johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wakati wowote kuanzia sasa aliyekuwa mbunge kwa tiketi ya CCM na baadae kujiuzulu na kuhamia Chadema Mh. Lazaro Nyalandu atachukua fomu za kugombea urais.
Taarifa za chini ya kapeti zinasema Nyalandu ana baraka zote za uongozi wa juu wa chama chake na atakachosubiri ni kukubaliwa tu chama mshirika endapo Chadema na ACT Wazalendo watakubaliana kusimamisha mgombea mmoja wa urais.
Tarehe 15/06/2020 ndio siku ya mwisho kwa watia nia kuchukua na kurejesha fomu kwa nafasi ya Rais.
Mungu ibariki Tanzania
Maendeleo hayana vyama!
Taarifa za chini ya kapeti zinasema Nyalandu ana baraka zote za uongozi wa juu wa chama chake na atakachosubiri ni kukubaliwa tu chama mshirika endapo Chadema na ACT Wazalendo watakubaliana kusimamisha mgombea mmoja wa urais.
Tarehe 15/06/2020 ndio siku ya mwisho kwa watia nia kuchukua na kurejesha fomu kwa nafasi ya Rais.
Mungu ibariki Tanzania
Maendeleo hayana vyama!