Palestine na mifano ya chuki za kidini

Palestine na mifano ya chuki za kidini

sawa ila kusema muislamu hamchukii mkrsto au myahudi,,hapana mkuu hata mashekhe wenzako wamevunga tu sbb wanahc unawatafutia msaada hamas
Mafundisho ya kikristo makanisani kwa asilimia kubwa ndio ambayo yanafundisha chuki dhidi ya waislamu.
 
Mkuu
Ukiishi ukiwa huru ukaju Mungu Hana Dini yeyote na Dini ni za watu na Mungu yeye Hana Dini Wala upande utaishi kwa uhuru sana!!

Dini ni mbinu ya wenye akili kutawala wenye Bongo finyu!

Leo Kuna wajinga wnasapoti israel na wengine Palestine kwanini. Wasijiulize maswali kwamba Mungu huyo anafuarahia damu kumwagwa!!?yaani damu ya mpalestina au muisrael ikimwagika Mungu anafuarahia yeye kama muirael au mpalestina!!?


Mimi nipo huru kuingia kabisa au msikiti wote na Tena siendi kuabudu Wala naenda kutembea na kujifunza coz naabudu Kila saa ninapojusikia ninapokua popote pale kimya kimya!!!Wala Sina jengo la maana la kuabudia Wala dini ya maana zaidi nasoma maandiko na yanayohisiwa kuwa ya Mungu na kuyaona kama kweli Yana uungu ndani yake!!!

Simple tu!!
 
Ndio Adamu alikuwa muislamuu
Kwani muislamuu ni mtu aliyeisalimisha nafsi yake kwa Mwenyezi mungu
Hata Issa (yesu) nae alikuwa muislamu
 
Eneo la Israel ni la waisrael, hao wanaojiita wapalestina ni waarabu waliovamia eneo Hilo wakati wenye nalo wakiwa uhamishoni,kwasasa ni ima watulie waishi kwa amani(kitu ambacho ni kigumu) au waendelee kuumia kila mara.
Wapalestina sio waarabu kiasili bali wamekuwa arabized, ni Waisrael wa Zamani ambao wamebadilisha dini kuwa waislam/Wakristo na ipo proved kisayansi sijui kwanini bado hizi propaganda zinaendelea kwamba wametoka Arabuni. Wangekua ni waarabu wangefanana na waarabu wengine kwanini wao wapo tofauti?
 
Mafundisho ya kikristo makanisani kwa asilimia kubwa ndio ambayo yanafundisha chuki dhidi ya waislamu.
Kwanza utambue hakuna Aya katika Biblia inasema Yesu ni Mtoto wa Mungu, Kama Qurani inavyo sema.

Yesu ni Mwana wa Mungu.
Qurani haijui kutofatisha Kati ya Mtoto na Mwana.

Pili hakuna fundisho katika Ukristo linalosema chochote juu ya Waislamu. Biblia haiutambui Uislamu.

Ila Kitabu chenu Qurani kina mafundisho mengi tu ya chuki dhidi ya Ukristo.

Mmojawapo ni hili hapa.

۞ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَتَّخِذُوا الْيَهُودَ وَالنَّصَارَىٰ أَوْلِيَاءَ ۘ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَاءُ بَعْضٍ ۚ وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمْ فَإِنَّهُ مِنْهُمْ ۗ إِنَّ اللَّهَ لَا يَهْدِي الْقَوْمَ الظَّالِمِينَ

[ AL - MAIDA - 51 ]
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.


Ukristo hau utambui Uislamu kabisa na wala hauja uzungumzia popote pale.
Waalimu wa Kikristo hawana cha kusema juu ya Uislamu popote pale kwani hauko katika Biblia.
Acha uongo ndugu.
 
Wapalestina sio waarabu kiasili bali wamekuwa arabized, ni Waisrael wa Zamani ambao wamebadilisha dini kuwa waislam/Wakristo na ipo proved kisayansi sijui kwanini bado hizi propaganda zinaendelea kwamba wametoka Arabuni. Wangekua ni waarabu wangefanana na waarabu wengine kwanini wao wapo tofauti?
Wapalestina Wana Sura Za Kiarabu Tuna Macho Tunaona Sisi Sio Vipofu
 
Mkuu
Ukiishi ukiwa huru ukaju Mungu Hana Dini yeyote na Dini ni za watu na Mungu yeye Hana Dini Wala upande utaishi kwa uhuru sana!!

