Palestine na mifano ya chuki za kidini

Palestine na mifano ya chuki za kidini

Ahsante sana

Nilipoanza mwanzoni kabisa kuandika haya niliweka huu mstari ''Ukizungumza jambo kama Muislamu, asiyemuislamu anakuweka daraja gani katika kukusikiliza? Je! anakusikiliza kwakua anaamini unaweza mpa kitu ambacho anaweza faidika nacho? au anakusikiliza tu ili umalize kuzungumza yeye anamawazo yake kuhusu hayo unayozungumza.!!?

Kumbukumbu za Bwana Hempher: Ushahidi wa jasusi wa Uingereza ambaye alibadili dini na kua muislamu kwa lengo hilo ambalo nimelieleza hapo, na yeye mwenyewe alikuja akaweka wazi maswala hayo. Vipi wewe uje useme ni propaganda ilihali nimekuwekea ushahidi wa kutosha hapo. Jitahidi upitie nyaraka za ''Mr. Humphrey's memoirs''

Je hao unaowasema ni uzao fulani na uzao fulani, mbona hawahangaiki kuwashirikisha Jews wenzao walio Afrika? Kwanini wanaua Jews wenzao walio Palestine? Kwanini wanauwa Wakristo walio Palestine?

Nakushauri kupata maarifa sahihi, kuyachunguza na kutafakari

Unaonyesha jinsi gani uislam ni dini dhaifi na iliyo na desperate ya converters,poleni sana historia nayo huweza kugeuzwa kwa mlengo fulani na maslahi fulani kama ulivyoandika katika andiko lako,umechanganya uongo na ukweli ili kupotosha.

Hii vita mpalestina ameshindwa kaeni chini muone njia bora ya hao wapalestina kuishi na waisrael laa waondoke hapo mana kila siku mtabaki kulialia tu na hakuna kitu mtafanya.
 
Katika ukristo kuna kundi la washirikina wanao amini kwamba Issa ni Mtoto wa Mungu na wengine huamini kwamba Issa ndie MUNGU. Hao hatupo nao pamoja katika kuamini.

Shetani mjanja sana anatumia uislamu vilivyo kupinga na kukataa uungu wa kristo,eti aitwe nabii isa,hovyo kabisa halafu ninyi waislam wakeristo wakimuita Yesu ni mwana wa Mungu ninyi kinacho wauma ni nini hasa wakati mnasema wasi ninyi mna mungu wenu.
 
Sio ukweli mkuu, kasome kitabu kinaitwa the 13th tribe tena kaandika myahudi kweli. In fact hao serphadic au Falasha Jews ni "more jewish" kuliko hao Ashkenazi ambao ni literally wazungu. Hivi middle east kuna wazungu? Original Jews ni Semites or Hamites not Caucasians. Kasome Bible Ashkenazi wametokana na Japhet while Abraham na Yakobo wametokana na Shem!!

So both religious and historically hao Ashkenazi Jews ni FEKI.

Wawe feki wawe orginar chamsingi wanaangamiza magaidi ya kidini,halafu zile aya zilizokuwa sinasema mayahadi hayana radhi mpaka mfuate tamaduni zao ilikua inazungumzia mayahudi wapi?

Hoja zimekosa sasa mnaanza kutafuta uongo mwingine muueneze,hao wayahudi wa ethiopia mnawapenda?au ndio unafiki,mana hata hao wapo katika mapambano na uislamu kila siku.
 
We naye zero tu, hivi unajua Yakobo alikua na wake 4? Na wawili walikua ni watumwa kutoka huko Syria yaani waarab hivi..... na hata wake zake walitokea Mesopotamia ambayo ni almost Iraq ya leo!! So hakuna myahudi mwenye mama "pure" myahudi!! In fact hilo kabila la Dani walikua pure black based on the Bible.

Yakobo alikua na wake wawili Leah na Rahel,ila alizaa na wajakazi wa hao wake zake yani jumla alizaa na wanawake wa4,acha upotoshaji.
 
Jewish ni culture na dini pia not necessarily "race" fulani. Na Hitler aliua sio Jews tu aliua watu wa Poland na Russia kuliko hata alivyoua wayahudi. So it was not about their "race" bali hyo identification yao kama Jews na kutawala mifumo ya fedha pamoja na kuhujumu nchi kwenye WW1.

So whether wewe ni original or not, it didn't matter.

Sasa mbona katika hili mnatafuta wayahudi og na feki kama uyahudi ni cultule na dini?acheni unafiki na kutafuta chaka kwa wayahudi wa ethiopia.
 
Nabii Issa alipokuja (mazazi yake yalikua ni ya maajabu sana), pia yeye mwenyewe alikua ni mwenye maajabu na miujiza ya hali ya juu. Alipoondoka watu waligawika makundi matano.

1-Kundi la kwanza kabisa walidai kwamba Issa a.s ndiye MUNGU
2-Kundi la pili walidai Issa a.s ni Mtoto wa MUNGU
3-Kundi la tatu walidai kwamba Issa a.s ni Nabii na mtume wa MUNGU (Hili kundi la tatu walikua ni wachache sana) na hawa kwetu sisi ndio tunawaita 'Ahlul-kitaab' kwasababu waliendeleza kuishikilia Injili.
4-Kundi la nne ni mahayudi walioendeleza mila za Nabii Mussa a.s lakini wakamkataa Issa a.s hawa pia tunawaita ni 'Ahlul-kitaab' kwasababu waliendelea kuishikilia Taurati.
5-Kundi la 6 ni Mayahudi yaliyokufuru kabisa ambayo yalipiga vita makundi hayo manne ya juu, walichinja na kuuwa Manabii na kuwakataa hadharani na ndio hawa waliolaaniwa kwa Kauli ya Dawd na Kauli ya Nabii Issa, na hapo ndipo ufalme wa kiungu ukaondolewa kwao na kupelekwa arabuni.

