PAMOJA NA GSM kumwaga hela YANGA wanachukua tena Ubingwa

PAMOJA NA GSM kumwaga hela YANGA wanachukua tena Ubingwa

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Pamoja na GSM kumwaga hela kwa timu SImba inacheza nazo kama tulivyoona kwa Prison Kuaahidiwa hela nyingi wakiifunga SIMBA bado simba msimu huu tunawakati Mgumu sana. Kwa Yanga hii me nadeclare Mapema KABISA YANGA HATUWAWEZI MSIMU HUU TENA.

Pia mechi za YANGA vs SIMBA na SIMBA vs YANGA hapa yanga atachukua point 4 au 6 kwa sababu SIMBA ikicheza na YANGA miaka ya hivi karibuni imekuwa ovyo sana me game hizi hata siende uwanjani najua kabisa nitaumiza roho yangu.
 
Nimemtuma dogo dukani akachukue safari tano kubwa za moto.
 
Ata MO awe anamwaga pesa kama motisha Kwa timu pinzani, ni ngumu Yanga kufungwa kwakua Ubora wa timu Yao ni mkubwa. Kinacho hitajika Simba wenyewe wanatakiwa waifunge Yanga.
 
Tunauwezo wa kupiga timu zote zilizobaki kwenye ligi, tukishinda kwa mbeya city na kwa geita na kwa namungo wote kwao..sitojari yanga atatufunga round zote ubingwa utakua upande wetu kwa sababu yanga anauwezo kuliko simba ila simba inauwezo kuliko timu zingine zilizobaki..hapo ubingwa uwe wa kimahesabu na malengo.

Mechi ngumu zetu hizo hapo shinda hzo yanga atashangilia kwenye derby tuu...na uhakika mseneo hayo yote yanga atadondosha points.

So nikuchukua advantage hiyo.. ye muache ahonge tu fitna zina mwisho wacheza wa simba wanalipwa mamilioni hayo kila mwezi kwa hiyo ni haki yao kupambana..
 
Tunauwezo wa kupiga timu zote zilizobaki kwenye ligi, tukishinda kwa mbeya city na kwa geita na kwa namungo wote kwao..sitojari yanga atatufunga round zote ubingwa utakua upande wetu kwa sababu yanga anauwezo kuliko simba ila simba inauwezo kuliko timu zingine zilizobaki..hapo ubingwa uwe wa kimahesabu na malengo.

Mechi ngumu zetu hizo hapo shinda hzo yanga atashangilia kwenye derby tuu...na uhakika mseneo hayo yote yanga atadondosha points.

So nikuchukua advantage hiyo.. ye muache ahonge tu fitna zina mwisho wacheza wa simba wanalipwa mamilioni hayo kila mwezi kwa hiyo ni haki yao kupambana..
Kwaiyo nyie amtodondosha point bali yanga tu ndo itadondosha? Hizo timu ulizozitaja yanga alichukua point ngapi kwao msimu uliopita? Ndoto yako ni ya mchana tena ya kijinga kabisa
 
Ata MO awe anamwaga pesa kama motisha Kwa timu pinzani, ni ngumu Yanga kufungwa kwakua Ubora wa timu Yao ni mkubwa. Kinacho hitajika Simba wenyewe wanatakiwa waifunge Yanga.
Kweli kabisa naona juzi kwenye mechi ya mtibwa yanga walipiga mpira mwingi Sana.
 
Kwaiyo nyie amtodondosha point bali yanga tu ndo itadondosha? Hizo timu ulizozitaja yanga alichukua point ngapi kwao msimu uliopita? Ndoto yako ni ya mchana tena ya kijinga kabisa
Brother mi nazungumzia targets zetu wewe sasa zinakuhusu nini mdondoshe msidondoshe hazinihusu kwq hesahu zetu sisi ni mechi ngumu zilizotunyima ubingwa... kwani nyie mlishinda mechi zote..tayari mmedosha points mbili...maanake tuna targets zetu...yani hafi mtu aiijiwekea malengo mnapinga..uto bwana kweli wenye akili ji wawili tu
 
Tunauwezo wa kupiga timu zote zilizobaki kwenye ligi, tukishinda kwa mbeya city na kwa geita na kwa namungo wote kwao..sitojari yanga atatufunga round zote ubingwa utakua upande wetu kwa sababu yanga anauwezo kuliko simba ila simba inauwezo kuliko timu zingine zilizobaki..hapo ubingwa uwe wa kimahesabu na malengo.

Mechi ngumu zetu hizo hapo shinda hzo yanga atashangilia kwenye derby tuu...na uhakika mseneo hayo yote yanga atadondosha points.

So nikuchukua advantage hiyo.. ye muache ahonge tu fitna zina mwisho wacheza wa simba wanalipwa mamilioni hayo kila mwezi kwa hiyo ni haki yao kupambana..
Polisi Tanzania, Azam, Singida umewaacha au hawawezi kuipa Simba changamoto?
 
MAONI YANGU ninavyoona SIMBA inacheza lakini pia wapinzani wa SIMBA wanavyokamia. Punguza Matusi mzee hii dunia ni ya furaha usiwe na makasiriko sana
Pamoja na GSM kumwaga hela kwa timu SImba inacheza nazo kama tulivyoona kwa Prison Kuaahidiwa hela nyingi wakiifunga SIMBA bado simba msimu huu tunawakati Mgumu sana. Kwa Yanga hii me nadeclare Mapema KABISA YANGA HATUWAWEZI MSIMU HUU TENA.

Pia mechi za YANGA vs SIMBA na SIMBA vs YANGA hapa yanga atachukua point 4 au 6 kwa sababu SIMBA ikicheza na YANGA miaka ya hivi karibuni imekuwa ovyo sana me game hizi hata siende uwanjani najua kabisa nitaumiza roho yangu.
Ingekuwa mpenzi wa kweli wa soka ungeliona jinsi gani Yanga walipata taabu mechi zao mbili za mwanzo wa ligi. Yanga wanashinda kwa ubora wao sio habari za kumwaga pesa. Ifike wakati tukubali ligi yetu imekuwa angumu sana, tuache kuokoteza vijisababu.
 
Back
Top Bottom