Pambano: Deontay Wilder Vs Tyson Fury-II. Tukutane hapa kwa updates

Pambano: Deontay Wilder Vs Tyson Fury-II. Tukutane hapa kwa updates

Utakuwa hujui mchezo wa boxing wewe.
Ebu angalia BoxRec ya Deontay Wilder.
Pili boxing ni kama mchezo wowote mwingine - kushinda, kushindwa, au draw.
Kurudiana (rematch) ni issue nyingine; mfano, angalia Lennox Lewis alichomfanyia Hasim Rahman baada ya kufanya rematch.
Angalia mpambano wa rematch kati ya Evander Holifield na Riddick Bowe. Bowe kumtandika Evander ktk mechi ya kwanza, haikuwa guarantee kuwa atafanya hivyo tena ktk mechi ya marudiano. Bowe aliambulia kichapo cha nguvu.
Na Muhammad Ali vs Joe Frazier ktk rematch, Joe aliambulia kichapo japo mwanzo alishinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
I know boxing than you .... Laiti ungefikiri walau Mara 4 nilichoandika usingepoteza muda kuandika ulichoandika... Hao wote uliowataja ni Boxers Bora Mara 100 ya Wilder ( Najua utabisha )....
Fuatilia michango yangu humu kwenye Threads za Wlider vs Furry tangu Pambano la la mwaka Jana ..


Nilikuwa nasema Wilde ni Moja ya boxers wabovu mno zaidi ya ile Bomber Punch Yake Hana alternative yoyote ile kupigana na adui ... Alishindwa kumpiga Furry mwaka Jana , furry akiwa nje ya ulingo kwa miaka miwili baada ya kupotea kwenye madawa ya kulevya ... JAPO Lile Pambano naamini Wilder alipigwa ....


Kabla ya Pambano la Jana niliongea tena Wilder hataweza kumpiga Furry kwa kuzingatia namna anavyopigana hatuweza furry ... Leo umeona kilichotokea ... Wilder anaruhusu ngumi nyingi Hana good defensive skills ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu boxer ina maajabu yake,usipredict 100% wilder atapigwa tena iwapo kutakua na rematch,nenda youtube angalia pambano la fury ve otto wallin,nadhani utauheshimu mchezo wa ngumi
I know boxing than you .... Laiti ungefikiri walau Mara 4 nilichoandika usingepoteza muda kuandika ulichoandika... Hao wote uliowataja ni Boxers Bora Mara 100 ya Wilder ( Najua utabisha )....
Fuatilia michango yangu humu kwenye Threads za Wlider vs Furry tangu Pambano la la mwaka Jana ..


Nilikuwa nasema Wilde ni Moja ya boxers wabovu mno zaidi ya ile Bomber Punch Yake Hana alternative yoyote ile kupigana na adui ... Alishindwa kumpiga Furry mwaka Jana , furry akiwa nje ya ulingo kwa miaka miwili baada ya kupotea kwenye madawa ya kulevya ... JAPO Lile Pambano naamini Wilder alipigwa ....


Kabla ya Pambano la Jana niliongea tena Wilder hataweza kumpiga Furry kwa kuzingatia namna anavyopigana hatuweza furry ... Leo umeona kilichotokea ... Wilder anaruhusu ngumi nyingi Hana good defensive skills ,

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakuelewa ila sio kwa kinachohusu DAMU ...damu ni kitu kingine mkuu, acha kabisa ..hilo ni agano kali sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nyinyi mnaamini kushinda kwa agano mbona wakulia na wamasai wanakunywa damu ya ng'ombe hakuna agano
....katepeta basi kama dini pelekeni kanisani it's all bout ring fighting
 
hili pambano nasikia antony joshua ameloga sana ile furry ashinde, maana joshua anamuogopa sana wilder, joshua atampiga kirahisi furry
Mkuu ni swala la muda tuu AJ kupigana na Wilder.
Labda Wilder astaafu.
Sisi ni kusubiri kama Wilder atataka kurudiana na Furry kama mkataba ulivyosema.
Bt now tunataka FURRY Vs AJ.
Then yaje mapambano mengine.
Usisahau kuna manadatory challlengers kama Pulev, Whyte na Usyk
 
Cooper alipigwa na Muhammad Ali tena kwenye ardhi ya Uk.
Hapo ilikuwa ni Wimbley.
Rahman akaja kumtandika Lewis. Kichapo chake kilishtua ulimwengu wa masumbwi
Kwenye boxing ni skills tuu.
Hakuna cha muingereza wala mmarekani
Huyo Ali figisu nyingi....labda hilo pambano la Lewis... Mmarekani acha atandikwe tu
 
