Pambano: Deontay Wilder Vs Tyson Fury-II. Tukutane hapa kwa updates

Pambano: Deontay Wilder Vs Tyson Fury-II. Tukutane hapa kwa updates

Wilder pamoja na kupigwa bado kabebwa saaana asingefika round ya saba naona refa mweusi mwenzie kamlindalinda lakini bado kachezea kichapo. Alipambwa sana na mashabiki wa ngumi lakini hamna kitu yaani mbovu kama mwakinyo tuuu. Tyson wamempotezea muda tu kupigana na bondia mbovu hivi.
 
Die hard wilder fans tupo hapa mkuu

Furry new WBA champions, he deserve, leo alikua more energy, very sharp, mood

Mbabe leo kapigwa, fury bondia bora kabisa kwa kizazi cha sasa, nilimchukulia poa huyu mwamba

Ile mikanda kuwa mbali na wilder ni kitu ambacho kitamuuma sana, nature ya wilder ni always winning, natarajia rematch soon ili fury atudhihirishie kweli anastahili kuendelea kukaa na ile mikanda

Cha mwisho, wilder alijiamini sana dhidi ya fury, mpaka alishaandaa night after party baada ya pambano, kipigo cha leo kitamshtua sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mwisho wake mikanda hawezi ipata tena.
 
Pambano la mwanzo Fury alilamba sakafu mara mbili sijui tatu lakin bado alitoa droo,leo kushinda mnashangaa kweli?? Wilder sio bondia mzur mnasema ila jamaa ni mnyama haswa,ni muuaji kabsa sema leo kapatiwa tyming kakalishwa. Kupigwa kwake leo sio kigezo cha sio bondia mzuri mtakua mnajilisha upepo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka kipindi kile ilikuwa Tyson Fury alikuwa anatoka kwenye uteja madawa ya kulevya na bado alikuwa Teja. Alikuwa na muda mrefu hajafanya mazoezi intensively lakini Wilder hakuweza kutumia advantage ile na kumtandika Fury.

Na Fury alimwambia Wilder Kama hujafanikiwa Leo kushinda but don't expect to win tomorrow coz jamaa alikuwa yuko hoi na uteja wa madawa now Fury ana full recovery Wilder ameona uimara wa Tyson.

Imeisha hiyooo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ile imekaaje mkuu,sio uchawi ule na Fury alitakiwa apigwe TKO yeye kweli??

Haina uchawi, ile ni style ya kumtambia jamaa kwamba damu yake ni tamu. Ni kama trash acts.

Hapo kila Wilder akiongea atakuwa anapigwa hilo dongo, na nina uhakika tutaona memes kwenye mitandao.
 
Mwishoni mwishoni baada ya game kuisha Fury alipokuwa anahojiwa alinifurahisha kwa Tambo yake ya kibabe kwamba 'The new king is on top of the world'
 
Hahaha
Wilder pamoja na kupigwa bado kabebwa saaana asingefika round ya saba naona refa mweusi mwenzie kamlindalinda lakini bado kachezea kichapo. Alipambwa sana na mashabiki wa ngumi lakini hamna kitu yaani mbovu kama mwakinyo tuuu. Tyson wamempotezea muda tu kupigana na bondia mbovu hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Die hard wilder fans tupo hapa mkuu

Furry new WBA champions, he deserve, leo alikua more energy, very sharp, mood

Mbabe leo kapigwa, fury bondia bora kabisa kwa kizazi cha sasa, nilimchukulia poa huyu mwamba

Ile mikanda kuwa mbali na wilder ni kitu ambacho kitamuuma sana, nature ya wilder ni always winning, natarajia rematch soon ili fury atudhihirishie kweli anastahili kuendelea kukaa na ile mikanda

Cha mwisho, wilder alijiamini sana dhidi ya fury, mpaka alishaandaa night after party baada ya pambano, kipigo cha leo kitamshtua sana

Sent using Jamii Forums mobile app
6uL5HPVIReW01ROH83vB_PA-50692516.jpg

Furry ni best boxer zaid ya Wilder all the time. Sio leo tuu.
Wilder alidroo na Furry mara ya kwanza coz Furry alikuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya miaka miwili.

Boxing sio mchezo wa kuvizia tuu na kurusha ngumi moja tuu nzito. Gipys King got skills and he shown that today
 
Nafikiri atapambana na Whyte.
Next is Furry vs AJ in Wembley
Sidhan kama hawa waingereza wako tayr kuaibishana naweza kuona pambano la Wilder vs AJ kutokea kuliko Tyson vs AJ
 
Wilder kadondoshwa mara 2.
Ana bahati sana team yake imetupa taulo ulingoni.
Ur next AJ
 
Back
Top Bottom