Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
JoketiNitajie mwanasiasa mmoja tu mwenye historia nzuri!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JoketiNitajie mwanasiasa mmoja tu mwenye historia nzuri!
Hata Mnyika ameridhika bwashee!Mbowe mwenye chama karidhika?
Weka. Uthibitisho mkuuLisu ni mwanasheria anaelewa changamoto zitakazomkuta kiutaratibu hivyo kaamua kumbariki Lazaro
Haahaa...kweli wewe hujui wanasiasaJoketi
Joketi ni mwanaharakati!Joketi
Nyarandu ndio anapesa hapo hakuna zaidi ya pesaLisu na Mbowe wanamuunga mkono Nyalandu.
Siasa ni sayansi!
Kwani mnyika Ni mpiga kura pekee kwenye vikao? Wote wachukue fomu vikao vitachuja.Hata Mnyika ameridhika bwashee!
Kunywa mtori nyama utazikuta chini bwashee!Weka. Uthibitisho mkuu
Duuh . . . he is not a presidential material at all. Hana kabisa hiyo karma. CHADEMA watafute mwingine sio huyu kama kweli wanataka kushindanaWakati wowote kuanzia sasa aliyekuwa mbunge kwa tiketi ya CCM na baadae kujiuzulu na kuhamia Chadema Mh. Lazaro Nyalandu atachukua fomu za kugombea urais.
Nyarandu hana mvuto.Alafu ni muhmin mzuri tu wa chama tawala.Hata Mnyika ameridhika bwashee!
NmekuelewaLisu na Mbowe wanamuunga mkono Nyalandu.
Siasa ni sayansi!
Hakujawahi kuwa na demokrasia chadema kumbuka ya LowasaMtoa mada unapotosha, sio kweli kwamba tarehe za kuchukua fomu kwa chadema za wagombea urais Ni kati ya tarehe 3 na 15. Bali Ni kutia nia. Hats nyarandu akitia nia sawa tu.Demokrasia itaamua
Kafanya harakati gani? Labda kumpigania Mond kutoka kwa wemaJoketi ni mwanaharakati!
Bwashee nilijiunga Chadema 1993 nadhani wewe ulikuwa bado unajifunza miziziology kule Ugweno.Jo ukilala CHADEMA
Ukiamka CHADEMA
Ukipumua CHADEMA
Ukila CHADEMA
Mawazo yako yote 95% ni CHADEMA... Jitahidi uwe na KIASI.. Unaweza kuja kupata maradhi mabaya yatakayoitwa CHADEMAPHOBIA...
Ukiendelea hivi unaweza kuja kuwa kama Prince Bangeda alivyokuwa anamuandama Lyatonga...
Jr[emoji769]
Mbowe Mugabe karidhika kwa sababu Nyarandu ndiye mwenye mchongo wote wa Mabeberu!Mbowe mwenye chama karidhika?
Kwani anachoamua Mbowe wewe una uwezo wa kupinga?johnthebaptist
Acha kutembeza propaganda kwenye jambo nyeti kama hili
Watu hawachagui mvuto bwashee!Nyarandu hana mvuto.Alafu ni muhmin mzuri tu wa chama tawala.
Upo uwezekano mkubwa CHADEMA ikamsimamisha Kiongozi wa DINI kuwa mgombea Urais, taarifa za chini ya kapeti zinadai ni yule mpatanishi wa madhabauni kati ya Mbowe Mugabe na Kiongozi wa Mkoa fulani!Duuh . . . he is not a presidential material at all. Hana kabisa hiyo karma. CHADEMA watafute mwingine sio huyu kama kweli wanataka kushindana