johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #61
Kumpata asiyetokea CCM siyo rahisi labda Zitto Kabwe au JJ Mnyika!yaani huyo jamaa sio presidential outfit kabisa, atafutwe mtu aliyekuzwa upinzani hata kama ni kuunga mkono chama kingine lakini sio nyalandu aliyetokea ccm. yatarudiwa yale ya 2015 ndo mtachoka zaidi