Dini ni mbinu ya wenye akili kutawala wenye Bongo finyu!

Leo Kuna wajinga wnasapoti israel na wengine Palestine kwanini. Wasijiulize maswali kwamba Mungu huyo anafuarahia damu kumwagwa!!?yaani damu ya mpalestina au muisrael ikimwagika Mungu anafuarahia yeye kama muirael au mpalestina!!?


Mimi nipo huru kuingia kabisa au msikiti wote na Tena siendi kuabudu Wala naenda kutembea na kujifunza coz naabudu Kila saa ninapojusikia ninapokua popote pale kimya kimya!!!Wala Sina jengo la maana la kuabudia Wala dini ya maana zaidi nasoma maandiko na yanayohisiwa kuwa ya Mungu na kuyaona kama kweli Yana uungu ndani yake!!!

Simple tu!!
Ukisema Mungu Hana Dini Elewa Kwanza Neno Dini Ni Nini Dini Ni Njia Ya Kumuendea Mungu Kama Huna Dini Na Hauamin Dini Yyte Ww Ni Mpagani Usilete Maneno Maneno
 
Wapalestina Wana Sura Za Kiarabu Tuna Macho Tunaona Sisi Sio Vipofu
They don't, Levant arabs Karibia wote ni Weupe sana, hawavai Kanzu, Wana vyakula tofauti, Mavazi tofauti, culture tofauti na waarabu wa Gulf,

Huyu Yaser Arafat na mke wake Suha Arafat wote ni wapalestina wa asili
images (40).jpeg


Hebu nifananishie huyo Yaser Arafat na mkewe na Royal family yoyote ya Gulf
 
Kwamba Hitler aliua Black Jews hiki ni kichekesho cha karne.
Wapi nimetaja black Jews? Hitler aliua hao hao Khazarians yaani So-called Ashkenazi Jews ambao literally ni wazungu sio semitic kama Sephards au Falahasha or whatever diaspora ipo middle east.
Siyo kukaa kila wakati mnapiga kelele 'wale walipo Israel ya leo siyo Wayahudi wale'.
Mkuu hata Bible inaeleza jinsi makabila 10 ya Israel yalipotea utumwani, hata wayahudi waliopo sasa wanajinasibisha na makabila ya Juda, Benjamin etc but makabila kama Dani sijui Zablon yalishapotea kwenye mataifa. Sasa in that scenario hao wazungu wa Ashkenazi waseme wametokana na kabila gani.
Tukiachana na hilo. Wekeni pia na ukweli wa nani ni Mmisri halisi na historia ya wenyeji halisi wa hizi nchi za Afrika ya Kaskazini;Algeria,Morocco,n.k.
Hizo North African countries zilikua na Black people sema tu mfano Tunisia ilikua assimilated na Carthageans ambao ni Lebanon ya leo. Nchi kama Algeria ilikua na influence ya nchi kama uturuki chini ya Ottoman so influx ya arabs inakua kubwa. But hakuna aliyesema originality ya Morocco ni waarabu hata Tanzania tu hapa makabila mengi yametokea South na West Africa!! Cha ajabu leo wanyamwezi watoke hapa wakadai eti Cameroon ni nchi yao!! That's what Jews are doing in Palestine
 
Wapi nimetaja black Jews? Hitler aliua hao hao Khazarians yaani So-called Ashkenazi Jews ambao literally ni wazungu sio semitic kama Sephards au Falahasha or whatever diaspora ipo middle east.

Mkuu hata Bible inaeleza jinsi makabila 10 ya Israel yalipotea utumwani, hata wayahudi waliopo sasa wanajinasibisha na makabila ya Juda, Benjamin etc but makabila kama Dani sijui Zablon yalishapotea kwenye mataifa. Sasa in that scenario hao wazungu wa Ashkenazi waseme wametokana na kabila gani.

