Hakuna faulo yoyote aliyocheza zile mbinu za kawaida sana za mchezo. Au ulikuwa unawasikiliza hao wachambuzi fake? Huyu ni refa sliyejitshidi Sana. Ingekuwa wale wengine wasingehesabu hata knock down ya mwishoRefa ameharibu pambano, Jamaa amecheza faul nyingi Sana lakini hakutoa amri ya kukatwa point.
Kidunda ameteleza bila kupigwa Ngumi lakini akawa ana mhesabia.
Kwa ujumla Kidunda amecheza vizuri ila faul za mpinzani zilikua Zina nyonya nguvu za kidunda.
Wanatupotezea mda na rematch zao wahuni hawa huyo kidunda kapigwa wazi wazi kabisaDogo kakubali kurematch na kaahidi atampiga mpaka ahakikishe harudi tena ulingoni.
Watangazaji wamezinguq sana ila angalau wao hawahusiki na matokeo so hata wakiongea haiathiri mchezo japo wanakuwa wanatunyima haki yetu watazamaji maana tunahitaji uchambuzi usio na upande. Majaji ndo wameharibu pambanao na bilashaka ni maelekezo.Upumbavu unaanzia kwa hawa watangazaji wa Azam wako biased sana, kidunda akipigwa ngumi hawaongei lakini yeye sasa akirusha ngumi Moja makelele kibaooo, huyu dogo kampiga kidunda kinoma
Matokeo ni majority drawTunaomba matokeo huko
Wamegawana baadhi ya raundi.Wanatupotezea mda na rematch zao wahuni hawa huyo kidunda kapigwa wazi wazi kabisa
jifunze kwanza Sheria na taratibu za mchezo wa Ngumi ndio utaelewa faul katika boxing zinakuaje.Hakuna faulo yoyote aliyocheza zile mbinu za kawaida sana za mchezo. Au ulikuwa unawasikiliza hao wachambuzi fake? Huyu ni refa sliyejitshidi Sana. Ingekuwa wale wengine wasingehesabu hata knock down ya mwisho
Huyo babu yenu kapigwa mwanzo mwisho acheni kumtetea we una miaka 42 unataka kufia ulingoni?Wamegawana baadhi ya raundi.
Kumbuka pia Asemahle alikatwa points kwa kucheza rafu
George foreman akiwa na miaka 42 alicheza Evander Holy field akiwa na 28 Aya mambo kama huyafahamu utageuka kituko.Huyo babu yenu kapigwa mwanzo mwisho acheni kumtetea we una miaka 42 unataka kufia ulingoni?
unamjua foreman wa enzi izo wew au unaangalia iyo namba tuGeorge foreman akiwa na miaka 50 alimpiga Evander Holy field akiwa na 30 Aya mambo kama huyafahamu utageuka kituko.
Huyo babu kidunda kapakatwa live yaani aibu tupuhivi kwa pambano kama hili wanakunja pesa ngapi hawa?
Wewe yawezekana ni mmoja wa wale wachambuzi wstangazajibwa.mchongo ambapo kila kidunda akipokea vitasa wao wsna sema kaparazwa na kotakota sijui kota kota ni nini? Acha mahabat yabkienyeji kabondwa.huyo kidundajifunze kwanza Sheria na taratibu za mchezo wa Ngumi ndio utaelewa faul katika boxing zinakuaje.
BMT Isimamishe mapambano ya ngumi Tanzania , tunavuna aibu sanaKwa msiojua keaho kutakuwa na pambano la ngumi Kati ya Seleman kidunda na Asemalle Wellem wa South Africa,Huyu Asemalle ndio alitoka kumchapa juzi hapo Twaha kiduku ni moja ya mabondia wazuri sana
Nachoomba majaji wa Tanzania mpunguze mbeleko kubeba beba watu hivyo hata wakupigwa, Tunataka pambano la haki
================
[emoji115][emoji115][emoji115]
Niliyotoka kuyasema juzi yametimia pambano zima kudunda kachakazwa ila majaji wamesema ni Draw[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Babu kapigwa hadi aibuBMT Isimamishe mapambano ya ngumi Tanzania , tunavuna aibu sana
Babu k kAsuuzwaDogo alikuwa na uwezo wa kumaliza knockout
Lakini Kacheza fairplay kwa heshima ya huyo poti akiamini atapewa ushindi wa kawaida lakini wamembania kama watarudia mtarajie knockout
Sema jeshi linajichoresha wanatia aibu
Umeamua kuwa bondia kuwa bondia mambo ya jeshi acha jeshini nenda wewe kama wewe