Palestine vs California

Palestine vs California

Kama ni hivyo basi mungu wenu ni mjinga yaani aache kumpla adhabu mtendaji arukie kwa mwingine!! Kama kichapo alistahili kupewa Israel. Naamini mnaunganisha dots ili tu kujipa maneno ya faraja baada ya Hamas kupata kipigo cha kufa mtu hivyo mnatafuta Sympathy kwa nguvu zote hata hivyo haisaidii chochote Hamas na magaidi wengine wanaendelea mpaka sasa hivi kupata kipigo cha mbwa koko tu
Mungu wako unaemuomba ww atakuwa zwazwa kama ww ulivo zwazwa ivi unazani kizazi chasasa bado kipo kuamini kulikuwa na vita ya siku 6 kati ya Israel na WAARABU watabaki kuamini nizwazwa kama nyie vita ya Israel jina tu Israel kwasasa watu waneshajua wanaopigana ni marekani na washilika wake silaha zote zinatoka marekani zikiwemo ndege air defence kutoka marekani waongoza vita ni magenerali kutoka marekani pesa kutoka marekani sasa apo anaepigana ni Israel!!!! Mungu Fundi mungu akosei waisrael wanalala kwenye mashimo kama panya na bado wamekufa wangi lkn wanaficha na iyo vita awatoshinda Palestina itapepea flag yake ktk ardhi yote. We endelea kununua udongo.
 
Mwenye macho na aone, Mwenye masikio na asikie.
Huyo ndio Mwenyezi Mungu hachelewi wala hawahi. Bado hapo Tel Aviv. Ipo siku yao inakuja
Kwa wenye akili wala hawana wasiwasi na hao mazayuni waliolaaniwa siku yao ni moja na inakuja hakilutakuwa na paka yoyote wa kusumbua pale, tatizo siku hizi waislamu hakuna sio wachamungu (waliopo wachache na hawapo frontline wanajificha) thats why tunatawal8wa kila kona.
 
Shida humjui huyo Mungu tunaye muongelea. Ameshasema mwenyewe kwamba hizi adhabu ni kuwaonjesha tu.

Kingine, Mungu hapangiwi Cha kufanya japokuwa uwezo wa kuiteketeza hiyo miji ni chini ya sekunde.
Anhaa labda kweli ni mungu wenu ila Mungu wangu hana pigo za kiwaki namna hiyo.
Kwahiyo mkuu, mungu wako mnakutana mnapiga soga na akawaambia kua ataipiga kiberiti US??
 
Kwa wenye akili wala hawana wasiwasi na hao mazayuni waliolaaniwa siku yao ni moja na inakuja hakilutakuwa na paka yoyote wa kusumbua pale, tatizo siku hizi waislamu hakuna sio wachamungu (waliopo wachache na hawapo frontline wanajificha) thats why tunatawal8wa kila kona.
Uislamu ni dini ya mchongo
 
Israel ni taifa la shetani tuu na huyu america ndo shetani mwenyewe hakuna jema wanalofanya likampendeza mungu halipoo
Manabii wote wa MUNGU wametoka Israel,

Muhammad tapeli na kina mwamposa ndio wametoka nje ya Israel
 
Raia wamerekani wako na solidarity na raia wa gaza nyie wenyewe mliona ila hata wafanye nini dini yenu imesema msiwe na urafiki nao , no wonder Mwalimu Nyerere alikua miongoni mwa watu wa mwanzo kabisa kuitambua mamlaka ya palestine ubalozi wao ulikuwepo hapa na aliwakaa kabisa Israel aliwagomea hata kuleta baloz hapa wala yeye kupeleka balozi kwao alisimama na watu wa palestina lakin kwa vita ya gera PLO chin ya Arafat wakapigana upande wa Nduli Amin maana ni ndugu yao na kocha nyerere ni kafri na hafai kua rafiki,
Kuna nchi nyingi mno za ulaya zimewakataa israel na matendo yao kuliko nchi za kiarabu , lakin hao watasha wakipata majanga mapimbi yanafurahia kwakua sio ndugu katika imani , huu ni u bomboclot of worst kind
Umeandika upimbi wewe kwani hujui asilimia 10% ya wapalestina ni wakristu kwani nao wametengwa na wenzao?
 
