Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,828
- 15,001
Mi nilishangaa..Zen mtu anaambiwa ndani ya masaa kadhaa apunguze kilo mbili..Mi nikachoka kabisa...Alafu akaanza kusingizia mizani hahahaha cha kushangaza mwenzake alikutwa na uzito huo huo
Ebwana hili pambano linaonyeshwa wapi..Au upo eneo la tukio?