mambo, sio mambo ya waislamu kupigana na wakristo, kwasababu kule palestina Waislamu hawapigani na Wakristo, wala waislamu hawapigani na Yahudi, kule waislamu wanapigana na Zayuni.
View attachment 2813669
Kwa hivyo Zayuni ni nani?
Zayuni ni political entity ni chombo cha kisiasa ambacho kilikua kimejengeka kwenye fikra ya utaifa, ambapo mwaka 1902 hadi mwaka 1905 ilijadiliwa kwamba watu hawa waletwe Afrika nchi ya Kenya.
Theodor Herzl akiwa kama mkubwa wa Mazayuni yeye ndiye akapinga swala hilo kwenye mkutano wao wa Basel huko Switzerland, akasema hapana, kule kule kwasababu wao walikua wanataka kuudandia uyahudi, wao sio mayahudi, wao ni Khazarian wao ni Ashkenazi kutoka Georgia, lakini walishagundua uyahudi ni njia ya malengo yao ndio unaona sasa wanafanya bidii kutaka kuwachukua Falasha kutoka Ethiopia ili kama wataweza wajiaribu kuiba 'Genes' za wale wa Falasha. Falasha ndio original Jews, na Falasha wako Ethiopia.
Sasa ili kukuonesha kwamba hii sio vita ya waislamu na wakristo, na wala sio vita ya waislamu na mayahudi, kutambua haya ni muhimu kurudi kwenye historia.
Waislamu hawana vita na Mayahudi wala hawana vita na Wakristo, na wala Mtume Muhammad S.A.W hajawahi kupigana vita na Wakristo na Wala hajawahi kupiga vita na mayahudi, bali Mtume amepigana vita na Makuraishi Wapagani wa Makka.
Kwa mfano: Mwaka wa 5 baada ya uislamu kuingia waislamu walikua wanateswa sana NA Makurishi wa mji wa Maka, walikua wanauliwa. Wakenda kwa Mtume (s.a.w) wakamwambia Ewe Mtume wa Mungu, mateso na dhiki tunayopata ni kubwa sana je wewe unaweza kutushauri twende wapi ili tupate amani ya kufanya ibada zetu?
Mtume akawaambia 'Mimi naona, kuna nchi moja ipo Africa inaitwa 'Abyssinia' (Ethiopia Empire) huko kuna mtawala sio Muislamu, lakini nawahakikishia mtapata amani na mtaweza kujiendeleza na imani yenu kwa nama ya hali ya juu sana, atawatendea haki''
Je! Mtume S.A.W alikua alishakuja Ethiopia yeye? alijuaje kule kuna mtawala wakikristo lakini atawapa amani waislamu? Je waislamu wanavita na wakristo kama Mtume S.A.W anawashauri swahaba zake wafuasi wake nendeni kwa mtawala yule mtakua na amani kuliko kukaa hapa mkauwawa.
Mfano wa pili, wale waliokuja kutoka Madina makabila mawili ya Aws na Khazraj walikua ni makabila mawili ya Kiyahudi yaliyokua yakizozana sana na ndio hayo yalimnusuru Mtume S.A.W alipoingia Madina, katika uislamu ukisikia 'Ansar sunna' maana yake ni wale waliomnusuru Mtume S.A.W ambao ni makabila mawili ya kiyahudi ya Aws na Khazraj. Je waislamu wanavita na Mayahudi? jibu hapana.
.............
Kumbe sasa kuna chombo cha kisiasa na kitaifa ndio chombo cha Kizayuni, ambacho kinajua kabisa kwamba Nabii Mussa a.s, Nabii Issa a.s (Yesu Kristo), na Mtume Muhammad s.a.w hawa watatu ni watu waliojisalimisha kwa Mwenyezi MUNGU na wanamuheshimu Mwenyezi MUNGU hawa mitume watatu.
Wazayuni wanajua kwamba hawa mitume watatu ni wachamungu na wanafuata mwenendo wa maisha uliokamilika. Sasa tufanyeje? hawa ni lazima tuwazozanishe wasipatane, hawa wakipatana sisi hatuna mahali tutapita. Mzizi utakao wavuruga ni Uyahudi, Wafuasi wa Nabii Issa na Waislamu. Huu ndio mzizi wa vita vya Palestina. Lazima hawa watu tuwagonganishe vichwa ndio hapo sisi ZAYUNI tutapata kuwatawala. Wazayuni ni kundi la kisiasa linalofanya matendo kwa kuwasingizia wayahudi.
Turudi sasa tuliposihia kwenye Barua. Ni nani huyu Lord Rothschild.?
Neno 'Rothschild' ni neno la kijerumani lenye maana ya Roth = Red, Schild = shield (Red Shield) = Ngao Nyekundu.
