Pambano la Cheka Na Mserbia

mabondia wazuri walikuwa wanatoka ngumi za ridhaa kwanza
sio hawa wanatoka mitaani ndo wanakuwa mabondia
 
Cheka siku zote anaonea mabondia wa TZ..
kwenye skills sio mzuri,yeye msuli zaidi...
Mazoezi yake yenyewe eti kusukuma tairi la sijui trekra kwenda mlimani na kurudi, very local
 
mabondia wazuri walikuwa wanatoka ngumi za ridhaa kwanza
sio hawa wanatoka mitaani ndo wanakuwa mabondia
Kamuulize Cheka kama hata anajua southpaw ni kitu gani, bongo ujanja ujanja mwingi sana
 
Akitoka hapo anamtafuta kibonde wake Mada Maugo anamtandika na yeye hahahhaa
Bora mada maugo akitoka hapo anamfuata meneja wa ile bar yake, kichapo kizito kwa kwenda mbele
 
Huuu ni uwongo kabisaaa yaaan daaah...kwa mtindo uhuu hatutaendeleaaaaaaa
 
hiyo sio mara ya kwanza

keshatangazwa pia alipopigwa na muiran hapa hapa TZ..
 
Yaani yule mzungu alikosea kusubiri point
alipaswa amalize kwa knock out
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…