[emoji28][emoji28][emoji28],huo ufalme uliondolewa lini na kwanamna gani?daah hivi ni vituko asee kumbe ndio mnavyofundishwa huko misikitini no wonder mko hivyo.
 
Wawe feki wawe orginar chamsingi wanaangamiza magaidi ya kidini,halafu zile aya zilizokuwa sinasema mayahadi hayana radhi mpaka mfuate tamaduni zao ilikua inazungumzia mayahudi wapi?

Hoja zimekosa sasa mnaanza kutafuta uongo mwingine muueneze,hao wayahudi wa ethiopia mnawapenda?au ndio unafiki,mana hata hao wapo katika mapambano na uislamu kila siku.
Punguza jazba mimi ni mkristo pia sijui kwanini unani address kama vile ni Muislam

Sio kila mkristo ni fuata upepo tu, tuna reason kupitia maandiko sio mihemko
 
Sasa mbona katika hili mnatafuta wayahudi og na feki kama uyahudi ni cultule na dini?acheni unafiki na kutafuta chaka kwa wayahudi wa ethiopia.
Tunaweka facts straight kuwa Ashkenazi sio real Jews, kwani umeona wapi nimepinga Sephards?
 
Huu uadui nyinyi ndio mnauchochea huku mitandaoni. Maisha yangu nimeishi sehemu mbalimbali hapa Tanzania huko mitaani sikuwahi kuona chuki aina yoyote. Watu wa imani tofaouti wanaishi kama jamii moja wakishirikiana katika shida na raha sijawahi kuona wakisema waislam wakae upande huu na wakristo upande huu.
Inawezekana kuna ajenda ya kutaka watanzania wabaguane kwa imani zao.

Kazi inayofanywa na akina shehe ponda na mzee saidi wengi hawaelewi lengo lake hao wanakazi maalumu ya kuleta utengano na chuki za kidini na kusimamiaha sheria za kiislam hapa nchini,sio wa kuwachekea watu wa aina hii.
 
Wapi nimetaja black Jews? Hitler aliua hao hao Khazarians yaani So-called Ashkenazi Jews ambao literally ni wazungu sio semitic kama Sephards au Falahasha or whatever diaspora ipo middle east.

Mkuu hata Bible inaeleza jinsi makabila 10 ya Israel yalipotea utumwani, hata wayahudi waliopo sasa wanajinasibisha na makabila ya Juda, Benjamin etc but makabila kama Dani sijui Zablon yalishapotea kwenye mataifa. Sasa in that scenario hao wazungu wa Ashkenazi waseme wametokana na kabila gani.

Hizo North African countries zilikua na Black people sema tu mfano Tunisia ilikua assimilated na Carthageans ambao ni Lebanon ya leo. Nchi kama Algeria ilikua na influence ya nchi kama uturuki chini ya Ottoman so influx ya arabs inakua kubwa. But hakuna aliyesema originality ya Morocco ni waarabu hata Tanzania tu hapa makabila mengi yametokea South na West Africa!! Cha ajabu leo wanyamwezi watoke hapa wakadai eti Cameroon ni nchi yao!! That's what Jews are doing in Palestine
Hebu twende taratibu, Hapo Israel/Palestine hakuna mafuta, hakuna dhahabu, hakuna almasi, hakuna natural wildlife, hakuna lolote la maana, ni kitu gani kiwavutie hao Jews hapo wakati huku bara jeusi lililojaa raslimali wana uwezo wa kuuziwa Ardhi kwa bei chee wangefanya kuwa nchi yao kwenye Neema tele?
 
Hao unaowaita wayahudi original "Falasha" walioko Ethiopia walifika Ethiopia mwaka gani na walifikaje??
 
Sio ukweli mkuu, kasome kitabu kinaitwa the 13th tribe tena kaandika myahudi kweli. In fact hao serphadic au Falasha Jews ni "more jewish" kuliko hao Ashkenazi ambao ni literally wazungu. Hivi middle east kuna wazungu? Original Jews ni Semites or Hamites not Caucasians. Kasome Bible Ashkenazi wametokana na Japhet while Abraham na Yakobo wametokana na Shem!!

So both religious and historically hao Ashkenazi Jews ni FEKI.
Hao Falasha Jews walifika Ethiopia mwaka gani, walifikaje na kwa nini walienda Ethiopia na sio Ulaya?
 
Israel atapigana mpaka abomoe ule msikiti ambao tunaamini ndipo lilipokuwa hekalu la Suleman, pia tunaamini kuwa lile sanduku la Agano la Mungu limefukiwa mle.
 
Israel atapigana mpaka abomoe ule msikiti ambao tunaamini ndipo lilipokuwa hekalu la Suleman, pia tunaamini kuwa lile sanduku la Agano la Mungu limefukiwa mle.
Kwahiyo Mungu anafurahishwa na kinachoendelea?

Hilo sanduku linamsaidia nini Mungu?

Na kama hilo sanduku ni kitu cha maana sana Mungu hawezi kuwapa sanduku lingine?

Hapa ndio kina Kiranga and co, wanakuwa na nguvu za hoja.
 
Back
Top Bottom