Rothschild ni tajiri aliyeweza kudhamini na kufadhili vita vya kwanza vya ulimwengu na vita vya pili vya ulimwengu, kwa kufadhili pande zote zipigane ziuwane. Anampa huyu pesa kisha anamfadhili na mshindani wake kwa kumpa pesa, na kwa kila mmoja anaona yuko peke yake bila kujua kama boss wao ni mmoja.
Vita vya kwanza hawakujua, vita vya pili ilikuaje?
Mayer Amschel Rothschild ana watoto ambao walikua ni Bankers wakubwa, Federal Bureau ya America ni Rothschild, London square Bank kuu ya London ni Rothschild, Naples Italy Central bank ni Rothschild, German Bank ni Rothschild, Sehemu nyingi za dunia walifungua Central Bank ikiwa wao ndio wanaendesha nchi.
..................
Sponsor mkuu wa illuminate ni Rothschild, yeye ndiye aliyemwambia Adam Weishaupt kwamba buni society ya illuminate, mfadhili ni Rothschild, secret society.
Ni muhimu sana watu kujua tunatoka wapi, tuko wapi na tunakwenda wapi, (vipi?) ipo kwenye mabano ().
Tumetoka wapi, tuko wapi na tunakwenda wapi, tunakwenda vipi, maana sio tunakwenda tu, tunakwenda vipi ndio muhimu, na hii (Vipi) kwasasa inashikiliwa na Rothschild kwa asilimia kubwa.
Kule tunakokwenda lazima twende tukiwa ni watu wenye taarifa, tunajua kunaendelea nini, tunajua sisi tunataka nini, na wale ambao wanakwenda dhidi yetu sisi wao wanataka nini. Ni vitu muhimu kuvifahamu.
Kwa hivyo tunapoizungumzia Palestine, spirit yake inamafunzo kwetu sisi Waislamu, Wakristo na Mayahudi. Hapa Palestine kuna mafunzo makubwa ya sisi kujifunza hususan waislamu.
Kwa mfano: Leo Ghaza hakuna umeme, hakuna maji, hakuna huduma za afya, hakuna chakula, hakuna mawasiliano, hakuna msaada wowote wa maana kwa watu wale. Je wewe hali hiyo ikikukuta umejiandaa vipi? Kwasababu Masihi Dajal (Mpinga Kristo) ndiye atamiliki vitu vyote vya ardhi hii, je! wewe umejiandaa vipi kwa mfano mdogo huu kwa watu wa Palestina? kwasababu kinachoendelea Ghaza ni njia ya kumkaribisha Dajal ulimwenguni, na mapinduzi hayo yataendelea hatua kwa hatua hadi kuikamata ardhi yote ya dunia. Je umejiandaa kwa hilo? utakabiliana nalo vipi?
Angalia nchi zilizo jirani na Ghaza, ni waarabu wenzao, ni wakristo wenzao na ni mayahudi wenzao, wale wote walaio karibu na Ghaza ni watu wa kaliba moja. Lakini hawana msaada wa kuwapa. Sio msaada wa kupigana laa! Msaada tu hata wakupelekea maji na chakula wanashindwa. Wewe unafikiria kuna nini hapo Unajifunza nini kama mwanaadamu wa kawaida? unaweza weza kustahmili mambo kama hayo yakikukuta?
...........
Palestina ilikua inahusisha maeneo hadi ya Jordan, tangu mwaka 1517 hadi mwaka 1915 kipindi cha Ottoman Empire.
Baada ya Ottoman Empire kuanguka katika vita vya kwanza vya ulimwengu, milki ya ottoman aliichukua Mturuki, baada ya kuona hawezi kuendesha milki hizo kwa kushindwa nguvu na Milki kubwa wakazichukua Miliki hizo na kuwakabidhi Waingereza.
Kulikua na Mkataba unaitwa 'Lausanne Agreement' ambao ulikua umefuatana na vita vya kwanza vya ulimwengu. 'Lausanne Agreement' ni makubaliano ya Uturuki kwamba wawape uingereza mamlaka ya kusimamia Palestina.
Mwaka 1917 Uingereza ikatoa Azimio la Balfour Declaration, ili kubuniwe taifa la Kizayuni ndani ya Palestine kwa kusema kwamba itakua ni nchi inayowahudumia Mayahudi, lakini kiuhalisia sio Yahudi bali ni Zayuni.
Mwaka 1922 asilimia 80% ya Palestine ikageuzwa ikawa inajulikana kama 'Transjordan' na hii inafanya Jordan iwe imechukua kipande kikubwa cha Palestine ambacho kinaishi waarabu.
