Uchaguzi 2020 Pambazuko: Lazaro Nyalandu kugombea urais kwa tiketi ya CHADEMA

Uchaguzi 2020 Pambazuko: Lazaro Nyalandu kugombea urais kwa tiketi ya CHADEMA

Ni kweli... ndio maana nasema kwa online vinakua viprogram fulan kufanya mtu akisikia kwamba kutakua let say na debate mgombea wa urais ktk runinga anakua enxious kufuatilia coz nadhani unajua amsha za social media... kama watazitumia bila mihemko... kimsingi wakitaka kuwin upya watu... wasihemke wala wasitoe lawama... wachambue mambo kisha waache watu wafanye uamuzi nani ndio mwenye tatizo... coz ni wazi anajulikana... sema chadema wanachozingua wanashindwa kujipanga ktk kuwasilisha hoja (wanawasilisha kwa emotion/hasira) hadi wanajikuta zinawageuka.
Wapiga kura wengi ni watazamaji wa luninga za kawaida!
 
Chadema huwa wajanja sana, huwa wanawachanganya CCM kwanza kwa kuwaacha wapige ramli, kisha ndio wanamtambulisha mgombea wao
 
Mchakato wa kutia nia, kuchukua na kurejesha fomu za kuwania urais kupitia Chadema, ndio unaimaliza chadema. Chadema sasa ndio inakufa rasmi.
 
Sawa CHADEMA haki kwa wote.... ni demokrasia kwa vitendo!!
 
Mchakato wa kutia nia, kuchukua na kurejesha fomu za kuwania urais kupitia Chadema, ndio unaimaliza chadema. Chadema sasa ndio inakufa rasmi.
Nasikia mtaa wa saba ni marufuku kuchukua form.. wala nia.
 
Kimalengo ya baadae wamuav=che Nyalandu agombee kwa sasa,kwa sababu.
Wanatakiwa wamuandae mgombea mwingine ambae atakuja kupambana kwa nguvu nyingi katika uchaguzi wa mwaka 2025,ila kwa sasa bado nguvu itakua ndogo sana
Miaka hii mitano watatkiwa kupika vijana sana katika masuala ya kisiasa ikiwezekana kuwapa elimu kubwa ya namna gani uongozi ulivyo pamoja na kuwafunza vijana katika masuala ya kiteknolojia.
Miaka hii mitano watatikiwa kutazama ni wapi wamekosea na wapi waanzie na wapi waje kumalizia.

Ushauri wako wahusika ni vyema wakauzingatia. Pamoja na sababu ulizozitoa, upinzani haujaiva kisiasa kuwa na viongozi wenye uwezo, uadilifu, busara, hekima na hasa UTASHI WA KISIASA, kukabidhiwa madaraka ya kuongoza nchi hii. Ushahidi ni jinsi wanavyoendesha Halmashauri wanazoziongoza.
 
😂😂😂😂😂😂, Lazaro Nyalandu huyuhuyu aliyekuwa anakwenda kutanua na totoz ng'ambo alipopewa uwaziri wa maliasili na utalii kwa kisingizio cha kwenda kutangaza utalii au Lazaro Nyalandu mwingine? hakika Hawa watu wamechanganyikiwa pakubwa.
 
Asubirie uwaziri mkuu chadema hawatorudia tena kosa la 2015 la kumsimamisha mgombea wa CCM
 
Acha ushamba,,kutia Nia Ni kugeuka?,tatizo la wabongo nafasi za uongozi wanazigeuza za kuganga njaa,,
Chadema hatugangi njaa,kila mtu Yuko huru kutia Nia na demojrasi itaamua.
Aisee....[emoji115][emoji115]
 
CCM b atagombea Tena, hivi wale wafia Chama hawanaga sifa?
 
Jo ukilala CHADEMA
Ukiamka CHADEMA
Ukipumua CHADEMA
Ukila CHADEMA
Mawazo yako yote 95% ni CHADEMA... Jitahidi uwe na KIASI.. Unaweza kuja kupata maradhi mabaya yatakayoitwa CHADEMAPHOBIA...
Ukiendelea hivi unaweza kuja kuwa kama Prince Bangeda alivyokuwa anamuandama Lyatonga...

Jr[emoji769]
Hata akipiga chafya CHADEMA

1591293674637.png
 
Back
Top Bottom