Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Kwa maelezo ya waziri mkuu mstaafu mhe. Msuya akiwa kwenye kipindi cha dk 45 cha ITV, ni kama amemaanisha kwamba uwepo wa magari mengi mjini au barabarani ni kutokana na hali za maisha kutofanana.
Ni kama vile wanaotumia vyombo hivyo hawaoni tofauti ya kupanda kwa bei. Na kwamba wana hali nzuri kifedha.
Je, ni kweli? Au wanapambana tu na hali kwa kuwa hakuna namna nyingine?
Ni kama vile wanaotumia vyombo hivyo hawaoni tofauti ya kupanda kwa bei. Na kwamba wana hali nzuri kifedha.
Je, ni kweli? Au wanapambana tu na hali kwa kuwa hakuna namna nyingine?