Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Jw wange aibikadraw ya mchongo
114 vs 113, 116 vs 111 113 vs 113
Mimi Nampa hii fight DOGO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jw wange aibikadraw ya mchongo
114 vs 113, 116 vs 111 113 vs 113
Yule mwili tu hakuna kituLabda Twaha anaweza kutoa ushindani
Msauzi kadhulumiwaEti droo, migumi yote kiduda aliyopigwa hadi uso imekuwa kama tractor
Kidunda kapigwa saanaEti droo, migumi yote kiduda aliyopigwa hadi uso imekuwa kama tractor
Nilitabiri watamaliza bado sekunde 20. Kuna pambano la Kidunda na Katompa walifanya hivyohivyoMbeleko zimekuwa nyingi round zinamalizwa kabla mda haujaisha wakiona kidunda kazidiwa
Refa ameharibu pambano, Jamaa amecheza faul nyingi Sana lakini hakutoa amri ya kukatwa point.Eti droo, migumi yote kiduda aliyopigwa hadi uso imekuwa kama tractor
Haya nilishayaona na yametokeaKwa msiojua keaho kutakuwa na pambano la ngumi Kati ya Seleman kidunda na Asemalle Wellem wa South Africa,Huyu Asemalle ndio alitoka kumchapa juzi hapo Twaha kiduku ni moja ya mabondia wazuri sana
Nachoomba majaji wa Tanzania mpunguze mbeleko kubeba beba watu hivyo hata wakupigwa, Tunataka pambano la haki
Upumbavu unaanzia kwa hawa watangazaji wa Azam wako biased sana, kidunda akipigwa ngumi hawaongei lakini yeye sasa akirusha ngumi Moja makelele kibaooo, huyu dogo kampiga kidunda kinomaBoxing inauliwa na hawa majaji, kila mtu kaona ķilichotokea so maamuzi kama haya ya kipumbavu yanaharibu mchezo na kupoteza mashabiki. UPUMBAVU MTUPU
yeah hata yeye kasema anaamini ameshindaMsauzi kadhulumiwa
Twaha akitrain vizuri anaweza kutoa ushindani, pambano lililopita ilionekana wazi hakuwa na maandalizi, alimchukulia poa dogo na ikamgharimu ila naamini wakirematch Twaha atajifua ipaswavyo na shughuli itakuwepo. Hao wengine woote hakuna anayeweza kubattle na huyo dogo.Yule mwili tu hakuna kitu
Acha ujinga wewe.. kapigwa left hook mwishoni wakaona bora wamalize bado sekunde 20.Refa ameharibu pambano, Jamaa amecheza faul nyingi Sana lakini hakutoa amri ya kukatwa point.
Kidunda ameteleza bila kupigwa Ngumi lakini akawa ana mhesabia.
Kwa ujumla Kidunda amecheza vizuri ila faul za mpinzani zilikua Zina nyonya nguvu za kidunda.
Huyo babu yenu kadundwa full stop hakuna draw pale mibondia ya tz ni mbeleko tu ndio maana ikifika nnje kazi kudundwaRefa ameharibu pambano, Jamaa amecheza faul nyingi Sana lakini hakutoa amri ya kukatwa point.
Kidunda ameteleza bila kupigwa Ngumi lakini akawa ana mhesabia.
Kwa ujumla Kidunda amecheza vizuri ila faul za mpinzani zilikua Zina nyonya nguvu za kidunda.
Hadi midamu mdomoniAcha ujinga wewe.. kapigwa left hook mwishoni wakaona bora wamalize bado sekunde 20.
Kidunda kapigwa kama ngoma dadeki..