Na bado ndo kwanza wamecontain moto kwa asilimia 13 tu, na weather forecasting inasema kutakua na upepo utakaochochea zaidi moto kusambaa
Wewe huna akili
 
Mungu wako unaemuomba ww atakuwa zwazwa kama ww ulivo zwazwa ivi unazani kizazi chasasa bado kipo kuamini kulikuwa na vita ya siku 6 kati ya Israel na WAARABU watabaki kuamini nizwazwa kama nyie vita ya Israel jina tu Israel kwasasa watu waneshajua wanaopigana ni marekani na washilika wake silaha zote zinatoka marekani zikiwemo ndege air defence kutoka marekani waongoza vita ni magenerali kutoka marekani pesa kutoka marekani sasa apo anaepigana ni Israel!!!! Mungu Fundi mungu akosei waisrael wanalala kwenye mashimo kama panya na bado wamekufa wangi lkn wanaficha na iyo vita awatoshinda Palestina itapepea flag yake ktk ardhi yote. We endelea kununua udongo.
Ujinga wako hauwezi kubadirisha Historia na Historia ikiandikwa imeandikwa wajinga tu kama wewe ndiyo mtashupaza shingo lakini ukweli utabaki palepale. Magaidi wenzako wa Hamas wanatoa wapi silaha? Mafunzo wanapata wapi? Hata hao Magaidi wa Hezbollah Bwana wao anajulikana ni Iran ndiye mfadhili wa ugaidi wa Hamas,Hezbollah na Houthi. Israel imeweza kwa nguvu zote kuwahenyesha Hamas,Hezbollah na Houthi pamoja na Bwana wao Iran. Ni ujinga na Upumbavu mkishindwa vita mnasingizia Marekani huo ni U-Mama. Narudia tena kusema huo ni U-Mama!!
 
Mimi kuna kitu sijakielewa au labda nina uelewa mdogo!9

Moto uwake California sijui USA anayetembeza kichapo Mzayuni na yupo Mashariki ya Kati huko sasa unatoa wapi guts za kuamini moto huu umetokana na adhabu ya yanayoendelea huko Gaza?
Wajinga na wapumbavu wanajifariji baada ya kokosa pa kushika basi wakaona watumie hilo janga ili kuonyesha chuki zao juu ya Marekani lakini hasa hasa chuki zao zinasukumwa na mihemko ya kidini. Israel inapowapiga waarabu kutokana na ugaidi walioufanya Oct 07,2023 huko Israel ambao kwa akili zao ndogo wanajua ni waislamu wenzao na Marekani inapowasaidia Hawa sasa Waarabu-Koko wanachukia waislamu wenzao kupigwa ndipo sasa wanajitoa ufahamu na kuanza kuunganisha majanga na adhabu ya mungu wao Allah.
 
Wewe na ukoo wako ndiyo mmelaaniwa!! Israel Wame Ari kiwa sana na Mungu wewe hapo ulipo unatumia ubunifu wao,Simu,Internet,Computer yako,YouTube,Facebook na mitandao mingine yote kuna mkono wa Muyahudi. Ni wewe tu na familia yako ndiyo mliolaaniwa kutwa kuchwa unalalamika tu!!!
 
Wewe na ukoo wako ndiyo mmelaaniwa!! Israel Wame Ari kiwa sana na Mungu wewe hapo ulipo unatumia ubunifu wao,Simu,Internet,Computer yako,YouTube,Facebook na mitandao mingine yote kuna mkono wa Muyahudi. Ni wewe tu na familia yako ndiyo mliolaaniwa kutwa kuchwa unalalamika tu!!!
Israel kabarikiwa sawa ila aliyewabariki israel na mungu wao ni mmarekani,
 
Leo ndio nimejua kuna watu wanatumia makota kufikiria.
 
Back
Top Bottom