Pambano: Deontay Wilder Vs Tyson Fury-II. Tukutane hapa kwa updates

Pambano: Deontay Wilder Vs Tyson Fury-II. Tukutane hapa kwa updates

Yako wapi??? Mtaficha wapi sura zenu TEAM BRONZE BOMBER?? Tulikuwa tunawazoom tu na majivuno yenu.
 
Hahahaha wale mashabiki wa Wilder mbona hatuwaoni au mnasubiri Counter atack za Mourinho...


Ninachokiona Ni Wilder anavuta round ziishe asipoteze kwa KO

Sent using Jamii Forums mobile app
Die hard wilder fans tupo hapa mkuu

Furry new WBA champions, he deserve, leo alikua more energy, very sharp, mood

Mbabe leo kapigwa, fury bondia bora kabisa kwa kizazi cha sasa, nilimchukulia poa huyu mwamba

Ile mikanda kuwa mbali na wilder ni kitu ambacho kitamuuma sana, nature ya wilder ni always winning, natarajia rematch soon ili fury atudhihirishie kweli anastahili kuendelea kukaa na ile mikanda

Cha mwisho, wilder alijiamini sana dhidi ya fury, mpaka alishaandaa night after party baada ya pambano, kipigo cha leo kitamshtua sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No No kwa nini Deontay amepigwa hivyo.Hapana ni lazima tuombe pambano la tatu...Tutamla Fury mzima mzima.😎

Halafu kwanini haya Majina ya Tyson yanakuwa na mambo ya ajabu ajabu.Tsunami gani amempa mweziye😎😎
 
Hahaha, alafu tyson furry jinsi hili pambano alovyolifanye jepesi, anaweza hata kwenda zake kula bata now, upande wa pili straight hospitalini kupima ukubwa wa demage. Tokea Tyson furry alivyomkalisha klischko ndio nikajua ni very technical boxer, haitaji miguvu mingi.
 
Die hard wilder fans tupo hapa mkuu

Furry new WBA champions, he deserve, leo alikua more energy, very sharp, mood

Ile mikanda kuwa mbali na wilder ni kitu ambacho kitamuuma sana, natarajia rematch soon

Nachoweza kusema cha mwisho, mbabe leo kapigwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wakirudiana Wilder atafia Uwanjani.


Wilder sio Bondia mzuri hata kidogo .... Na tumekuwa tukisema humu akikutana na Ring Dancer mzuri lazima akae. Naona Leo umeona kilichomkuta.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom