Pambano: Deontay Wilder Vs Tyson Fury-II. Tukutane hapa kwa updates

Aaah kumbe wilder kama arsenal tu

Saizi simbetii hata akipambana na steve nyerere

It's Scars
 

Mahasimu hawampi ushindi mtu mmoja
 
Tyson Fury alishaahidi kunywa damu ya Wilder kabla ya pambano, akimaanisha lazima amharibu na ailambe damu ya jamaa.

Msikilize mtangazaji muda ule tukio linatokea alitangaza hii kitu.
I want to taste his blood.
Wilder alikuwa anauharibu mchezo wa boxing.
Yaan mwendo wake ni jab jab af kono lake la kulia.
He cant do even upper cut.
Hongerza zake sana Furry kwa kurudisha heshima ya Boxing
 
Cooper alipigwa na Muhammad Ali tena kwenye ardhi ya Uk.
Hapo ilikuwa ni Wimbley.
Rahman akaja kumtandika Lewis. Kichapo chake kilishtua ulimwengu wa masumbwi
Kwenye boxing ni skills tuu.
Hakuna cha muingereza wala mmarekani
Hao ni mashabiki wa boxing kwa misimu... Hutokea Floyd akipigana au AJ akipigana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama wakirudiana Wilder atafia Uwanjani.


Wilder sio Bondia mzuri hata kidogo .... Na tumekuwa tukisema humu akikutana na Ring Dancer mzuri lazima akae. Naona Leo umeona kilichomkuta.




Sent using Jamii Forums mobile app
Utakuwa hujui mchezo wa boxing wewe.
Ebu angalia BoxRec ya Deontay Wilder.
Pili boxing ni kama mchezo wowote mwingine - kushinda, kushindwa, au draw.
Kurudiana (rematch) ni issue nyingine; mfano, angalia Lennox Lewis alichomfanyia Hasim Rahman baada ya kufanya rematch.
Angalia mpambano wa rematch kati ya Evander Holifield na Riddick Bowe. Bowe kumtandika Evander ktk mechi ya kwanza, haikuwa guarantee kuwa atafanya hivyo tena ktk mechi ya marudiano. Bowe aliambulia kichapo cha nguvu.
Na Muhammad Ali vs Joe Frazier ktk rematch, Joe aliambulia kichapo japo mwanzo alishinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…