Hizo North African countries zilikua na Black people sema tu mfano Tunisia ilikua assimilated na Carthageans ambao ni Lebanon ya leo. Nchi kama Algeria ilikua na influence ya nchi kama uturuki chini ya Ottoman so influx ya arabs inakua kubwa. But hakuna aliyesema originality ya Morocco ni waarabu hata Tanzania tu hapa makabila mengi yametokea South na West Africa!! Cha ajabu leo wanyamwezi watoke hapa wakadai eti Cameroon ni nchi yao!! That's what Jews are doing in Palestine
Bila kusahau Ashkenaz wanaclaim ujews wao kwa mama, so bibi wa bibi yake wa bibi yake akiwa ni jew basi na yeye ni jew hata kama kaolewa na. Mzungu wa kawaida na damu ya kiyahudi haipo kabisa.

Kuna test nyingi mno kuna Ashkenazi Dna yao ya kiyahudi ni Asilimia 3 tu. Just imagine mtu Dna ya 3% myahudi na asilimia kubwa mzungu anamwambia mpalestina mwenye Dna hadi 60% ya kiyahudi kwamba lile sio eneo lake.

 
Katika ukristo kuna kundi la washirikina wanao amini kwamba Issa ni Mtoto wa Mungu na wengine huamini kwamba Issa ndie MUNGU. Hao hatupo nao pamoja katika kuamini.
YESU SIO HUYO ISSAH WA WAARABU NI MUNGU KWA WAKRSTO NA NI MTOTO WA MUNGU MKUU WA KIYAHUDI YEHOVA KIROHO.
NA WAKRISTO HAWAMTAMBUI MUNGU WA KIARABU ALLAH NA ISSAH WAKE WA KIARABU NA HADITHI ZAKE ZA KUKOPI BIBLIA.
NB: WATU WANAOMUAMINI MUNGU WA KIYAHUDI YEHOVA HAWAWEZI KUA PAMOJA NA WATU WANAOMUAMINI MUNGU WA KIARABU ALLAH.
 
Wapi nimetaja black Jews? Hitler aliua hao hao Khazarians yaani So-called Ashkenazi Jews ambao literally ni wazungu sio semitic kama Sephards au Falahasha or whatever diaspora ipo middle east.

Mkuu hata Bible inaeleza jinsi makabila 10 ya Israel yalipotea utumwani, hata wayahudi waliopo sasa wanajinasibisha na makabila ya Juda, Benjamin etc but makabila kama Dani sijui Zablon yalishapotea kwenye mataifa. Sasa in that scenario hao wazungu wa Ashkenazi waseme wametokana na kabila gani.

Hizo North African countries zilikua na Black people sema tu mfano Tunisia ilikua assimilated na Carthageans ambao ni Lebanon ya leo. Nchi kama Algeria ilikua na influence ya nchi kama uturuki chini ya Ottoman so influx ya arabs inakua kubwa. But hakuna aliyesema originality ya Morocco ni waarabu hata Tanzania tu hapa makabila mengi yametokea South na West Africa!! Cha ajabu leo wanyamwezi watoke hapa wakadai eti Cameroon ni nchi yao!! That's what Jews are doing in Palestine
HAKUNA JAMII YA WAYAHUDI ILIYOPOTEA NA ITAENDELEA KUWEPO MILELE PALE MASHARIKI YA KATI.
WAARABU NA WAISLAMU WAPENDE WASIPENDE.
NA HAKUNA MKRSTO ANAYEMUABUDU MUNGU MKUU WA KIYAHUDI YEHOVA NA MWANAE YESU MTAKATIFU ATAFANYA CHUKI NA WAYAHUDI.
HII PROPAGANDA YA WAARABU NA WAISLAMU ILASHAFELI KITAMBO.
NB: TATIZO LA WAISLAMU NI CHUKI DHIDI YA UKRSTO NA UYAHUDI.NA UPEO MDOGO WA KUELEWA IMANI ZA WATU WENGINE WASIOJINASIBISHA NA UARABU
 
Jewish ni culture na dini pia not necessarily "race" fulani. Na Hitler aliua sio Jews tu aliua watu wa Poland na Russia kuliko hata alivyoua wayahudi. So it was not about their "race" bali hyo identification yao kama Jews na kutawala mifumo ya fedha pamoja na kuhujumu nchi kwenye WW1.