Watu wengi wanaamani taifa la Wazayuni limebuniwa 1948 ni kwasababu ya taifa la Wazayuni na majirani wake waarabu, kutokana na hukumu ya umoja wa mataifa kugawanya palestine kuwa mataifa mawili, Moja ni taifa la kiyahudi wakaliita (Israel) na moja taifa la Waarabu (Palestine).
Hii makala imeelezea kuhusu Wayahudi wa kale kiasili.Sio ukweli mkuu, kasome kitabu kinaitwa the 13th tribe tena kaandika myahudi kweli. In fact hao serphadic au Falasha Jews ni "more jewish" kuliko hao Ashkenazi ambao ni literally wazungu. Hivi middle east kuna wazungu? Original Jews ni Semites or Hamites not Caucasians. Kasome Bible Ashkenazi wametokana na Japhet while Abraham na Yakobo wametokana na Shem!!
So both religious and historically hao Ashkenazi Jews ni FEKI.
Sio fikirishi tu, ni kweli, take it. Huu ndio ukweli ambao watu wamefichwa, badala yake wanalishwa matango mwitu. Jamaa yupo knowledgeable sana,👍.
Kwa habari hii ya waithiopia kuwa Waisrael halisi?.thubutu.Karibu sana
Mulio na pamoja kuamini ni wakristo ganiKatika ukristo kuna kundi la washirikina wanao amini kwamba Issa ni Mtoto wa Mungu na wengine huamini kwamba Issa ndie MUNGU. Hao hatupo nao pamoja katika kuamini.
We naye zero tu, hivi unajua Yakobo alikua na wake 4? Na wawili walikua ni watumwa kutoka huko Syria yaani waarab hivi..... na hata wake zake walitokea Mesopotamia ambayo ni almost Iraq ya leo!! So hakuna myahudi mwenye mama "pure" myahudi!! In fact hilo kabila la Dani walikua pure black based on the Bible.Acha uongo na upotoshaji,wayahudi wa ethiopia ni uzao wa malkia sheba,
Hahahah we mwenyewe unajiita "Almagedon"!!Write your reply...huyu jamaa nahc anataka kuwavuta wakristo ili wajichanganye afu baadae wawachinje kwa lile jina la mungu wao.Aiseh ni bora hayo maneno ya kwenye huo uzi angeandika mkrsto mana wakristo wameagzwa upendo kwa kila binadamu ila sio hao jamaa sasa, wakristo mjichanganye mtaipenda dadeq
Surat Al maida 51Je umeisahau ile aya inayokataza kuwa na urafiki na mkristo na myahudi?
Kwahiyo ile anti-Semitism iliyokuwa inafanyika Ulaya ilikuwa inawalenga akina nani? Wayahudi walioko Ethiopia au Wayahudi wapi?Sio ukweli mkuu, kasome kitabu kinaitwa the 13th tribe tena kaandika myahudi kweli. In fact hao serphadic au Falasha Jews ni "more jewish" kuliko hao Ashkenazi ambao ni literally wazungu. Hivi middle east kuna wazungu? Original Jews ni Semites or Hamites not Caucasians. Kasome Bible Ashkenazi wametokana na Japhet while Abraham na Yakobo wametokana na Shem!!
So both religious and historically hao Ashkenazi Jews ni FEKI.
Jewish ni culture na dini pia not necessarily "race" fulani. Na Hitler aliua sio Jews tu aliua watu wa Poland na Russia kuliko hata alivyoua wayahudi. So it was not about their "race" bali hyo identification yao kama Jews na kutawala mifumo ya fedha pamoja na kuhujumu nchi kwenye WW1.Kwahiyo ile anti-Semitism iliyokuwa inafanyika Ulaya ilikuwa inawalenga akina nani? Wayahudi walioko Ethiopia au Wayahudi wapi?
Tuseme wewe na Adolf Hitler au Benito Mussolini nani alikuwa anawajua Wayahudi halisi?
Kwamba Hitler aliua Black Jews hiki ni kichekesho cha karne.Jewish ni culture na dini pia not necessarily "race" fulani. Na Hitler aliua sio Jews tu aliua watu wa Poland na Russia kuliko hata alivyoua wayahudi. So it was not about their "race" bali hyo identification yao kama Jews na kutawala mifumo ya fedha pamoja na kuhujumu nchi kwenye WW1.
So whether wewe ni original or not, it didn't matter.
Nabii Issa alipokuja (mazazi yake yalikua ni ya maajabu sana), pia yeye mwenyewe alikua ni mwenye maajabu na miujiza ya hali ya juu. Alipoondoka watu waligawika makundi matano.Mulio na pamoja kuamini ni wakristo gani
sawa ila kusema muislamu hamchukii mkrsto au myahudi,,hapana mkuu hata mashekhe wenzako wamevunga tu sbb wanahc unawatafutia msaada hamasHahahah we mwenyewe unajiita "Almagedon"!!