Pamoja na Dodoma kuwa Katikati ya nchi lakini bado haikupaswa kuwa Makao Makuu

Pamoja na Dodoma kuwa Katikati ya nchi lakini bado haikupaswa kuwa Makao Makuu

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Nisiwe na Maneno mengi lakini kiukweli hali ya hewa ya Dodoma inaumiza sana na mtu huwezi kuwa comfortable hata kidogo.

Yaani huu mji hata ulazimishe kupanda miti kiasi gani bado ni shida. Hata mwanga wa jua huku ni shida kwa jinsi unavyoumiza macho, yaani kila unayekutana naye kakunja uso na kufinya macho sababu ya jua. Huwezi kuta mtu kanawiri hata kama ana maisha mazuri.

Kuna masela wangu tulikuwa nao Dar wakahamia Dom nimewaona sura zimefubaa sababu ya hali ya hewa. Kipindi cha kiangazi ndio shida zaidi utafikiri watu wapo Sudan jamani. Kitu kingine kinachokera ni Maji mabaya sana, sio machafu lakini ni mabaya na yamejaa chumvi kuliko hata humvi la maji ya bahari.

Kuna jamaa akanishawishi eti nijenge nyumba ya makazi nikamuambia labda nijenge gest lakini si mimi kuja kjishi
 
Nisiwe na Maneno mengi lakini kiukweli hali ya hewa ya Dodoma inaumiza sana na mtu huwezi kuwa comfortable hata kidogo. Yaani huu mji hata ulazimishe kupanda miti kiasi gani bado ni shida. Hata mwanga wa jua huku ni shida kwa jinsi unavyoumiza macho, yaani kila unayekutana naye kakunja uso na kufinya macho sababu ya jua. Huwezi kuta mtu kanawiri hata kama ana maisha mazuri. Kuna masela wangu tulikuwa nao Dar wakahamia Dom nimewaona sura zimefubaa sababu ya hali ya hewa. Kipindi cha kiangazi ndio shida zaidi utafikiri watu wapo Sudan jamani. Kitu kingine kinachokera ni Maji mabaya sana, sio machafu lakini ni mabaya na yamejaa chumvi kuliko hata humvi la maji ya bahari.
Kuna jamaa akanishawishi eti nijenge nyumba ya makazi nikamuambia labda nijenge gest lakini si mimi kuja kjishi
Dom kwenda magharibi huko Pana Hali ya hewa nzuri sana,hakuna joto la kiwaki,nimeishi Dom miaka miwili,kuhusu kunawiri mtoa mada muongo
 
Nisiwe na Maneno mengi lakini kiukweli hali ya hewa ya Dodoma inaumiza sana na mtu huwezi kuwa comfortable hata kidogo. Yaani huu mji hata ulazimishe kupanda miti kiasi gani bado ni shida. Hata mwanga wa jua huku ni shida kwa jinsi unavyoumiza macho, yaani kila unayekutana naye kakunja uso na kufinya macho sababu ya jua. Huwezi kuta mtu kanawiri hata kama ana maisha mazuri. Kuna masela wangu tulikuwa nao Dar wakahamia Dom nimewaona sura zimefubaa sababu ya hali ya hewa. Kipindi cha kiangazi ndio shida zaidi utafikiri watu wapo Sudan jamani. Kitu kingine kinachokera ni Maji mabaya sana, sio machafu lakini ni mabaya na yamejaa chumvi kuliko hata humvi la maji ya bahari.
Kuna jamaa akanishawishi eti nijenge nyumba ya makazi nikamuambia labda nijenge gest lakini si mimi kuja kjishi
Kuhusu jua kali hata ukipanda miti haisaidii ni uongo maybe huipend Dom individual! But hakuna kinashindikana dunia hii hasa suala la upandaji miti na kubadili mazingira na hali ya hewa, jua kweli la Dom ni kali lkn kwa juhud zilizopo za kupanda zaid miti itasaidia san miaka ijayo!! Kuhusu maji yana chumvi kuliko ya bahari huo ni uongoo, maji yapo yenye chumvi lkn sio on that way u claim!! Dar imekua na changamoto nying san za maji saf na salama, jua kali joto kali vitu ambavyo sio comfortable kwa mwanadam lkn ilikua makao makuu kwa miaka na raia walizoea!!
 
Nisiwe na Maneno mengi lakini kiukweli hali ya hewa ya Dodoma inaumiza sana na mtu huwezi kuwa comfortable hata kidogo. Yaani huu mji hata ulazimishe kupanda miti kiasi gani bado ni shida. Hata mwanga wa jua huku ni shida kwa jinsi unavyoumiza macho, yaani kila unayekutana naye kakunja uso na kufinya macho sababu ya jua. Huwezi kuta mtu kanawiri hata kama ana maisha mazuri. Kuna masela wangu tulikuwa nao Dar wakahamia Dom nimewaona sura zimefubaa sababu ya hali ya hewa. Kipindi cha kiangazi ndio shida zaidi utafikiri watu wapo Sudan jamani. Kitu kingine kinachokera ni Maji mabaya sana, sio machafu lakini ni mabaya na yamejaa chumvi kuliko hata humvi la maji ya bahari.
Kuna jamaa akanishawishi eti nijenge nyumba ya makazi nikamuambia labda nijenge gest lakini si mimi kuja kjishi
Dar je ikoje ??! Jasho jasho kwa kwenda mbele !! Na ile harufu iliyomshinda Michael Jackson alipotembelea Dar bado ipo au imeisha ?! 😂
 
Kichekesho zaidi ni vile vijumba vya chamwino hapo kuingilia ikulu. Yaaani ukienda nchi nyingine mitaa ya karibu na ikulu ni majengo mazuri tu na mazingira mazuri ila hapo Dodoma kuna vijumba vya hovyo balaa karibu na ikulu kabisa.
 