So whether wewe ni original or not, it didn't matter.
Jewish ni race mkuu,,,,kubali au ukatae.
Chuki za waarabu na waislamu ndio zinajaribu kudanganya kua jewish sio race.
Tatizo ni kwamba binadamu tuna akili na hatuwezi kudanganyika na adithi za kufikirika za watu wenye chuki na wayahudi mkuu.
NB: TANGU LINI MWARABU AU MUISLAMU AKAMSEMEA MYAHUDI HISTORIA YAKE.
 
Nabii Issa alipokuja (mazazi yake yalikua ni ya maajabu sana), pia yeye mwenyewe alikua ni mwenye maajabu na miujiza ya hali ya juu. Alipoondoka watu waligawika makundi matano.

1-Kundi la kwanza kabisa walidai kwamba Issa a.s ndiye MUNGU
2-Kundi la pili walidai Issa a.s ni Mtoto wa MUNGU
3-Kundi la tatu walidai kwamba Issa a.s ni Nabii na mtume wa MUNGU (Hili kundi la tatu walikua ni wachache sana) na hawa kwetu sisi ndio tunawaita 'Ahlul-kitaab' kwasababu waliendeleza kuishikilia Injili.
4-Kundi la nne ni mahayudi walioendeleza mila za Nabii Mussa a.s lakini wakamkataa Issa a.s hawa pia tunawaita ni 'Ahlul-kitaab' kwasababu waliendelea kuishikilia Taurati.
5-Kundi la 6 ni Mayahudi yaliyokufuru kabisa ambayo yalipiga vita makundi hayo manne ya juu, walichinja na kuuwa Manabii na kuwakataa hadharani na ndio hawa waliolaaniwa kwa Kauli ya Dawd na Kauli ya Nabii Issa, na hapo ndipo ufalme wa kiungu ukaondolewa kwao na kupelekwa arabuni.
MKUU KWENYE UKRSTO NA UYAHUDI HAKUNA ISSA MWARABU NA HII HISTORIA YA KIARABU ULIYOKARIRI KAANDIKA MUHAMMAD AMBAE NI WAKALA WA MUNGU WA KIARABU WA WAISLAMU ALLAH.
MUNGU WA WAKRSTO NA WAYAHUDI NI MUNGU WA KIYAHUDI YEHOVA MKUU NA ANA ROHO KUU TATU IKIWEMO ROHO YA YESU MKUU MWANA WA MUNGU.
NB: TATIZO WAISLAMU ELIMU YENU INA UKOMO WA FIKARA NA HAMJUI MUNGU WENU SIO MUNGU WETU SISI NA WAYAHUDI.
NA TORATI YETU NA BIBLIA NYINYI HAIWAHUSU SABABU SIO WAFUASI WA MUNGU WA KIYAHUDI YEHOVA.
 
We naye zero tu, hivi unajua Yakobo alikua na wake 4? Na wawili walikua ni watumwa kutoka huko Syria yaani waarab hivi..... na hata wake zake walitokea Mesopotamia ambayo ni almost Iraq ya leo!! So hakuna myahudi mwenye mama "pure" myahudi!! In fact hilo kabila la Dani walikua pure black based on the Bible.
Wewe hizo habari za yakobo na wake wanne umezitoa wapi????
Ulimuona huyo yakobo???
 
Huu uadui nyinyi ndio mnauchochea huku mitandaoni. Maisha yangu nimeishi sehemu mbalimbali hapa Tanzania huko mitaani sikuwahi kuona chuki aina yoyote. Watu wa imani tofaouti wanaishi kama jamii moja wakishirikiana katika shida na raha sijawahi kuona wakisema waislam wakae upande huu na wakristo upande huu.
Inawezekana kuna ajenda ya kutaka watanzania wabaguane kwa imani zao.
 
Back
Top Bottom