Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaulize simba walichofanywa na Yanga na pia ulizia matokeo ya jana ya yangaWatanzania sijui tunajua nini sisi... Huyu jamaa anamdominate Cheka mpaka huwezi kusema Cheka anaweza kushinda hata kwa kubebwa..
Wewe ndio judge.. Boxing sio kurush ruh tu ngumi .. Ngoja hadi mwishoHuyu mserbia ni noma, kwanza harudi nyuma. Cheka keshapoteza hili pambano.!
Sasa Ivuga ndo unaandika nini? Mwisho si ulisha fika? Au kuna mwisho mbili?Wewe ndio judge.. Boxing sio kurush ruh tu ngumi .. Ngoja hadi mwisho
Mkuu kwa professional boxer kama cheka kupunguza kilo mbili kwa masaa ni kawaida.mambo ya Gymnasium hayo.Mi nilishangaa..Zen mtu anaambiwa ndani ya masaa kadhaa apunguze kilo mbili..Mi nikachoka kabisa...
Ebwana hili pambano linaonyeshwa wapi..Au upo eneo la tukio?
mkuu acha ku underrate kwakuwa kapigwa.mazoezi ya taili kwa boxer ni kawaida.kazidiwa skills na Mzungu.pia Cheka wa zamani na huyu sio!Mazoezi yake yenyewe eti kusukuma tairi la sijui trekra kwenda mlimani na kurudi, very local
Lazima tuwe wa kweli, hapo unazungumzia vitu tofauti. Jana ni wazi Cheka kapigwa na alidondoshwa Mara moja. Kilichompa Cheka ushindi ni kuwa majaji wote wanatoka Tanzania.Jaman achen siasa hata TMT alivyopigana na Packyao wapo walosema TMT amepigwa wataalam wa masuala ya ngumi walipokuja kutoa uchambuz ndo kila m2 alikuja kukubalian na matokeo