Nisiwe na Maneno mengi lakini kiukweli hali ya hewa ya Dodoma inaumiza sana na mtu huwezi kuwa comfortable hata kidogo. Yaani huu mji hata ulazimishe kupanda miti kiasi gani bado ni shida. Hata mwanga wa jua huku ni shida kwa jinsi unavyoumiza macho, yaani kila unayekutana naye kakunja uso na kufinya macho sababu ya jua. Huwezi kuta mtu kanawiri hata kama ana maisha mazuri. Kuna masela wangu tulikuwa nao Dar wakahamia Dom nimewaona sura zimefubaa sababu ya hali ya hewa. Kipindi cha kiangazi ndio shida zaidi utafikiri watu wapo Sudan jamani. Kitu kingine kinachokera ni Maji mabaya sana, sio machafu lakini ni mabaya na yamejaa chumvi kuliko hata humvi la maji ya bahari.
Kuna jamaa akanishawishi eti nijenge nyumba ya makazi nikamuambia labda nijenge gest lakini si mimi kuja kjishi
Kweli tufikirie mji mkuu Arusha tayari kuna taasisi nyingi za kimataifa pale na hali ya hewa ni nzuri sana.
 
Nisiwe na Maneno mengi lakini kiukweli hali ya hewa ya Dodoma inaumiza sana na mtu huwezi kuwa comfortable hata kidogo. Yaani huu mji hata ulazimishe kupanda miti kiasi gani bado ni shida. Hata mwanga wa jua huku ni shida kwa jinsi unavyoumiza macho, yaani kila unayekutana naye kakunja uso na kufinya macho sababu ya jua. Huwezi kuta mtu kanawiri hata kama ana maisha mazuri. Kuna masela wangu tulikuwa nao Dar wakahamia Dom nimewaona sura zimefubaa sababu ya hali ya hewa. Kipindi cha kiangazi ndio shida zaidi utafikiri watu wapo Sudan jamani. Kitu kingine kinachokera ni Maji mabaya sana, sio machafu lakini ni mabaya na yamejaa chumvi kuliko hata humvi la maji ya bahari.
Kuna jamaa akanishawishi eti nijenge nyumba ya makazi nikamuambia labda nijenge gest lakini si mimi kuja kjishi
Mm nakah ilazo extension Bei ya nyumba IPO juu mno kuliko maelezokwa SAS HV ddm jangwa lile limepoteaa kbsa Ni majumba ya kifahari ndio yanasimama tu

Sina mpango wa kuihama ddma

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Dom kwenda magharibi huko Pana Hali ya hewa nzuri sana,hakuna joto la kiwaki,nimeishi Dom miaka miwili,kuhusu kunawiri mtoa mada muongo
Tena kwa vyakula vya ddm SAS HV vilivyo vitamu kuku wa singida walivyo watamu sitami kwingine ddm napata kill kitu

Zero IQ njoo Seema neno

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wewe mjinga israel imebadilisha jangwa kuwa nchi inayozalisha Hadi akiba ya chakula leo unazingumzia dodoma ambayo inapata mvua karibu miezi mitatu mfululizo kwa mwaka

Mkiambiwa waafrika akili zenu zipo matakoni wewe ndio mfano namba moja
Hakika akili zake ziko takoni watu wamekuwa matajiri hapa ndani ya miaka miwili tu ddm Ni POA snaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wewe mjinga israel imebadilisha jangwa kuwa nchi inayozalisha Hadi akiba ya chakula leo unazingumzia dodoma ambayo inapata mvua karibu miezi mitatu mfululizo kwa mwaka

Mkiambiwa waafrika akili zenu zipo matakoni wewe ndio mfano namba moja
Hatuzungumzii kubadili ardhi ili kuzalisha chakula, tunazungumzia hali ya hewa ya asili. Je hiyo Israel unayozungumzia walifanikiwa kubadili hali ya hewa ya asili iliyokuwepo tangu kuumbwa kwake? Dodoma hata miti ipandwe hadi sebuleni bado jua litafubaza sura na watu watafinya macho tu. Haitaondoa maji chumvi ya ajabu( na Mungu saidia iwe ni chumvi kweli).

Nina shaka Maji, jua na vumbi la Dom kuna kimoja sio poa yanapokutana na macho.

Vitukuu wetu karne zijazo wata research na si ajabu wakagundua kuwa Dom is not conducive for human beings
 
Back
Top Bottom