Kobe la Makobe
Senior Member
- Feb 3, 2024
- 127
- 142
Anatosha kwenye familia yako sisi tuko na LemaPalangyo anatosha saaana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatosha kwenye familia yako sisi tuko na LemaPalangyo anatosha saaana
Amezaliwq hapa mjini Dar ,tofauti na huyu jamaa alihamia Arusha akiwa mtu mzima kabisaAcha siasa za kitoto, Gwajima ni mwenyeji wa Dar?
Hata mimi niko nae ila kama atarnde kugombea machame ili tuone ushindani wa Lema dhidi ya binamu yakeAnatosha kwenye familia yako sisi tuko na Lema
Lema hana ubavu wa kumshinda Mrisho Mashaka Gambo kivyovyote vile. Tuache kiongozi wa maendeleo tutafute kipngozi wa maandamano, haiwezekani!Kumbe Mmesha gundua Lema aki chukua fomu hahitaji hata kampeni!!
Anzeni kutafutia Gambo kazi ya kufanya
Na anavyo penda umbea kazi ita kayo mfaa ni kuuza vigodoro..
Kwani kuna mtu amekatazwa kutangaza nia?Chadema wanatenda kinyume na wanachohubiri. Kuna haja gani ya kumsimamisha mtu mmoja kugombea ubunge miaka 20 kwa Chama kinachojiita cha demokrasia? Kwanini wasitoe nafasi kwa vijana wanaochipukia na kujitoa kwenye chama?
Palangyo wananpango wa kumfuta uanachama aisee kwa kitendo chake tu cha kutaka kushindana na binamu yake mboweKwani kuna mtu amekatazwa kutangaza nia?
Amandla...
Hapa Dar ni New York Nini? Yaani ni kipi Cha ajabu zaidi ya hizi chemba za choo zinazotoririsha vinyesi?Unatakq kufananisha Arusha na Dar?
Yaani weee kada wa ccm ndo wa kuipangia chadema mgombea???? Mpuuzi mmoja wwWananchi wa Arusha bado tunakumbuka miaka ya mateso wakati wa ubunge wa binamu yake Mzee Mbowe. Hatutaki kurudia yale mateso ambayo ni pamoja na fujo za mara kwa mara hadi mkoa ukakosa wageni waliokuwa wanatumia mkoa wa Arusha kama kitivo cha mikutano.
Kwa hiyo, tunawaombeni chonde chonde Pallangyo ndio awe mgombea wa CHADEMA kutokana na yafuatayo;
1. Wazazi wa Pallangyo ni wenyeji wa Arusha sio wahamiaji, hivyo watakuwa na uchungu wa maendeleo ya Mkoa
2. Binamu yake mzee Mbowe alishatamka wazi wazi kuwa ubunge kwake sio dili.
Umeona cdm wamegoma kwenda dodoma ,unafikiri ni kwa ajili gani?Hapa Dar ni New York Nini? Yaani ni kipi Cha ajabu zaidi ya hizi chemba za choo zinazotoririsha vinyesi?
Nyie misukele ya mzee mbowe bana,hamtaki mapendekezo ya msingi toka kwa wanachama wanaojitambuaYaani weee kada wa ccm ndo wa kuipangia chadema mgombea???? Mpuuzi mmoja ww
Nikuulize ww mwenye siasa za kitoto. Au unadhani Kila mtu lazima aende Dodoma?Umeona cdm wamegoma kwenda dodoma ,unafikiri ni kwa ajili gani?
Tunataka wewe uwe mbungeWananchi wa Arusha bado tunakumbuka miaka ya mateso wakati wa ubunge wa binamu yake Mzee Mbowe. Hatutaki kurudia yale mateso ambayo ni pamoja na fujo za mara kwa mara hadi mkoa ukakosa wageni waliokuwa wanatumia mkoa wa Arusha kama kitivo cha mikutano.
Kwa hiyo, tunawaombeni chonde chonde Pallangyo ndio awe mgombea wa CHADEMA kutokana na yafuatayo;
1. Wazazi wa Pallangyo ni wenyeji wa Arusha sio wahamiaji, hivyo watakuwa na uchungu wa maendeleo ya Mkoa
2. Binamu yake mzee Mbowe alishatamka wazi wazi kuwa ubunge kwake sio dili.
Huenda mimi sihitaji kuwa mbunge kwa maana ninayo ajira inayonitosheleza mkuu hata kama mapato yangu ni kidogo ukilinganisha na mapato ya MbungeTunataka wewe uwe mbunge
Kwa chadema si lazima hawa hata kule machame tu kunawatoshaNikuulize ww mwenye siasa za kitoto. Au unadhani Kila mtu lazima aende Dodoma?
Na asipofutwa?Palangyo wananpango wa kumfuta uanachama aisee kwa kitendo chake tu cha kutaka kushindana na binamu yake mbowe
Arusha hqitakaa irudi kwa nyumbu. Ni bora Samia akose urais kuliko hilo litokee maana itakuwa uzembe wa Samia. Ule ushamba na ushetani wa Lema hatuutaki tena. Lile jitu haliwezi staarabika km binadamu halafu lina pepoWananchi wa Arusha bado tunakumbuka miaka ya mateso wakati wa ubunge wa binamu yake Mzee Mbowe. Hatutaki kurudia yale mateso ambayo ni pamoja na fujo za mara kwa mara hadi mkoa ukakosa wageni waliokuwa wanatumia mkoa wa Arusha kama kitivo cha mikutano.
Kwa hiyo, tunawaombeni chonde chonde Pallangyo ndio awe mgombea wa CHADEMA kutokana na yafuatayo;
1. Wazazi wa Pallangyo ni wenyeji wa Arusha sio wahamiaji, hivyo watakuwa na uchungu wa maendeleo ya Mkoa
2. Binamu yake mzee Mbowe alishatamka wazi wazi kuwa ubunge kwake sio dili.
Anatosha kwako yule mwehu.Lema anatosha
Kama anavuta bhangi si mumkamate? Au bhangi siyo kosa kwenye sheria zetu? Acha cheap politics kijanaAnatosha kwako yule mwehu.
YUle mwehu hafanani na Arusha, mvuta bangi mwenye mapepo
Acha nichekee [emoji23][emoji1787][emoji1787] Toka lini mmeru akawa mbunge wa Arusha mjiniWananchi wa Arusha bado tunakumbuka miaka ya mateso wakati wa ubunge wa binamu yake Mzee Mbowe. Hatutaki kurudia yale mateso ambayo ni pamoja na fujo za mara kwa mara hadi mkoa ukakosa wageni waliokuwa wanatumia mkoa wa Arusha kama kitivo cha mikutano.
Kwa hiyo, tunawaombeni chonde chonde Pallangyo ndio awe mgombea wa CHADEMA kutokana na yafuatayo;
1. Wazazi wa Pallangyo ni wenyeji wa Arusha sio wahamiaji, hivyo watakuwa na uchungu wa maendeleo ya Mkoa
2. Binamu yake mzee Mbowe alishatamka wazi wazi kuwa ubunge kwake sio dili.
Na pepo lake ni hatari saana linaombea watu mabaya hadi kifo aiseeArusha hqitakaa irudi kwa nyumbu. Ni bora Samia akose urais kuliko hilo litokee maana itakuwa uzembe wa Samia. Ule ushamba na ushetani wa Lema hatuutaki tena. Lile jitu haliwezi staarabika km binadamu halafu lina pepo