Umeona wagonjwa wanatolewa hospitalini kwenye vitanda kama Gaza tu apana mungu mkubwa.Aisee, ni vizuri kujifariji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona wagonjwa wanatolewa hospitalini kwenye vitanda kama Gaza tu apana mungu mkubwa.Aisee, ni vizuri kujifariji
No money in emergency department_ Donald trumpI don't buy it...
Mnajifariji kijinga tu, USA wako mbele mzee we fatilia tu jinsi wanadeal na hiyo ishu yao.
Wala hawasaidiwi ni wao na serikali yao, na hapohapo huku ndichi bado misaada itaendelea kuja tu pamoja na hilo janga lao.
Aloo wale watu wamejidhatiti
Ndo maana alikua analia😂😂![]()
James Woods urged to rethink Israel support after LA fire loss
The Hollywood actor and producer has been a vocal backer of Israel’s brutal military attack on Gaza.www.newarab.com
Sisi bado tunaendelea kufurahia baada nyumba ya bwana james woods kuungua na huku hana insurance
Tafuteni njia muwaumize na ninyi sio kutegemea majanga, hapo likiisha hili janga mnaanza tena kuomba mungu aingilie kati vita ya Gaza.Umeona wagonjwa wanatolewa hospitalini kwenye vitanda kama Gaza tu apana mungu mkubwa.
Watu kweli akili ndogo sana hasa unapoacha itawaliwe na imani za kidini. Na lile tetemeko la Bukoba pia ilikuwa ni adhabu au yale yanayotokea kule Iran 👇👇
List of earthquakes in Iran - Wikipedia
![]()
List of earthquakes in Iran - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Huyo jamaa anatoa machozi ya chura tu Hana wasiwasi unafikiri anaishi kimakengeza kutegemea kudra za Mola. Ameweka BIMA kila kitu kitalipwa na maisha with no time yanarudi.
Tafuteni njia muwaumize na ninyi sio kutegemea majanga, hapo likiisha hili janga mnaanza tena kuomba mungu aingilie kati vita ya Gaza
Sasa mzee hiyo karma inawapata hata wasiohusika, maana hilo janga linawatandika raia wasio na maamuzi yoyote, pia kuna wageni wasio wamarekani.Karma is real mzee hata kama hautarelate na ghaza but me naamini kinachowakuta ni karma ya kile walichokifanya, loss watakayoipata itaexceed zaidi ya mara tano ya ile hasara ya ghaza.
Waislamu akili zenu ni kama mende mbona lilitokea tetemeko pale uturuki likaua watu zaidi ya 2000 na maelfu ya mali ziliharibika hamkusema wanapewa adhabu na mungu pale Saudia watu walikanyagana pale kwenye kile kijumba wakafa watu maelfu nako walipewa adhabu na Nani?
Israel ni taifa la shetani tuu na huyu america ndo shetani mwenyewe hakuna jema wanalofanya likampendeza mungu halipoo
Ambayo inakupa faraja kwa kuwa wote mnabaki maskini? Sivyo?![]()
James Woods urged to rethink Israel support after LA fire loss
The Hollywood actor and producer has been a vocal backer of Israel’s brutal military attack on Gaza.www.newarab.com
Sisi bado tunaendelea kufurahia baada nyumba ya bwana james woods kuungua na huku hana insurance
Mungu ametenda haki ndio furaha yetu,Ambayo inakupa faraja kwa kuwa wote mnabaki maskini? Sivyo?
Oooooh.....ha ha ha.... Poleni sana. Hapo mnatakiwa mpewe poleMungu ametenda haki ndio furaha yetu,
Hao jamaa ni kuwaonea huruma tu.Waislamu akili zenu ni kama mende mbona lilitokea tetemeko pale uturuki likaua watu zaidi ya 2000 na maelfu ya mali ziliharibika hamkusema wanapewa adhabu na mungu pale Saudia watu walikanyagana pale kwenye kile kijumba wakafa watu maelfu nako walipewa adhabu na Nani?
Raia wamerekani wako na solidarity na raia wa gaza nyie wenyewe mliona ila hata wafanye nini dini yenu imesema msiwe na urafiki nao , no wonder Mwalimu Nyerere alikua miongoni mwa watu wa mwanzo kabisa kuitambua mamlaka ya palestine ubalozi wao ulikuwepo hapa na aliwakaa kabisa Israel aliwagomea hata kuleta baloz hapa wala yeye kupeleka balozi kwao alisimama na watu wa palestina lakin kwa vita ya gera PLO chin ya Arafat wakapigana upande wa Nduli Amin maana ni ndugu yao na kocha nyerere ni kafri na hafai kua rafiki,Tatizo mlisema ukiibariki Israeli basi nawe utabarikiwa sasa tuna shangaa kinacho ikuta marekani leo
Unaacha kuwaonea huruma watu waliokuwa wakichanga hela ili watu wauliwe leo wanalia ovyo kwenye tv na kupelekewa misaada ya nguo na chakula unawaonea huruma waislamu?Hao jamaa ni kuwaonea huruma tu.
Duh, hatari hii.Bado shehe