Pale hamna bondia, ni mtu tu aliye na umbo kubwa na anayenyanyua vyuma bila utaratibu maalum
Die hard wilder fans tupo hapa mkuu

Furry new WBA champions, he deserve, leo alikua more energy, very sharp, mood

Mbabe leo kapigwa, fury bondia bora kabisa kwa kizazi cha sasa, nilimchukulia poa huyu mwamba

Ile mikanda kuwa mbali na wilder ni kitu ambacho kitamuuma sana, nature ya wilder ni always winning, natarajia rematch soon ili fury atudhihirishie kweli anastahili kuendelea kukaa na ile mikanda

Cha mwisho, wilder alijiamini sana dhidi ya fury, mpaka alishaandaa night after party baada ya pambano, kipigo cha leo kitamshtua sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utabiri wa Mastaa/Wadau mbalimbali wa Combart Sports juu ya hili pambano;


1. Bob Arum (Boxing Promoter)--- Fury
2. Dana White (UFC director)--- Fury
3. Floyd Mayweather (Boxer)---Fury
4. David Haye (Retired Boxer)---Wilder
5. Paul Maligagi (Boxer)---Fury
6. Triple H (Wrestler)---Fury
7. Mike Tyson (Retired Boxer)---Fury
8. Mc Gregor (UFC Fighter)---Fury
9. Anthony Joshua (Boxer)---Fury
10. Ben Davison (Boxing Coach)---Fury
11. Man Pacquiao (Boxer)---Wilder
12. Roman Reigns (Wrestler)---Fury
13. Lennox Lewis (Retired Boxer)---Wilder
14. Sugarray Leonard (Retired Boxer)---Wilder
15. Evander Holyfield (Retired Boxer)---Wilder
16. Larry Holmes (Retired Boxer)---Wilder
17. Mickey Garcia (Boxer)---Wilder
..........list itaendelea




NB: Naona wadau wengi hawaamini kama Wilder anaweza kummaliza Fury kwavile alishindwa kufanya hivyo kwenye pambano la kwanza wakati Fury akiwa kwenye worst shape, hivyo wanaamini kwavile Fury ni better boxer atamshinda kwa kumuoutbox Wilder kama alivyofanya kwenye pambano la kwanza na ukizingatia kwa sasa yupo kwenye his best shape, only way Wilder anaweza kushinda ni endapo atafanikiwa kumpiga KO, kitu ambapo sio kirahisi kwakuwa Wilder hana accuracy nzuri kwenye punch zake na pia Fury is the master of defence.



... Anyway huo ni mtazamo wao, kwangu mimi still naamini Wilder atashinda kwa KO, sio rahisi kutofanya makosa ya defence kwa round zote 12, kosa moja tu dhidi ya Wilder linaweza kufanya upoteze pambano, no matter how u outboxed him

Sent using Jamii Forums mobile app
Wataalam wa ndondi walimpa ushind Fury na ndo kilichotokea,ngumi ni profesheno sio janja janja
 
Nakumbuka Rahman alimpiga Lewis kwa knock out kwenye round ya kwanza au ya pili, baadae Lewis alisema hali ya hewa ya Afrika Kusini ilimwathiri na akaomba rematch akaahidi mpambano wa marudiano hautavuka round ya tano, Rahman alikutana na kipigo cha mbwa koko kilichomfanya afunge mdomo mpaka leo.
Cooper alipigwa na Muhammad Ali tena kwenye ardhi ya Uk.
Hapo ilikuwa ni Wimbley.
Rahman akaja kumtandika Lewis. Kichapo chake kilishtua ulimwengu wa masumbwi
Kwenye boxing ni skills tuu.
Hakuna cha muingereza wala mmarekani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wilder ana haters wengi sana, Kajoshua kamehojiwa juzi eti anadai Fury atashinda wakat yeye mwenyew anamuogopa king Wilder

BronzerBomber he promise hata Mungu hatoweza muokoa Furry na kichapo this round

Baada ya huyu teja tunaitaji pambano na bishoo Joshua ili tumstahafishe kabsa

Tunaitaji only 1punch quick knockout tu, blah blah za kurusha vingumi vingi sisi hatuna

#Tilthisday #OneChampion

View attachment 1361864View attachment 1361865

Sent using Jamii Forums mobile app
endelea kuota.
 
Back
Top Bottom